Geophrey Tenganamba Keyness

8.8K posts

Geophrey Tenganamba Keyness banner
Geophrey Tenganamba Keyness

Geophrey Tenganamba Keyness

@GKeyness

| Solving Africa Real Problems by Digitalizing agriculture @MazaoHub

Planet Earth Katılım Nisan 2018
880 Takip Edilen1.5K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Geophrey Tenganamba Keyness
Ask of me, and I will give the nations(Africa) for your inheritance, And the uttermost parts of the earth for your possession- Psalms 2:8 @mazaohub @CropSupply
English
1
1
2
226
Geophrey Tenganamba Keyness retweetledi
MazaoHub
MazaoHub@mazaohub·
Tulimtembelea mkulima wetu shambani ili kufanya tathmini ya kina ya hali ya udongo na mazao yake. 🌱 Tulichukua sampuli za udongo, tukabaini mahitaji halisi ya shamba, na kumpa ushauri wa kitaalamu unaolenga kuongeza mavuno na kupunguza gharama za uzalishaji. “Kwa muda mfupi MazaoHub walifika shambani kwangu na kunipa mwongozo sahihi. Sasa nina uhakika wa maamuzi ninayofanya.” Ushuhuda wa Mkulima Unataka huduma kama hii? Wasiliana nasi leo kupitia namba: 📞 0699 365 987 Au pakua app ya MazaoHub hapa: play.google.com/store/apps/det… #MazaoHub #KilimoNiBiashara #AgriTechTanzania
Indonesia
0
1
0
72
Geophrey Tenganamba Keyness retweetledi
MazaoHub
MazaoHub@mazaohub·
We are in Addis Ababa for the 2nd IFC FIG Africa Aqrifinance Client & Partner Event to push one clear message: African agriculture needs systems that work for farmers. IFC's agribusiness work continues to emphasize resilient inclusive, value-chain-driven solutions for smallholders, which is exactly the space MazaoHub is building in. On Wednesday, 1st April, our CEO Mr.Geophrey Tenganamba will speak during the session on Precisior Agriculture Advice for Smallholder Farmers. At MazaoHub, we are buildina what we call the hospital for farms a fully digitized Farm Clinic model powered by #soi sensors, #agronomy software, #input tracking and #distribution, and #traceable market access. Our core intelligence model brings together soil intelligence, Al-powered in-person farmer support, and stronger market linkages built for smallholder realities using real farm data. Are you a #stakeholder in Addis Ababa? Don't miss this session. We would be very happy to connect with you by any chance afterwards. #MazaoHub #IFC #AddisAbaba #Ethiopia #PrecisionAgriculture #SmallholderFarmers #AgriFinance #ClimateSmartAgriculture #Africa
MazaoHub tweet media
English
0
2
3
71
Geophrey Tenganamba Keyness retweetledi
MazaoHub
MazaoHub@mazaohub·
Wakulima, Agrovets na Afisa Ugani, sasa hakuna tena shida ya kupata bidhaa bora za kilimo🌱 Pembejeo bora za ByTrade sasa zinakufikia popote ulipo kupitia mfumo wa MazaoHub. Mkulima anapata pembejeo kwa urahisi. Agrovet anauza kwa faida zaidi. Afisa Ugani anageuza ujuzi na uaminifu wa jamii kuwa kipato halali. Huu si mnyororo wa kawaida wa pembejeo. Ni mfumo mmoja unaounganisha uzalishaji, usambazaji, na mapato kwa kila mshiriki. Sisi MazaoHub tuko bega kwa bega na wewe, tukihakikisha kilimo kinakuwa cha faida, maarifa, na endelevu. 📱 Jiunge na Mazaohub leo: play.google.com/store/apps/det… #MazaoHub #ByTrade #KilimoChaKisasa #KilimoKidijitali #KilimoChenyeTija #WakulimaTanzania #AgriTechAfrica #KilimoEndelevu #SmartFarming
0
2
1
23
Geophrey Tenganamba Keyness retweetledi
MazaoHub
MazaoHub@mazaohub·
Tuko tayari na tunawakaribisha. Team ya MazaoHub tayari imewasili Ukumbi wa MAKUTI, Bariadi Mjini kwa ajili ya Workshop ya Dokta Kilimo na milango iko wazi. Tunawakaribisha Maafisa Ugani na washiriki wote kutoka Dutwa, Ramadi, Busega, Meatu, pamoja na Bariadi mjini na vijijini. Karibuni tushiriki fursa halisi za ugani wa kisasa unaoongeza kipato kupitia teknolojia. Simiyu, tupo venue. Karibuni sasa.
Indonesia
0
1
0
40
Geophrey Tenganamba Keyness retweetledi
MazaoHub
MazaoHub@mazaohub·
