@Sirajitz1 Maku hainaga makombo
Pia kwasasa hakuna mwanamke wa peke yako na kumkuta bikra ni ngumu sana
Wewe pia wanawake uliotembea nao ni mademu zawatu kwa muda mrefu
Mtangazaji 🎤 D voice Ni kweli wewe na Lulu Diva mnatarajia kupata mtoto na mimba ina miez mingapi
D voice 🎤 Ni kweli natarajia kupata mtoto na Lulu Diva , soon na kuhusu miez ya hio mimba hio ni siri yetu
🎤 Watu wanapenda ku judge pia umri niseme tu kama uliwahi kusikia msemo wa Mapenzi ni upofu basi jua mimi ni kipofu mwenyewe
----------------------------------
Hivi hii mishangazi hua ina dawa ama🤔 mtu anajua ma ex zake zaidi ya 7 waliopita nae ila bado anadata na kuchanganyikiwa . Imagine brazah wozzu kwa wema Sepetu
Mapenzi noma wanangu 🙌
Nina changaoto ya Sikio linauma mpaka kwenye taya za meno nazo zinauma, natumia dawa ile ya Maji naweka asubuhi na usiku ila bado haijasaidia 🥹
Kuna dawa nyingine ambayo inaweza saidia msaada 🙏🏻
Kuna nguchiro wamechapisha namba yangu binafsi ya simu mitandaoni na kuanza kuhamasisha watu wanishambulie. Nataka kuwaambia huo ni upuuzi na ni uvunjaji wa Sheria.
Ukiondoa watu wachache sana wanatuma meseji za hovyo, asilimia 99 wananitumia meseji za kunitia moyo na kueleza utayari wao wa kuilinda nchi yao dhidi wenye nia ovu. Wale wanaoeleza changamoto za ajira na mitaji ninawapa majibu na nafikisha kwa wahusika zifanyiwe kazi.
Nguchiro na chawa wa nguchiro acheni kupoteza muda na rasilimali mkiporomosha matusi, tulieni na tuungane kujenga na kulinda nchi yetu.
@Adventure_36 Nakumbuka, boss wq Latra alieleza vizuri sana kigezo cha nauli kupanda na taratibu zake. Kumbe nauli haziongezwi kama vocha ni mchakato. Serikali ina taratibu nzuri sana, shida sisi na mihemko
Mwenyekiti wa chama cha Wamiliki wa Daladala mkoani Dar es Salaam anasema hizi ndo nauli walizopendekeza wao kutokana na kupanda mwa mafuta.
Nauli ya 600 iwe 850
Nauli ya 700 iwe 1300
Nauli 800 iwe 1700
Nauli ya 900 iwe 2100
Nauli ya 1100 iwe 2500
Nauli ya 1300 iwe 3000
Lakin
Kauli hiyo inapotosha. Idadi haikuwa ndogo, na hata kama ingekuwa, maisha ya binadamu hayapimwi kwa mizani ya kulinganisha na maafa ya wengine. Kila kifo ni hasara kubwa kwa familia na taifa. Badala ya kupunguza uzito wa tukio, jamii inapaswa kuonyesha masikitiko, kuwajibika, na kuhakikisha haki na usalama vinatangulizwa. Maisha ya Mtanzania hayapaswi kupunguzwa kwa takwimu.Taifa hujengwa juu ya kulinda uhai, si kulinganisha maumivu yake na ya wengine. Ni muhimu jamii kuendelea kujua ukweli na kutambua uzito wa kila tukio na huchukua hatua za kuhakikisha halijirudii tena.
Watu wa Mwanza mnasiri sana kumbe jana kulikuwa na tukio kubwa hivi halafu hatuambiani?
Halafu ukute hawa Polisi ndo wale kazi yao kubambika watu kesi za mchongo.
Pale tu Ndala alipokataa goli la Senegal ndio ishu ikaanza . Goli la Sarr should've stood . Seck was more stronger than Hakimi . And the penalty ni right decision pia .
consistency.!