MTANI OG

44K posts

MTANI OG banner
MTANI OG

MTANI OG

@Goalgeta7

Wema unaoendelea....📚 #SimbaSc #Nguvumoja #ManchesterUtd #Masandawana #Matani kwa MTANI #Point kwa Point, Don’t get twisted let’s #Socialize..* Mligi kuu OG

🇹🇿🇰🇪 Katılım Haziran 2020
1K Takip Edilen2.2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
MTANI OG
MTANI OG@Goalgeta7·
Ili tasnia ya habari za Michezo zizidi kukua na kupata ubora hapa 🇹🇿 , @MickyJnr__ anapaswa kuwa mfano na chachu ya waandishi wetu kukua,wengi wao wanamkataa kwa chuki tu zisizo na mashiko, lakini mwamba anaupiga mwingi,wakati mwingine kuiga sio ujinga,umieni ili mfanikiwe...
MTANI OG tweet media
Indonesia
4
6
49
6.3K
Malaika
Malaika@magdiemma·
Naombeni jibu! Mwanamke akiomba namba kwa mwanaume kisha akapewa akae siku ngapi ndio ampigie ?😇😇
Indonesia
21
17
107
6.1K
Yahya Njenge
Yahya Njenge@NjengeYahya·
Chama aliporudi Simba kutoka Berkane Pape Sakho alikubali kumkabidhi jezi namba 17 Clatous Chama na yeye akachukua jezi namba 10. Chama alipojiunga na Yanga Farid Mussa alikubali kumuachia jezi namba 17 yeye akachagua jezi nyingine. Sasa tunasubiri busara za mtaalam Bajaber😁.
Yahya Njenge tweet media
Indonesia
9
5
395
20.2K
Kibayasi FS 🇹🇿
Kibayasi FS 🇹🇿@Hon_KibayasiF·
@Goalgeta7 @TwevePauLo Nina uhakika 10/10. Kwa tiba ya kusinzia kila baada ya dakika 2-3 basi anza na 4. Hii itumie 1x1 kwa wiki 2. Kurudisha rutuba chukua 3. Hii utaweza kufanya uwe na afya pia ujazo wa uhakika kwa round kadhaa
Indonesia
1
0
2
143
🍁
🍁@Jeba_OG·
Mchezaji anaedhurura uwanjani kwa dakika 90. Anakimbia kimbia uwanjani kama REFAREE. Mchezaji control sifuri. Mido haina makombe. Mido haijui kupiga long ranges. Freekick tu dhidi ya Madrid ndio mnamweka mbele ya Carrick?? MNAGONGWA
🍁 tweet media
Indonesia
52
11
181
8.8K
Kibayasi FS 🇹🇿
Kibayasi FS 🇹🇿@Hon_KibayasiF·
@TwevePauLo Point ni zile zile 1. Energy drink + Paracetamol 2. Mbegu za maboga + karanga mbichi 3. Tende Shek + Tongkat Ali 4. Tangawizi + Kitunguu saumu + limao + Asali. 5. Mdalasini + Karafuu + Mchaichai 6. Mwarobaini + Maca root
Indonesia
4
3
25
3.1K
†hømz
†hømz@ThomzJoseph·
Hivi ni saa 1 jioni au saa 1 usiku.??
Indonesia
13
5
49
3K
MTANI OG
MTANI OG@Goalgeta7·
Simba mbovu uongozi mbovu...mpaka siku mjue nani msaliti kazi ipo.
0
0
2
59
Kibayasi FS 🇹🇿
Kibayasi FS 🇹🇿@Hon_KibayasiF·
Mtu unafunga hadi 1.4M kwa mwezi kwa kujiajiri bado unahaha na Interview za Government kwa kigezi huko kuna JOB SECURITY. • Nakuombea ulogwe hadi upate 10/100... Shubaamiti zako...
Filipino
48
65
557
17.3K
MTANI OG retweetledi
The Lord DG🧲💹
The Lord DG🧲💹@DGHUBCrypto·
Eeh, Mungu Mwenyezi. Sisi Simba hii mechi tumeiacha Mikononi mwako 🙏🏽
The Lord DG🧲💹 tweet mediaThe Lord DG🧲💹 tweet media
HT
17
34
722
18.2K
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Klabu yenye mvuto kwa sasa AFRIKA kwa sasa ni Yanga. Leo tupo safarini kuelekea TANGA kucheza nusu fainali ya Kombe lenye mvuto na muonekano wa kisasa la @CRDBBankPlc . Tukifika Tanga tunatamba tu na TEMBOcard VISA ambayo ni kadi ya @YoungAfricansSC
Privaldinho tweet mediaPrivaldinho tweet media
Indonesia
164
35
1K
47.1K