Zero brain

4.4K posts

Zero brain banner
Zero brain

Zero brain

@Hunter12vc

Katılım Nisan 2024
1K Takip Edilen308 Takipçiler
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@MarekaMalili Hakuna mafanikio ya kundi la watu, mafanikio ni imani, kufeli sana, kutokukataa tamaa, na positive mindset......kundi la watu zaidi ya wawili hawawezi kumantain njia ya kwenda kwenye mafanikio.....sababu ni zaidi yakujitoa mhanga.....
Indonesia
2
0
2
314
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Mimi bado sikubali the notion that you can do it alone in life. Acha ujinga, unganisha nguvu na watu. Cha msingi mfanane vision.
Indonesia
32
106
615
15.1K
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@DizoFx Kama huwezi trade na $1000 maana yake Huna skills hata ukipewa $5000 hakuna kitu utafanya...tatizo sio mtaji ni skills issue ambazo zinahitaji experience, consistency na discipline ya Hali ya juu ...vijana mnataka shortcut ,game inahitaji muda sana na utulivu wa hali ya juu..🤣
Indonesia
0
0
2
680
mwalimu wa diploma
mwalimu wa diploma@DizoFx·
Onyesha uwezo matajiri wako uko njee wanataka watu wakuchakata pesaa kwa njia salama na rahisi We baki apo jidai lowkey mtaji wako utaendelea kua dolaa 1000 na amna kitu forex itakupaa zaidi ya pair za airfocr nyeupe Hii game inaitaji mtaji mkubwaa
Indonesia
4
2
50
3.2K
Almalik Mokiwa
Almalik Mokiwa@Almalik_Mokiiwa·
Nilivyokuwaga kibua nilikuwa nikikuta mjaadala wa "Forex is scam" napambana mpaka kutaka kupigana. Napinga kwa nguvu zangu zote, najaribu kuwaaminisha kuwa sio scam, inalipa na watu wanafanya maisha yao. Now ni TOFAUTI 1. Nikikuta mijaadala ya namna hiyo sichangii wala sibishani na yeyote. Nakaa kimya 2. Nikikuta mtu yeyote popote amefungua Charts na act like sijamuona wala sijaona charts. Hata wawe wanajadili charts karibu yangu sishtuki na wala sigeuki. Watajua wenyewe. 3. Sijitambulishi POPOTE kuwa ni trader. Am always saying am Jobless hatakama watabaki na maswali mengi like "Hela natoa wapi" or whatever.. 4. Huwa sipost charts Kwenye WhatsApp status yangu, na ikitokea basi ni MARA CHACHE SANA... 5. Sizungumzi kuhusu trading kwenye WhatsApp status yangu na ikitokea basi ni mara chache sana na sio in details (maybe nimepost clip inayohusu forex) 6. Sijawahi na sitawahi kum-DM mtu Yeyote au kumu-Inbox kumwambia aje nimfundishe kutrade Forex au Kumshauri yeyote kuhusu Forex... Ukitaka kusikia kuhusu forex utasikia nikiwa nimeandika hapa public. 7. Tofauti na Twitter, nna account sehemu zingine (Instagram, Facebook) ila sipost charts na wala siandiki Maudhui yoyote kuhusu Forex. 8. Simuongopei, wala sizungumzi uongo kuhusu uhalisia wa Hii biashara. HUWA SIFICHI KITU. So ukisoma posts zangu ukitaka kuamimi amini usipotaka PITA HIVI.. 9. Siposti mapichapicha ya kula bata sijui mahotelini, mavyakula, majuicejuice, na makorokoro mengine. So hata uwe na namba yangu hutaelewa napost nini status wala HUTAJUA MY NEXT MOVE AU MY CURRENT MOVE. Utakutana na Memes tu na Stori za kuwasema watu waliosomea Hechiara😅 Soko ni mwalimu wangu aliyenifunza kuwa, the more u understand the Market (na linakulipa vizuri) the more unaliona ni gumu na linakufanya kuwa mkimya. HUWEZI KUTA REAL FOREX TRADER AMBAE SOKO LINAMLIPA ANA ENGAGE KUBISHANA NA WATU KUWA FOREX IS NOT SCAM!. Ni mijaadala ya kupuuza..