Afisa Ugani, ujuzi wako una thamani kuliko unavyodhani. Iwe uko serikalini, kwenye taasisi binafsi au unajitegemea changamoto si maarifa, ni mfumo wa kuwafikia na kuwasimamia wakulima kwa ufanisi. Hapo ndipo Dokta Kilimo — Uber for Extension ndani ya MazaoHub inaingia. Ni jukwaa linalokuwezesha kuongeza kipato, huku ukiwasimamia wakulima wako moja kwa moja kupitia simu. 👉 Unapewa wakulima hadi 250+ 👉 Unafanya kazi kwa mpangilio na data 👉 Unawaunganisha wakulima na pembejeo, masoko na mikopo 👉 Kazi yako inaonekana, matokeo yanapimika Hii si ugani wa kubahatisha — ni ugani wa kisasa, wenye tija na manufaa halisi. ⚠️ Tunapokea Maafisa Ugani 150 tu nchi nzima Kama uko tayari kuinua taaluma yako, jiunge na Dokta Kilimo leo.
Indonesia
0
1
2
54
Geophrey Tenganamba Keyness retweetledi
MazaoHub
MazaoHub@mazaohub·
Je unasumbuliwa na uratibu wa pembejeo, oda kuchelewa au kupoteza mauzo? Teknolojia sasa inarahisisha usambazaji wa pembejeo, inaongeza kipato na kuhakikisha huduma ya pembejeo inapatikana kwa wakati. 🌱 MazaoHub – Pembejeo Connect Suluhisho la kidijitali kwa Agrovets na Distributors kusimamia oda, mauzo na usambazaji wa pembejeo zilizoidhinishwa kwa ufanisi. 📡 JIUNGE NA LIVE WEBINAR 🗓️ 07 January 2026 ⏰ 5:00 – 6:00 pm (EAT) 👉 Jisajili hapa: docs.google.com/forms/d/e/1FAI…
MazaoHub tweet media
Indonesia
0
1
0
13
Geophrey Tenganamba Keyness retweetledi
MazaoHub
MazaoHub@mazaohub·
Mwaka huu hatukusema tu “teknolojia kwa wakulima” tulifanya kazi ilioenda kuonekana shambani. Mwaka 2025 tumezindua MazaoHub v2.0.2, toleo lililokuja kuoanisha Afisa Ugani na Mkulima, wauzaji wa pembejeo na wakulima, pamoja na distributors na agro-vets/agro-dealers ili huduma iwe karibu, haraka, na ya kuaminika. Kupitia field-based data tunayokusanya kwenye mfumo wetu, wadau wengi wameweza kunufaika kuanzia taasisi za kifedha, research institutions, na taasisi mbalimbali kwenye mnyororo mzima wa thamani kwa sababu data sahihi huleta maamuzi sahihi. Matokeo yake: ✅ Tumewahudumia wakulima zaidi ya 80,000 ✅ Tumeongeza vituo hadi kufikia 17 nchini ✅ Tumeshirikiana na FECs & Agro-vets zaidi ya 420 (ikiwemo agro dealers & input dealers) ✅ Tumewapa nafasi vijana zaidi ya 200 “Uber for Extension” — wanahudumia wakulima na kujipatia kipato kupitia kamisheni na hatukuwasahau akina mama. Mwaka huu tumeweka mfumo unaowawezesha kuweka rekodi za shughuli zao za kilimo hata bila kumiliki zana za uzalishaji kama mashamba, na tumewasogezea ujuzi wa kifedha kupitia taasisi za kifedha kama CRDB Foundation ili wajue namna sahihi ya kutunza kipato hatua inayowaweka karibu zaidi na fursa za mikopo rafiki. Kwa upande wa masoko, mfumo wetu CropSupply umeendelea kuwa daraja: umewezesha wakulima kupata masoko ya uhakika na wanunuzi 98 Afrika Mashariki kupata malighafi za uhakika. Na sasa… 2026 tunaenda kufanya mageuzi makubwa zaidi ikiwemo uzinduzi wa CropSupply Mobile App ili masoko, ufuatiliaji, na uaminifu viwe kwenye kiganja cha mkulima. Huu ni ushahidi kwamba kazi tumeifanya na mwaka 2026 tumejipanga kwenda kufanya mageuzi makubwa zaidi.
Indonesia
0
2
0
30
Geophrey Tenganamba Keyness
This is how we chose to close 2025 at @MazaoHub: not with noise… but with alignment. If I’m honest, 2024 was a year I was far from the team. I moved fast, carried a lot, and at some point I started feeling misaligned—like the vision was moving, but the human connection inside the company was lagging behind. So in 2025, I made a deliberate choice: spend more time with the team. Not for meetings. Not for reporting. But for real conversations—the kind that expose the gaps, reset the priorities, and rebuild the “why” together. You can see the video here : youtube.com/watch?v=OLcOyn… During our team building, we didn’t just “bond.” We sat down like builders and asked uncomfortable questions about the future of MazaoHub. And one thing became our shared anchor: the MazaoHub Vision Book. 