Imaginator

378 posts

Imaginator banner
Imaginator

Imaginator

@ImaginatorAndy

Katılım Nisan 2024
66 Takip Edilen11 Takipçiler
Imaginator
Imaginator@ImaginatorAndy·
@1TraVeLA Ikifika mpaka tarehe 31 May ligi haijaisha basi itaisha mwezi wa 8
Indonesia
1
0
0
687
Godfrey Achireka Jr.
Godfrey Achireka Jr.@1TraVeLA·
Ligi kubwa za uropa zitakuwa zimeisha, fainali ya ucl ishafanyika , Kombe la dunia limeshaanza na kufikia katikati ya mashindano .. Ndio labda ligi kuu ya Tangannyika 2025/2026 itakuwa imemalizika!. N.B ligi hiyo ina timu 16 tu! 😀😀😀
Indonesia
9
17
265
9.6K
Skinny ²
Skinny ²@Skinny36479503·
@NNgabu_ shida ni kuwa Lisu snataka awe Rais kwa njia yeyote ile hata ikibidi itokee vita kama ya iran na america😁
Indonesia
3
0
1
55
Nyani Ngabu
Nyani Ngabu@NNgabu_·
Lissu na genge lake walishindwa nini kustaafu siasa kama huyu mwanamama badala ya kuhamasisha uchafuzi wa Oktoba? Wanaume wazima wameshindwa maarifa na huyu mama? Hili ni somo pia kwa Mange na Maria. Kuna njia nyingi za kupata pesa bila kusaliti nchi kupitia harakati uchwara.
Halima James Mdee@halimamdee

New Life!