Filipino
13
20
119
8.3K
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@tazamaMbali Swali linabaki kuwa pale pale je utajuaje kama kampuni itaendelea kufanya vzuri katika huduma zake na kutengeneza faida ili bei ya hisa zake zipande ? Hata huko kwenye hisa ukiingia kichwa unapigwa za uso ,sababu bei inaweza kuporomoka kutokana na sababu mbali mbali za kiuchumi
Indonesia
0
0
0
22
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@tazamaMbali Hisa unakuwa sehemu ya umiliki wa kampuni hio ... Ukinunua hisa za crdb maana yake na wewe unakuwa sehemu ya umiliki wa kampuni ,so ikipata faida Kuna gawio utapata ,kama kampuni ikipata hasara na wewe uko kwenye loss sababu hisa zitashuka .....!! Kila kitu ni risk
Indonesia
2
0
3
403
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@kasesco_tz -usitrade ,soma project,pata taarifa sahihi ...buy and hold - take profit soko likipanda .. - soma sana ..... discipline+consistency=win Jipe muda ,pesa ya fasta ni scam .....mwisho wa siku lazima utawin
Indonesia
0
0
0
4
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@kasesco_tz -Soma crypto,. -ACHA kutrade future na leverage... -Jichanganye discord ,telegram na tweeter kujua community na dev wakubwa wa crypto.. -acha kufanya technical na fundamental analysis deal na whales wanaopandisha soko (market maker ) - kuwa karibu na watu wa kubwa kwenye crypto
Filipino
1
0
1
28
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Ana omba ushauri ana 1.5M afanye biashara gani ?
kasesco☆ tweet media
Indonesia
14
14
65
5.7K
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@gabyconscious Unasema nitoke hapa niende sehemu siijui then what ? Nilale nje sawa harafu ? .... Ungeeleza story ulianzaje baada ya kufika kenya Huna kitu na humjui mtu mpaka kuwa na kitu ....
Indonesia
1
0
4
788
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Nilitoka Bongo kwenda Kenya nikiwa na miaka 21/22 Sikujua hata wapi nitafikia Nilienda Day one na kurudi mara ya pili nikazoea Kama kuna ushauri nitampa kijana kabla ya miaka 30 anaejitafuta aende sehemu ambayo hana hata nauli ya kurudi a-fight ARUDI. Atapata somo kubwa sn.
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Indonesia
44
24
344
50.1K
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@gabyconscious Nyie ndio wale ... "Nilianza na laki Saba saizi Nina duka la vifaaa vya ujenzi lenye thamani ya shilling million 300" Lakin jinsi alivopush laki Saba mpaka kufika million 300 hawezi kukuambia hapo katikati.....story zinaruka ruka TU 🤣
Indonesia
1
0
8
1.1K
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@MkulimaKante As long as anapata pesa hakuna shida ,ajira serikalin ni ngumu mnoo ,huko private sector ndio balaaa
Indonesia
1
0
4
862
Kante
Kante@MkulimaKante·
Wadau degree zishakuwa nyingi sana mtaani. Leo nikiwa kwenye harakati zangu za kiugonga ulimbo nakuta muuza uduvi anaongea na wazungu kama wanne hivi ikabidi nisogelee kumsikiliza japo siijui vzuri kiingereza. But yule muuza uduvi alikuwa anaongea yai limenyooka kichizi kama nusu saa mfululizo wale wazungu wakachukua uduvi wakapita hivi. Ikabidi nipige story mbili tatu na mdau hasa kujua elimu yake jamaa kamaliza Muhimbili kabisa 2020 kasomea udakitari wa maabara hadi picha za gadueshini kanionyesha. Nimesikitika sana, Mungu amsaidie
Indonesia
34
26
428
31.3K
I AM
I AM@francismtey·
