Haidar mohd
929 posts

Haidar mohd
@Haidarmohd70
Air Ticketing | Visa | Hotel Booking | Travel Insurance Fast • Trusted • Affordable 📍 Mkunguni/Ukami 📞 0710132720 | 0710400247 Travel Smart with RoyalSky🌍
Zanzibar Katılım Mart 2016
240 Takip Edilen90 Takipçiler

@BigOO47 🚨✈️ USIKOSE NAFASI!
Safari yako inaanza hapa na RoyalSky Travel Services 🌍
Tiketi za bei nafuu, Visa assistance ya uhakika, Hotel booking na Travel Insurance – huduma zote sehemu moja!

Indonesia

@gabyconscious 🚨✈️ USIKOSE NAFASI!
Safari yako inaanza hapa na RoyalSky Travel Services 🌍
Tiketi za bei nafuu, Visa assistance ya uhakika, Hotel booking na Travel Insurance – huduma zote sehemu moja!

Indonesia


@Roma_Mkatoliki 🚨✈️ USIKOSE NAFASI!
Safari yako inaanza hapa na RoyalSky Travel Services 🌍
Tiketi za bei nafuu, Visa assistance ya uhakika, Hotel booking na Travel Insurance – huduma zote sehemu moja!

Indonesia

@Sativa255 🚨✈️ USIKOSE NAFASI!
Safari yako inaanza hapa na RoyalSky Travel Services 🌍
Tiketi za bei nafuu, Visa assistance ya uhakika, Hotel booking na Travel Insurance – huduma zote sehemu moja!

Indonesia

Nikiwa nafanya mazoezi asubuhi huwaga naweka “TIKTOK” video zile zinapoteza muda vizuri sana.
Leo nimekutana na VIDEO moja ya DUDE yule jamaa wa zamani aliekuwa anaigiza kama TAPELI zamani analalamika.
MALALAMIKO yake ni dhidi ya jamaa mmoja maarufu sana kwasasa na nakumbuka nishampost “PENGO MAKEKE” anaigiza kama TAPELI.
DUDE anasema “Jamaa anaiga kila kitu aisee”—kwanza kama mnakumbuka nilishawahi kusema hapa “GEN Z NDIO TUNAAMUA NANI ATAMBE NA NANI APOTEE NA YOTE HIYO INAWEZEKANA KWA NGUVU YA MTANDAO”.
“Wewe kama hutaki kufuata MTANDAO unataka nini utabaki tuu kusema Mimi zama zangu nilikuwaga NOMA ila hakuna atakaekusikiliza na ZAMA ZAKO”.
Malalamiko ya DUDE ni mfano mzuri wa nilichosema. Yeye bado yupo zama za ANALOGY anategemea Kushoot kisha anaenda kuwauzia ITV , AZAM SIJUI. Nani akae ITV kuangalia vituko vyako muda huu DUDE??
Dunia ipo kiganjani na GEN Z ndio wamiliki wa mitandao—fuata wanataka nini kama kweli unautaka UKING wa milele.
NB: UKIGOMA KUBADILIKA USITULAUMU. KWAKO HOME BOI PENGO MAKEKE—PIGA KAZI ACHANA NA HUYO KIBAKA WA SISIEMU, MBEYA MBALI MZEE.🫵

Filipino

@EsirEid :
🚨✈️ USIKOSE NAFASI!
Safari yako inaanza hapa na RoyalSky Travel Services 🌍
Tiketi za bei nafuu, Visa assistance ya uhakika, Hotel booking na Travel Insurance – huduma zote sehemu moja!

Indonesia

#TajiriLaKihaya
Hii Ndio Picha Yangu Bora Kwa Miaka yote- nkiwa na Mke wangu siku ya Graduation-2016!
Ushauri wangu ambao kila siku nawaambia VIJANA hasa waliopo CHUO…
Hakikisha unapo graduate unatoka na Degree mbili Chuoni;
Moja ya Masomo na nyengine ya MWENZA WAKO!
Hakikisha Mke/mume unampata Chuoni uliposomea Otherwise utaoa Mke wa mtu!
Statistics zinasema wanandoa waliokutana chuoni- Ndoa zao zinadumu saana na wanakua na furaha!
Especially mkikutana 1st year,mka build mahusiano na ukaribu kuanzia hapo-Wengi huwa ni Bikra(enzi zetu) Ila siku hizi hata Asipokua bikra anakua hajawahi Kua na Mahusiano Serious zaidi ya binamu wake- watoto wa mjomba au wale wakuchovya chovya bahati mbaya na kupita …
Angalizo ni kwamba: Muwe CHUO Kimoja- Kwa maana kwamba mienendo na Tabia zake unakua unazifaham!
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid
#JKUAT28thGRAD thanks be to ALLAH.. I Graduated #jkuat
Filipino