📘 You can read the MazaoHub Vision Book here: drive.google.com/file/d/1Zz7-1K… Then something powerful happened after we returned. We made it a habit—almost a culture test—to ask everyone, across every level of MazaoHub, and we had a virtual meeting this week: From the extension officer in the village, to part-time staff, to partners, to the person who keeps our office clean: “Have you read the MazaoHub Vision Book?” Because at the end of the day, you can’t build a long-term system with a team that is only executing tasks. You build it with people who understand the story, own the direction, and carry the vision together. That’s how we are closing 2025: more connected, more honest, more aligned—and more ready. #MazaoHub #TeamBuilding #Leadership #Vision #AgriTech #AfricanAgriculture #TechAndTouch
YouTube video
YouTube
Geophrey Tenganamba Keyness tweet media
English
0
2
0
286
Geophrey Tenganamba Keyness
Honestly nafuatilia mjadala hapa sielewi mabishano ni nini? Je ni“quality ya news” from media houses? Media houses zinategemea Ads as business model. Sasa ads zimehamia kwa influencers, comedians, commenters na pages hao ndio wanaochukua wateja wa media houses. Ambao ni very cheap and impactful. Bila kusahau mpaka sponsored. Kama si washindani ni akina nani ? Competition si breaking news, ni nani anakusanya hela. Ukishindwa kuvuta matangazo, “credible journalism” inabaki slogan. Leo media houses nyingi hata kubwa zinachechemea mishahara. Mwisho wa siku it's all about money. Credible journalism without money ndiyo nini sasa?
Indonesia
1
1
1
356
Agnostic
Agnostic@RKishaija81715·
@mafolebaraka Ila unakubali lazima ziwepo sheria kiasi fulani zaku regulate vyombo vya habari? Na madhara ya milango kuwa wazi mazima kwa kila mtu pia umeyatafakari?
Indonesia
1
0
1
24
Geophrey Tenganamba Keyness
na anachukua mpaka vibali vya media house but digital zaidi. Kushindwa kukubali mabadiliko kutawaumiza wengi. Media houses kwasasa haziwezi kulipa mishahara, hakuna revenue kabisa. Media houses ni biashara, na inategemea ads kuendesha biashara. Businesses nyingi zimepata altenatives, hawa content creators, how come usiwaone siyo competitors?
Indonesia
0
2
2
492
Haulay
Haulay@Positivenga1·
Content Creation will expand and become a standalone sector. Leo ukimuona Creator unamuona peke yake! Next 5 years utamuona creator front lakini behind kutakuwa na a team of people (production, finance, legal and more)!
English
2
6
49
4.8K
Geophrey Tenganamba Keyness retweetledi
MazaoHub
MazaoHub@mazaohub·
Hivi unajua kuwa teknolojia inaweza kuleta maendeleo na faida katika mnyororo mzima wa thanani wa kilimo! MazaoHub Agclimate inakualika kwenye webinar ya kwanza ya utambulisho (Introduction Webinar) yenye theme: “Teknolojia Inayoongeza Faida na Kipato Katika Mnyororo Mzima wa Thamani wa sekta ya Kilimo.” Webinar hii inalenga kukuonyesha MazaoHub ni nini, inafanya nini, na jinsi teknolojia yake inavyoongeza thamani kwenye sekta ya kilimo. Hii ni kwa wadau wote wa kilimo, wamiliki wa agrovets, wasambazaji wa pembejeo, maafisa ugani, wakusanyaji wa mazao, wamiliki wa viwanda vya chakula, wasafirishaji wa mazao, wamiliki na wasimamizi wa maghala, wauzaji wa mazao nje ya Tanzania, taasisi za kilimo na tafiti, pamoja na taasisi za fedha na wawekezaji. 🗓Ni siku ya jumatano, 17 Desemba 2025 ⏰ 4:00 PM – 5:00 PM (EAT) 📌 Jisajili hapa: docs.google.com/forms/d/e/1FAI…
Indonesia
0
1
0
27
Geophrey Tenganamba Keyness retweetledi
MazaoHub
MazaoHub@mazaohub·
🚀 Je unajua kuwa kila hatua unayochukua inaweza kuleta mabadiliko makubwa? MazaoHub tunakuletea suluhisho bora zaidi linalorahisisha kazi, kuongeza ufanisi, na kuwawezesha wakulima na wauzaji wa pembejeo kote Tanzania. 🌱 Kitu kizuri kinakuja kaa tayari. #MazaoHub #DigitalFarming #AgriTech #Innovation #ComingSoon
Indonesia
0
1
0
39