Indonesia
19
7
15
1.9K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amesema Serikali itaendelea kufuatilia mwenendo wa bei za bidhaa, ikiwemo mafuta, kutokana na athari za vita vinavyoendelea duniani.
Indonesia
2
0
15
2.2K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema kuwa ni nadra kumpata Rais mwenye upekee wa kuacha majukumu ya Ikulu na kwenda porini kushiriki shughuli za kurekodi filamu. Akizungumza katika kikao kazi cha Maafisa Utamaduni, Sanaa na Michezo kilichofanyika ukumbi wa AICC jijini Arusha, Msigwa alisisitiza kuwa hatua hiyo inaonyesha namna uongozi wa juu unavyothamini sekta ya sanaa na utamaduni nchini. Alieleza kuwa ushiriki wa Rais katika shughuli kama hizo unatoa motisha kwa wadau wa tasnia ya filamu na sanaa kwa ujumla, huku ukiitangaza Tanzania kimataifa kupitia vivutio vyake vya asili.
Indonesia
162
9
79
24.9K
Imaginator
Imaginator@ImaginatorAndy·
@RickyJaduong86 Upeo tu wa kusolve mambo ndio mdogo, propaganda inatumika mahali pasipohitajika.
Filipino
0
0
0
51
Punch-UDSM90
Punch-UDSM90@RickyJaduong86·
KUNA propaganda isiyo ya lazima sana kuhusu swala Mafuta! WHY? Kwa sababu si la SSH wala la Watanzania. Sasa serikali inalazimika kufanya propaganda za KIJINGA kwa nini? Mafita lazima yatapanda bei tu JAMBO kuu ni serikali inachukua hatua ghani kuwalinda watumiaji??
Indonesia
4
3
49
1.5K
Mzee wa Chuki 🤬
Mzee wa Chuki 🤬@PapiiKhan98·
Kwahiyo kina Sativa ndo waliwaambia Portugal wasipate Goli dhidi ya Mexico. Baraka yawezekana hapa umetumia kinembe kutype.🚮🚮🚮🚮
Indonesia
15
17
143
11.9K
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
HABARI PICHA: Hospitali ya Taifa Muhimbili imemtunuku tuzo ya heshima ya udaktari bingwa bobezi Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni kutambua na kuthamini mchango wake mkubwa katika mageuzi ya huduma za Afya Nchini. Tuzo hiyo imetolewa kwenye hafla iliyowakutanisha Madaktari na wauguzi Bingwa bobezi Machi 28, 2026 kwenye Hoteli ya Johari Rotana jijini Dar es salaam.
Jambo TV tweet media
Indonesia
256
16
242
87.7K
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
“Ili waone aibu.”😂😂😂😂😂
Indonesia
85
22
183
9.4K
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Hii Project iliishia wapi 😆 hii nchi 😁
Mangi wa Kichaga tweet media
Eesti
22
19
185
7.7K
Imaginator
Imaginator@ImaginatorAndy·
@cw_pedro Huyo kumshauri kwa sasa ni ngumu, maumivu yake ni makubwa mno
Indonesia
0
0
0
146
Maviatu 👞👟🥾🛍️🛒
CDM walimuumiza sanaa Yericko. Mnyalukolo anajitahidi kujifanya mgaya sida. Ila wapi 🤣
Indonesia
47
30
482
22.8K
Imaginator retweetledi
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
MAWAKILI WA CHADEMA WAKIWASILI DODOMA KUTETEA CHAMA CHAO: Ni haki kwa mlalamikaji yeyote kutafuta haki yake mahakamani ila historia inaonesha matumizi ya mifumo ya mahakama kutatua migogoro ya vyama vya siasa hayajaonesha mafanikio ya kudumu barani Afrika. Mfano mashuhuri ni ANC iliyopigwa marufuku mwaka 1960 na Makaburu, ikalazimika kufanya shughuli zake kwa siri, takriban miaka 32 viongozi wake wakifungwa au kukaa uhamishoni. Matokeo ANC ikajijengea uhalali mkubwa ndani na nje ya nchi na hatimaye, Mfumo wa ubaguzi ulipoanguka, ANC iliibuka ikiwa na nguvu zaidi na kushinda uchaguzi wa kwanza wa kidemokrasia mwaka 1994 chini ya uongozi wa Nelson Mandela. Jaribio la kukiondoa chama hicho kupitia sheria liliishia kukiimarisha. Pili ni Senegal, chama cha PASTEF kilipigwa marufuku mwaka 2023. Hatua hiyo ilichochea hisia za wananchi dhidi ya kile kilichoonekana kama ukandamizaji wa kisiasa, na mwaka mmoja tu baadaye, 2024, viongozi wanaohusishwa na chama hicho walishinda urais. Tukio hili linaonyesha jinsi hatua za kisheria zinavyoweza kubadili chama cha upinzani kuwa alama ya mapambano ya kisiasa. Tatu, Gambia, wakati wa utawala wa Yahya Jammeh, vyama vya upinzani vilikumbana na vizuizi vikali, ikiwa ni pamoja na kupigwa marufuku. Hata hivyo, vyama hivyo vilijipanga upya, vikaungana, na hatimaye kushinda uchaguzi wa mwaka 2016. Hivyo basi, ukandamizaji haukuondoa nguvu zao bali uliwafanya wawe na mshikamano zaidi. Tanzania tunatambuliwa kuvisaidia vyama vya ukombozi wa Afrika hadi uhuru wao, huku vikiwa vimepigwa marufuku na tawala za kikoloni ikiwemo: ZANU-PF ya Zimbabwe, MPLA ya Angola, na FRELIMO ya Msumbiji. Matumizi ya mahakama katika ushindani wa kisiasa hakulipi. USHAURI WANGU TUJISAHIHISHE NDANI NA NJE YA VYAMA VYETU kushindania uongozi bora hasa wakati huu tunapohitaji MARIDHIANO na MSHIKAMANO ili kulileta taifa letu Pamoja.
Anna Tibaijuka tweet media
Indonesia
94
358
1.3K
50.2K
Imaginator retweetledi
BBC News Africa
BBC News Africa@BBCAfrica·
#BBCAfricaEye investigates a wave of enforced disappearances spreading fear across Tanzania – told through powerful testimonies from survivors of abduction and torture. 🎥 Watch the documentary 'State of Fear' here: bbc.in/4kcyrkB
BBC News Africa tweet media
English
93
1.3K
3.2K
260.6K
Imaginator retweetledi
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Uchaguzi umepita yupo ndani💔 Christmas imepita yupo ndani💔 Mwaka mpya umepita yupo ndani💔 Eid imepita yupo ndani💔 Possibly na Pasaka itapita yupo ndani💔
WHYMYCATISSAD tweet media
Filipino
52
219
1.3K
18.5K
Williard
Williard@prolific_88·
Team imalaaniwa hii aiseee kmmk.
Williard tweet media
Filipino
8
5
71
4.3K
WHYMYCATISSAD
WHYMYCATISSAD@INFLUENCERjr·
Hapa Tanesco walikuwa wanazungumzia Julai gani??
WHYMYCATISSAD tweet media
Indonesia
46
16
179
17.9K
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Hii game imeisha labda waliobet Over 2.5 Wengine muendelee kujenga Taifa. 😂😂😂
Taivina James tweet media
Eesti
35
8
407
19.4K
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Ipo siku Lengo litatimia Bunge litajadili policy rafiki kuhusu Kamari. Na tutakopwa Stake za Bilion mbili au tatu.😎
Taivina James tweet mediaTaivina James tweet mediaTaivina James tweet mediaTaivina James tweet media
27
42
419
26.6K