Kwa Mtu Ambaye Amewahi Kununua, Course ama Maarifa Yoyote ya Mafanikio. Utakuja Kugundua Kinachonfanikisha Mtu. Sio Course/Maarifa Uliyonunua. Bali ni Mambo haya, 1. Mind-Setting ( Uwezo Wa Kuset Akili Yako) 2. Uwezo Wa Ku stick Kwenye Plan 3. Consistency / Repetition 4. Uwezo Wa kuukubali Mchakato. 5. Isolation Hayo Mambo ni sio Rahisi. Maana Yana Face, Hali yako ya Ndani Ipoje. … Ku- LOCK IN sio. Kwa Kila Mtu! Inahitaji Roho Ngumu. Na Ndio Kitu ambayo Huwa nafundisha. Hakikisha Kwanza Internal Uko Vizuri. … I AM ^Abracadabra^
I AM tweet media
Indonesia
11
3
52
9K
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@gabyconscious Kiufupi ongea na dereva wa gari kujua gari inaenda wapi na sio kufuata uelekeo wa gari TU 🤣
Indonesia
0
0
1
15
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@gabyconscious Mtu pekee anaweza nambia kuhusu hisa nikakubali ni wamiliki wa kampuni halisi kama crdb ,nmb ,voda ....(Kujua za ndani )hao ndio wanajua mipango ya kampuni na namna inavoenda kuendeshwa hapo badae kuleta wateja na kutengeneza faida hatimae hisa kupanda ....wengine ni motivation
Indonesia
1
0
0
110
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@Almalik_Mokiiwa Mimi navojua ,wabongo walivo wavivu kusoma na kujituma .....utakuja kuitwa tapeli na wanafunzi wako mwenyewe humu humu X mkuu 🤣
1
0
1
420
Almalik Mokiwa
Almalik Mokiwa@Almalik_Mokiiwa·
Anyway. Wazee ambao mmejipanga kuingia intake hii ya januari nilitaka kutoa utaratibu wa booking leo, ila nikaona haitakuwa vyema kama nitakuwa sijazungumza na ninyi kabla hamjaingia kusoma. Sasa iko hivi, tuta cover almost Topic 18 (topics and subtopics) including different entries and entry patterns pamoja na Market Behavior. Ni heavy technical Learning. So kama changamoto yako kubwa ilikuwa ni technical, ukiwa na Kichwa kizuri basi huu mwaka utakuwa mwaka wa tofauti kwako. U'll become the man of ur own dream. Kwasababu utafundishwa vitu ambavyo ukimaliza pindi ukienda kwenye chart kubactest utaviona na ukienda kwenye real active chart ku forward test utaviona. Lakini pia, tutajifunza namna ya kutrade na session (by scalping) pamoja na Timing. Ya kusoma yapo mengi sana. Kulingana na system tunayotumia kutrade. Ila, hiyo inaweza isiwe hoja ya msingi. Hoja ya msingi ni hii.. Forex ni risk Business, kuyamudu masoko ni mchakato unao involve Jitihada zako binafsi, kujituma zaidi na kukimbia kukaa kwenye Comfort Zone. Mwalimu atatimiza wajibu wake, kwa kukupa unachostahili kupata na kilicho bora kwa wakati sahihi. Hii itakujengea msingi wa Ndoto zako katika career ya Forex LAKINI, jitihada zako ndio zitajenga kuta ngumu na kukufanya ujivunie kuwa wewe utakayekuwa! Kama ulishaanza kujifunza forex, lakini unahisi njia yako imekuwa ngumu sana hasa kwenye kuona mwanga, ukajiona unahitaji team ya kusoma nayo (familia) pamoja na mtu atakaye kuongoza basi utapata. Utajifunza kwa muda woote utakaotaka wewe na kujumuika nasi. Kila topic huwa ina kawaida ya kurudiwa mara nyingi zaidi na huwa hatuendelei mpaka kila mmoja awe ameelewa. Lakini pia, jitafakari kama unahisi unahitaji mentor, kwasababu wakati mwingine HAUHITAJI mentor, unahitaji ratiba ngumu na kujitoa ili kujipambania mwenyewe ufikie ndoto zako. Mentor sio mzizi wa wewe kukua katika Uchambuzi wa Masoko. Unaweza kujifunza PEKE YAKO NA UKAWA BORA. Mentor ni msindikizaji atakaye kuelekeza unapaswa ufanye nini, ushike nini, uache nini na ukifanye