Geofrey Phone Services
787 posts


Screenshot hii ina makosa kibao, nikiachana na makosa KIBAO ya Risiti naamini wataalamu watayaweka hapo kwenye comment mimi nitadeal na CHAT hii ya whatsapp.
1. “Unread message” ina blue tick-huu ni muujiza.
2. Angalia saa 6:08 ilipokaa-imepandiana juu ya maneno sijui simu ya mwanetu KISWASWADU.
HOJA YANGU HAPA NI HII: Buyobe kakili Msuya na MSHABAHA walikutana ndani ya week mbili wakajenga mazoea makubwa mpaka kufikia hatua ya kukopeshana hela kama hivi anavyosema BUYOBE.
Swali: kwamba mtu ukopeshwe 4M ndani ya kipindi kifupi cha week mbili ya kujuana na utakiwe kurejesha pesa, na ushindwe au urejeshe na hukumu yake iwe KUTEKWA?
MWISHO.
Hizi chats ndio zilitumiwa na CHAWA kulisafisha TAIFA kuwa hakukuwa na UTEKAJI Kenya ila ni watu waliokuwa wanadaiana.
Leo hizi chat anakuja kuzitumia BUYOBE, nafikiri tumemjua aliekuwa MPISHI mkuu wa kuwapa MATANGO PORI CHAWA kipindi kile.
Bado naendelea kuchukua notes.
TUTAKUWEPO🫵🏾😎

Filipino

@zed_officially Kwahiyo kama nimeokota bora niitunze tu
Filipino

@ze_mandevu Oya @ze_mandevu hizo ndevu nambie unatumia nn na mm nizikuze
HT

Wateja kuna vitu inatakiwa mjue kabla hujaagiza Nguo, kuna size ya Nguo na size ya kiuno chako. Nguo size huwa zinapishana cutting (mkato) kuna Nguo inakuwa na mkato mkubwa na kuna Nguo inakuwa na mkato mdogo, Wauzaji hilo wanajua kwa hiyo ni vizuri Mteja ujue size ya kiuno chako either uende kwa fundi Nguo akupime kiuno hii itakusadia sana sio mtume boda aje na size mbili "Wafalme" mnakuwa hamjanyookaa.😂

Filipino

@AmRosalinee Watadhan ni shughul za kilimo cha mahindi
Filipino























