Huheso Foundation
245 posts

Huheso Foundation
@HuhesoF
HUHESO FOUNDATION is a Foundation of marginalized people and community based organizations dealing with HIV/AIDS, CANCER, rights , reproductive health to youth
KAHAMA Katılım Nisan 2017
1.1K Takip Edilen149 Takipçiler

Shirika la HUHESO linatoa elimu ya uchumi bure kwa Wasichana balehe na wanawake vijana (AGYW) kupitia afua ya kimuundo(DREAMS) chini ya mradi wa EpiC unaofadhiliwa na USAID wenye lengo la kupunguza maambukizi mapya ya VVU.
#epicprojecttz #agyw
@USAID
@fhi360

Filipino

The @tacaidsinfo in collaboration with @UNICEF conducted a supportive supervision yesterday to DREAMS program under EpiC project implemented in Ushetu DC.
They observed different impacts of DREAMS to beneficiaries reached through @shdepha , @thpstz and @HuhesoF
#epicprojecttz




English

Tunaungana na watanzania wote kuazimisha kheri ya miaka 60 ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar👏🎊🇹🇿
#tanzania
#Zanzibarisland
#muungano

Indonesia

May this season fill your heart with joy, your soul with peace, and your life with blessings. Happy #goodfriday2024
#huheso
#huhesofoundation

English

Maafisa Maendeleo ya Jamii Manispaa ya Kahama wakiongozwa na mratibu wa asasi za kiraia Bwana Mbwana Karata na Mratibu wa shughuli za UKIMWI ngazi ya Jamii Bi Renada wametembelea ofisi za shirika la HUHESO makao makuu mjini Kahama Leo Machi 25, 2024.
@fhi360
@maendeleoyajami




Indonesia

Maadhimisho ya siku ya wanawake duniani kwa mkoa wa Shinyanga yamefanyika leo Machi 8, 2024 katika viwanja vya Sabasaba mkoani Shinyanga huku kaulimbiu ikiwa ni Wekeza kwa wanawake: Harakisha maendeleo ya Taifa na ustawi wa jamii.
#sikuyawanawakeduniani
#wekezakwawanawake



Indonesia

Women's inclusion isn't just having women present. It's about creating spaces where women can fully participate and have their voices heard. This is important across all aspects of society, from businesses and governments to communities and homes.
#IWD
#InvestingInWomen

English

















































