Grayson Gideon
5.5K posts

Grayson Gideon
@Gplanet5
Eastafrican(🇹🇿) radio producer and creative consultant @eastafricaradio | Host @madinidotcom| Tacaids & Unicef-Tanzania @ongearadioshow
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Aralık 2016
11 Takip Edilen1.2K Takipçiler

Mabadiliko ya mashabiki na MZIKI kwenye mitaa, ndo Mwalimu wangu mkuu anayenipa usupastaa.Naamini siku zangu zimeshapata kuwa nyingi,katika nchi uliyonipa. #Johmakini
#WetalkMusic

Filipino

Zaidi ya 95% ya wasanii wa #Bongofleva akaunti zao HAZINA uwezo wa kulipia Gharama za LUKU ya studio room ya radio na mshahara wa watangazaji wa kipindi 1 tu kwa mwezi. Media Guys hamna sababu yoyote ya shobo au kuwa PR wa msanii! Mnaua game! Be profesheno! #WetalkMusic

Indonesia

I hope Tanzania na Marapa wa kike nchini mmejiandaa kisaikolojia kumtambua rasmi Black Queen 👑 kama RAPA wa mainstream. #WetalkMusic

Indonesia

Kila mtu Alipokuja Dar alidhani Wachawi kawaacha kijijini kwao! Sapraiz! sapraiz mazafadaz !
#Kamjadala
हिन्दी

So Harmonize anadai kapata alichokosa Diamond?
"UTU wangu na Thamani ina maana kweli hakuvijua?Licha ya burudani..." #MAWAZO
"UTU wangu na Thamani yeye pekee ndo unayevijua, na ndo maana hatuachani..." #WEWE
#WetalkMusic

Indonesia

Umegundua Verse ya Alikiba #Finale ni inspired by SHEBETI MWINJUMA!Upande Shaba upande Chuma! 😂😂
#WetalkMusic

Indonesia

UPDATE: Trump amekanusha VIKALI kushinikizwa na Netanyahu kuvunja mkataba wa Nyuklia na IRAN kwa Madai anarutubisha URANIUM! MATAIFA jirani yanahimiza Haki na DIPLOMASIA!😀
UFUNGUO: TRUMP = AY, Netanyahu = FidQ , IRAN=Cholo , URANIUM=Bangi
Nyuklia = Lebel
#WetalkMusic

Indonesia

@MoshiMwilwa Aliyelelewa ndo kaambiwa sir! Muktadha! This is how wetalkMusic
Indonesia

Sasa Nimeelewa kwanini AY Hana RECORD LEBEL kubwa licha ya uwezo wake mkubwa kibiashara! Hapendi wavuta Bangi!🥳😄🤣#WetalkMusic

Filipino

Napata wakati MGUMU washkaji wanapolia kwa uchungu! Kwani nami Nina MAUMIVU yangu nasema tu na Moyo wangu - #MwanaFa
#WetalkMusic

Indonesia

@2Ndulisu Cholo mwenyewe ka repost hii post insta.Aliyeelewa ndo kaambiwa. This is how wetalkMusic
HT

@Gplanet5 Unachafua watu wewe, Cholo mwenyewe amekanusha kuwa havuti bangi ila anapenda kuiongelea kutokana na fans wake wengi ni masela wa street, hivo anagusa lifestyle yao,
Wewe kama mwandishi ilibidi uheshimu personality yake badala ya kumhusisha na miahadarati.
Indonesia

@lukalijr Bwana mkubwa ujifunze kuanza na SWALI kabla kutoa maoni kwa jambo usilolielewa vizuri.Hayo kaandika msanii mwenyewe kwenye MISTARI yake na kwenye interview .Mwisho nipende kumwambia MATAKO YAKO. #wetalkMusic
Filipino

1.Prof Jay
2.ROMA
3.Mr.Blue
4.Fid Q
5.Darassa
6.Mwana FA
7.Chidi Benz
8.Joh Makini
9. Afande Sele
10.............
SIJASEMA ni list yangu ya Nini,ukihisi Umeelewa, JAZA namba 10.
#WetalMusic
Indonesia

Nimegundua MAWILI kwenye FINALE ya BIEN x ALIKIBA .Kwanza BIEN kaongea ukweli ulionigusa " I never had a type in my life, mi ni vibe ndo hunibamba" 👊🏾🥂 Pili, ndo naskia tumetoka MOFAYA sasa ni DORIME!🤗🤑 #WetalkMusic
Filipino

"Oya KUSH..sijuniniNanini.. ya SINZA SIKILIZA SAUTI YA RADI ANATEMA MOTO ...Ukitaka matembele utakula matembele ×2 e bwana kaka matembele anafikiria bamia eh' anatereza 😄JUDY MOSHI anatereza!"🤣😄
Huyu mwamba ALITISHA SANA!Judy Moshi yupo wapi?😄🤣
#WetalkMusic
Indonesia

Leo nimejifunza Kuna majina yameshapevuka na Generation flani kiasi kwamba inasound sio kumpa mtoto. Imagine nimekutana na dada ana mtoto wa miezi 6 anaitwa ABDALLAH! 😄 #kamjadala

Filipino

Dah! Sijaamimi Mkongwe Dani Msimamo kampiga dogo Boshoo kwa K.O !😄hadi nimewaza tuanzishe Toleo MAALUM la #DAKIKA10ZAMAANGAMIZI za wakongwe wa kabla ya 2010!🫡
#WetalkMusic

Indonesia

Twenty million cash , send to my Ex. Mwambie nisha move on apunguze kunitxt - #DiamondPlatnumz
Wait...Hii 20,000,000 si inatosha KULIPA Ile AHADI ?🤔🤑🤣 #WetalkMusic #Happy

Filipino