katika mtindo gani. Na kwa wale ambao ni Beginner kabisa, hawajui hata Forex ninini Mnapaswa kuelewa kwamba, hii ni biashara kama biashara zingine. Inakuhitaji kuwa mvumilivu, na uwe na utulivu wa mwili na akili. HUTAPATA HATA DOLA MOJA CONSISTENTLY kama hauna maarifa ya kutosha. Lakini pia, unapaswa kuelewa kuwa FOREX NDIO BIASHARA KATILI ZAIDI DUNIANI hasa kwa watu wasio na maarifa. Kuanza kulivuna soko sio matokeo ya siku moja, bali mlolongo wa masiku, miezi wakati mwingine mwaka au hata miaka. HAKUNA UTAJIRI WA SIKU MOJA. Ukiingia huku utapoteza pesa, utaingia stress, utatengwa na marafiki na wakati mwingine hata ndugu zako. Sisi tutakushauri tu usijiue, kwasababu Kesho yako ni bora sana na Inajengwa na Jitihada zako. Hutakuja kujutia. Kwahiyo kabla ya kuja kujiunga na Darasa langu jitafakari kwanza kisha Chukua Hatua. Madarasa yetu ni VERY SERIOUS, utakutana na watu kwenye makundi yetu wanapambana kweli kweli, wanakesha, na wapo serious sana. Sio kwasababu wametaka, ila ni kwasababu ya Msukumo wa mioyo yao na kiu ya kushiba maarifa PAMOJA NA MIFUMO YETU YA MALEZI (Mentorship). Nimezungumza mifumo yetu ya malezi kumaanisha yafuatayo 1. Ndani ya Makundi yetu kuhudhuria session ni LAZIMA siyo maamuzi yako. Ikiwa una mambo mengi na excuses KUONDOLEWA kwenye magroup yetu ni kitu kisicho epukika 2. Kuna assignments nyingi sana na ni Lazima ufanye, SIO maamuzi yako. Nakagua assignment na kurudisha feedback. Usipofanya bila ruhusa maalum kuondolewa kwenye group hakuepukiki. 3. Kufanya Risk management NI lazima (utafundishwa), ukitrade bila Stoploss. NAKUONDOA kwenye group. 4. Kuandika Weekly evaluation report (utafundishwa) kila ijumaa ni LAZIMA, siyo maamuzi yako. 5. Kuandika Jornal (utafundishwa) siyo maamuzi yako. Ni LAZIMA. 6. Huwa tunaunda team sometimes kwaajili ya kufanya Market research. Ukiteuliwa kuwa mwanakamati NI LAZIMA USHIRIKI. Siyo maamuzi yako. Mengine utakutana nayo huko huko. Subirini utrtbu w booking.
Indonesia
13
16
88
7.4K
The champ👑
The champ👑@fintanjr_·
Mwanachuo na jobless wenzangu,. Hapa kuna nafasi za sales specialist.. nahtaji team 4 za watu watano watano,.. malipo na bundle allowance ni kwa mwezi, una ifanya kama part time job,.. so easy.. na posibility ya ajira if utadeliver... yeah if interested check me dm nikueleweshe.
Filipino
5
4
8
675
toldyouam_Negro
toldyouam_Negro@negrette_negro·
@Hunter12vc @Sim0Xonz @tazamaMbali Sasa hapo wewe anakutumia kwenye first kivipi?yeye anakuuzia mbegu au Masham a yeye si kaelezea tu namna anavyofanya biashara yake kama uko interested ufanye na kama sivyo uiache, mbona jamaa kaongea vizuri tu hapo
Indonesia
2
0
2
30
Tazama
Tazama@tazamaMbali·
Nimeshangaa kuona watu wengi hawaamini kama unaweza kutengeneza 27M–40M ndani ya miaka miwili kwa mtaji chini ya milioni 5. Mimi nafanya kilimo, na hapa nitakushirikisha uzoefu wangu halisi kwenye hii thread. Hii siyo motivesheni wala hadithi za kufikirika. THREAD🧵👇
Indonesia
37
97
696
57.9K
Zero brain
Zero brain@Hunter12vc·
@tazamaMbali @Sim0Xonz Wewe hicho ulichoandika sio biashara,na Wala in real life haiwezi kutokea ,umeandika kama motivation speaker TU ,kila mtu mwenye akili timamu anajua ulichoandika ni nadharia TU kwa ground ni kumoto...
Indonesia
1
0
0
20
Tazama
Tazama@tazamaMbali·
@Hunter12vc @Sim0Xonz Shauri yako, ila mm sitaomba wala kutaka hela ya mtu na asitoshe hakuna anayenijua
Filipino
1
0
1
58