Sabitlenmiş Tweet
EPHRAIM
8K posts

EPHRAIM
@Ephra01
Tutor💊💊| Born to Serve😇😇 || Proudly Manchester United fan #GGMU|
Mbeya, Tanzania Katılım Temmuz 2018
818 Takip Edilen843 Takipçiler

@mshambuliaji @fred_vunjabei aliyepigwa chini ndio kakaa front alieteuliwaa ndo unakuja kumsomaa hukoo mwishoooooo 😂😂 dunia banaa🙌🏾🙌🏾
Indonesia

Licha ya kuongoza kura za Maoni katika Mchakato wa Uchaguzi wa Ubunge, Jimbo la Isimani (Mkoa wa Iringa), Kamati Kuu ya CCM, imemuweka kando Mfanyabiashara Fred Ngajiro maarufu kama @fred_vunjabei na kumteua Emmanuela Kaganda Mtafikolo kuwa Mgombea Ubunge wa Jimbo la Isimani Mkoani Iringa.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa Katibu Wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) Itikadi, Uenezi na Mafunzo Kenani Laban Kihongosi, imesema kuwa kwa kuzingatia mamlaka iliyopewa chini ya Ibara ya 105
(7)(f) ya Katiba ya CCM ya Mwaka 1977 Toleo la Julai 2025, Kamati Kuu imefanya uteuzi wa mgombea waCCM kwa ajili ya Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Isimani, lililopo wilaya ya Iringa Vijijini ambapo Mgombea aliyeteuliwa ni Emmanuela Kaganda MTAFIKOLO.
#KitengeUpdates

Indonesia

@Psiteshio1 hiyo miwa hapo inaenda kuchapwa kwenye juice inakuchanganyia na hizo tope hapoo ni nomaaa..🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Filipino

@francismtey hili tukio limetrend sanaa ila ni la muda mrefu toka 2013 hiyo ni testing ya parachutes
sema sisi tuko nyuma sana ya muda ndo mana mambo kama haya yanatupita
I think we are better than haya mambo yanayoendelea
Indonesia

@SeekNaturalLife bado wana walio vaan jeans nao wametimuliwa sanaa..😁
Indonesia

@gabyconscious kitu najiona mwamba ni kuimaliza GT3 missions zote bila kutumia Ceatcode hata mara mojaa.. dadeki
Indonesia

@baraka_asege @munyamambogo hii hapana jamaa wako vizuri sana kwenye huo upande achana na kusikia
Filipino

@munyamambogo Hii kampuni nayo naskia ina Customer care mbovu saana
Siku nikija kupanda ntakuja na ushuhuda
Indonesia

@earadiofm na nyie mmepost huku
na si ungeuliza mbona bado hata wao wanatoa taarifa huku wanampa nani hizo taarifa na wanajua mtandao umefungiwa?
Filipino

#TheInterview: Kwa mara ya kwanza, Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amefunguka kuhusu sababu ya mtandao wa kijamii X (zamani Twitter) kutopatikana nchini Tanzania.
Kwa urefu zaidi unaweza kuitazama kupitia YouTube channel yetu ya EastAfricaRadio
#EastAfricaRadio | #SupaBreakfast | #HainaKuchoka | #TheInterview
Indonesia

@iamthatfemale kila nkiona huduma mbaya inanijia ile benki ya kijanii..😂😂
Indonesia

@Ephra01 @HildaNewton21 Unaweza mwambia mwalimu mbona mtihani sio wenyewe?😄
Indonesia

#UPDATES_KESI_YA_UHAINI
Part 88
Mhe. Lissu: Je unafahamu tarehe 31/05/2023 CCM ilikataa mapendekezo yote ya Chadema na mazungumzo yale yakaishia hapo?
Kaaya: nimeona kwenye vyombo vya habari kuna mambo yalifanyiwa kazi na serikali.
Mhe. Lissu: Nimeuliza mapendekezo ya Chadema kuhusuu Katiba mpya?
Kaaya: sikushiriki kwahiyo sifahamu.
Mhe. Lissu : December 2021 Rais Samia aliunda kikosi kazi kuangalia matatizo ya mfumo wetu wa Uchaguzi na kumteua Prof. Rwekaza Mkandala kuangalia matatizo hayo?
Kaaya: Hilo nilisikia.
Mhe. Lissu: na mapendekezo ya kikosi kazi yalikataliwa na CCM na samia huyu huyu?
Kaaya: Hilo nalo sifahamu.
Mhe. Lissu: Sasa jitihada hizi toka mwaka 1991 hadi leo nikikwambia Chadema na mimi tumejaribu mahakamani imeshindikana na njia ya mazungumzo imeshindikana utasemaje?
Kaaya: SI KWELI.
Mhe. Lissu : waeleze majaji tuna Katiba Mpya au hatuna? Fanya haraka jibu.
Kaaya: tunatumia katiba ile ile ya zamani.
Mhe. Lissu: je uliwahi kuandika maelezo yako Polisi?
Kaaya: Niliwahi kuandika
Mhe. Lissu: je kama ukionyeshwa utayatambua?
Kaaya: Ni kweli nitayatambua.
Mhe. Lissu: anamsomea maelezo yake shahidi yote hapa, anasema nataka kutumia zile stages zote, anamsomea hapa.
Mhe. Lissu : Waheshimiwa Majaji sasa naomba nianze kumuonyesha maeneo ninayotaka kumcontradict.
1. Eneo la kwanza alisomea chuo cha upolisi Zanzibar
2. Alipewa Cheti cha Competence.
3. Ushahidi wake juu ya masomo
aliyoyasoma kama vile kusomea masuala ya military and safety skills, sheria ya ushahidi.
5. Cheti alichopata baada ya training.
6. Alipelekwa kwenda kusomea nafasi ya assistant Inspector Moshi na kusomea community policing.
Anamsomea maeneo zaidi ya 10 ambayo anataka kumcontradict huyu shahidi.
Hapa ataonesha ushahidi wake mahakamani alisema nini na kwenye maelezo yake ya shahidi ameandika nini?
Mhe. Lissu anaendelea kusoma maeneo anayotaka kumcontradict na muda huu ameshafikisha mambo 40 ambayo yanatofautiana kati ya maneno aliyosema mahakamani na yale aliyoandika kule kwenye maelezo yake.
Huyu shahidi sijui tutamalizana nae lini. Maana zoezi tu la kumuonesha maeneo yenye shida linachukua karibu nusu saa. Je maswali yenyewe itakuwaje?
Lazima kiwake 😂😂😂
Part 89 itaendelea kwenye post inayofuata.
Naomba Repost yako.
Indonesia

@Sambuta_ @HildaNewton21 kuna mda magaka sio ya kuyaamini saaanaa ndo leo hiyoo..🙌🏾🙌🏾😂😂😂
Filipino



