@MariaSTsehai Wahamasishaj mpo ndan mnatuon km matako yen enh
Filipino

‼️TANGAZO ‼️
Kwa wanaopata changamoto kuingia mjini wafike Ubungo Kibo jirani kwa Gwajima 💪🏽🔥
Msisahau mabango
#D9Tunatoka
#D9TanganyikaDay
Tutaendelea kuwaletea location zingine

Indonesia
Haidar mohd retweetledi

Inawezekana 100% upo kwenye biashara ya Forex lakini hukuambiwa hizi HARDEST TRUTH.
Most traders hawapendi kuzisikia. #thread🧵, Shuka nayo>>
Indonesia
Haidar mohd retweetledi

NILITUMIA NJIA HIZI KUJIFUNZA FOREX NA KU MASTER NDANI YA MIEZI SITA
1. Niliipenda kuliko kitu chochote (elewa neno KITU). Kuipenda kuliniweka mbali na Imani hasi juu ya michakato ya kusadikika. Niliifanya kwa Mapenzi hata iliponivunja Moyo.
2. Nili unfollow pages zisizo za msingi Insta na X na ku follow traders Tu (nimewafollow wengi sana), na wengine nikawawekea na notifications kabisa. Lengo ni kutengeneza algorithm ambayo itaniweka karibu na kuona charts kila nnapo scroll kwenye mitandao ya Kijamii (Hili liliniongezea Morali na lilikuwa sehemu kubwa sana ya mimi kusogea)
3. Niliachana na biashara za kuuabudu Usingizi nikatangaza vita nao, nika escape from the comfort zone. Niliutumia usiku kama mchana na Mchana kama mchana.
4. Niliwekeza Nguvu, Mwili na akili kuyatafuta maarifa popote yalipo.
5. Nilitumia zaidi ya masaa 8 kutazama charts kila nilipojifunza, kutafuta nilichojifunza na kukifanyia kazi.
6. Nilipomaliza Technical, nikatenga muda wa ku deal na Saikolojia yangu. It didn't last longer. Nilipona Psychology ndani ya miezi michache.
7. Nilitumia muda mwingi ku bactest na kuboresha mfumo ninaotumia kutrade.
Sahii usiku nautumia kutrade, asubuhi kukikucha nakuwa nishaakunja midola yangu. Watu wakiamka kwenda mihangaikoni, mimi narudi kulala. Na nayainjoi Maisha yangu. Nikiamka napangilia ratiba zangu, naendelea nazo. Sihangaiki tena na Macharts.
Nilikubali kuteseka kwa muda mfupi, ili nijipe Amani ya kiuchumi ya Miaka mpaka pale muda wangu wa kuishi utakapoisha!.
ONCE U HOLD IT, DON'T LEAVE IT. ISHIKE MPAKA IWAKE!
Indonesia

@Roma_Mkatoliki Kifo ni khatim ya kil mja kuish katk mda alio kadiriwa na sio kupendwa na mungu yani maneno ya kumpa moyo mfiwa asijiskie vibaya
Indonesia

Inasemekana mtu akifa ni amependwa na Mungu!! Right?🤔
Ndiomaana tunasema Mungu amempenda zaidi!!
“Zaidi” inamaana Mungu amempenda zaidi yetu sisi tuliobaki hai au amempenda zaidi yeye kwa kumuita kwake kule, tofauti na….
Nways tuiache hiyo!!
Sasa ni kwanini sometimes maadui zako au watu unaowachukia unawaombea umauti!?🤔 Means unawaombea Mungu awapende?
How?🤷🏿
Mtu kama ni adui kwako utatamanije Mungu ampende? Sio unatakiwa utamani Mungu Amchukie?🤔
Lakini pia ikitokea mtu aliekutesa au aliyetesa na kuonea na kunyima watu haki akafariki, kwanini wengi tunaamini kama Mungu amemuadhibu?🤔
Kwanini kufa kwa maadui tunaona ni Mungu kawapa adhabu sababu ya ukatili na matendo yao……….Wakati mtu akifa ni Mungu amempenda zaidi!🤷🏿
Sio kama tunaConfuse
Upendo na Adhabu?
Indonesia
Haidar mohd retweetledi













