
Mkemia Mkuu wa Serikali,Dkt. Fidelice Mafumiko akiwasili katika viwanja vya @bunge_tz tayari kufuatilia Bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka wa fedha 2026/27 katika Bunge la 13 mkutano wa tatu kikao cha 26, Mei 11, 2026
Bajeti itawasilishwa na Waziri wa Afya,Mh. Mohamed Mchengerwa


Indonesia





































