Innocent Kalikawe

2.4K posts

Innocent Kalikawe banner
Innocent Kalikawe

Innocent Kalikawe

@Innocent087

Know why then do it. BA in Planning&Community devl/Painter/Electrician/Activist/A speaker of Swahili, English, German & Spanish.

Tanzania Katılım Ağustos 2022
926 Takip Edilen94 Takipçiler
(---) Onesmo Mushi
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz·
Nina hakika ukimnyanyua mmoja kati ya hawa, ikiwemo huyu anayeongea, na kumuuliza katika miaka minne ya Rais @SuluhuSamia madarakani, ni ajira ngapi zimetengenezwa kwenye kada unayoisomea? Hawezi kujibu. Nawaonea huruma sana wadogo zetu, laiti wangejua!
Indonesia
109
38
242
25.5K
Innocent Kalikawe retweetledi
UMMA wa Tanganyika
UMMA wa Tanganyika@Mtanganyika1234·
Retweet kwa TL Like kwa Bi Mkubwa Mkilike vizuri ntatolewa kabatini 🙏 Mkiretweet vizuri ntabeba bango jumatatu!
UMMA wa Tanganyika tweet mediaUMMA wa Tanganyika tweet media
Filipino
8
900
166
27.8K
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
📌 Bookmark this Chama cha SAU - Sauti ya Umma kilipata usajili tarehe 17 Februari 2005 😀😀🔥 Ni hivo tu! Hii habari ya SAU ni ya 2021 👇🏾 Semeni kimeumana! Eniwei #TutaelewanaTu
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
11
22
109
76.2K
Shasila Nabipa
Shasila Nabipa@Shasilanabipa·
Narudia tena kuuliza hili swali Ni kwanini mwami hakutani na mikikimikiki ya polisi..??
Shasila Nabipa tweet media
Indonesia
394
78
1.6K
106.6K
Innocent Kalikawe retweetledi
Bwanashamba wa taifa 🇹🇿
Hii aina ya muhogo ijulikanayo kwa jina la CHEUPE. Shambani utaiweka kwa miezi 4 tu,ndio mihogo inayopendwa kwa sasa kwakua ni milaini na inaivaa kwa haraka ambayo imeiteka Soko la Dar. Mche mmoja hutoa wastani wa kilo 8 hadi 15. Na ekari moja utaingiza wastani wa miche 1778.
Bwanashamba wa taifa 🇹🇿 tweet media
Indonesia
30
43
303
22.1K
DOCHA 
DOCHA @ALugandu·
Ajira Ni Ngumu Sana Ukipata Mishe Ya Kufanya Na Inakupa Vijisenti Komaa Nayo Tu..!!
Indonesia
35
64
565
22.4K
Dr Calipso
Dr Calipso@nulphin·
Waziri Mavunde anasema Dhahabu inayochimbwa nchi nzima inachangia 10% tu ya Pato la Taifa. Wanaoongoza hii nchi ni wajinga na wapumbavu yaani 10%. Ndo maana Traore alichukua nchi huu ujinga tunakoelekea i pray tupate mashujaa Jeshini
Dr Calipso tweet media
Indonesia
98
165
1.8K
133.7K
M.D (🅨)
M.D (🅨)@ReganTesla_·
Sorry Rahma! Kabla ya nafasi hii unayoomba uliwahi kuwa kiongozi gani katika ngazi yotote kwenye Jamii?? Na katika nafasi hiyo ni mafanikio gani yaliyotokana na Uongozi wako mpaka kukupelekea kuona sasa unafaa kuwa Mbunge? Nawasilisha swali kama Mwananchi wa Jimbo lako tarajiwa🙏🏾
Rahuuuum@RahmaMwita

Namshkuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia Afya, Utashi na Hamasa ya kwenda kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni siku ya leo. Kwa wale mnaosema siwezi nawakumbusha tuu Jesca hakumsupport Baba yake. Asanteni Nyote mmenitia nguvu sana. 💜

Indonesia
40
9
141
50K
Innocent Kalikawe
Innocent Kalikawe@Innocent087·
@rollymsouth Na ndio chama kinachopoteza muda hakina hoja, harafu cha ajabu ni kupoteza muda hakina hoja lakini viongozi wake na wafuasi wanakamatwa kila kukicha. Hahahaaaaah...!
Indonesia
0
0
0
30
Rugilandavyi Barabona
Rugilandavyi Barabona@rugilandavyi·
Mbunge (na waziri mara 3) haoni umuhimu wa masomo ya quadratic equation na periodic table kwenye maisha, 😂Mind you these 2 topics (Algebra and Elements) are the VVVVVVERY basics of maths and science that made and make all modern civilisation and industrialisation possible. Shame
EastAfricaTV@eastafricatv

#Bungeni: Akichangia Bajeti ya Wizara ya Elimu, Mbunge wa Kuteuliwa (CCM), Shamsi Vuai Nahodha ameweka mkazo kwenye uhusiano wa kile kinachofundishwa darasani na uhalisia wa maisha. Kwa urefu zaidi unaweza kuitazama kupitia YouTube channel yetu ya EastAfricaTV #EastAfricaTV #Bungeni #HainaKuchoka #EATV2025

English
118
106
617
94.7K
Innocent Kalikawe
Innocent Kalikawe@Innocent087·
@rollymsouth Kuna haja ya kuhoji elimu yake, na kama amesoma basi alikua H kunani. Hawezi kuibeza hesabu hivo uenda kwa kazi zake quadratic eqn sio muhimu, harafu ambacho hajui sayansi imesaidia wengi sayansi haijawahi kumtupa mtu.
Indonesia
0
1
0
63
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Aseme yeye ndio haitumii bungeni kuna watu wanaitumia kazini kwao..Ana point ila palikuwa hakuna haja ya kubeza hesabu kwenye uhalisia wa maisha,miwani aliyovaa tu iyo ina hesabu na physics ila hawezi kuona
EastAfricaTV@eastafricatv

#Bungeni: Akichangia Bajeti ya Wizara ya Elimu, Mbunge wa Kuteuliwa (CCM), Shamsi Vuai Nahodha ameweka mkazo kwenye uhusiano wa kile kinachofundishwa darasani na uhalisia wa maisha. Kwa urefu zaidi unaweza kuitazama kupitia YouTube channel yetu ya EastAfricaTV #EastAfricaTV #Bungeni #HainaKuchoka #EATV2025

Indonesia
44
18
254
29.6K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Wananchi wa Mwanza wanaimba "Hecheeee!.. Hecheeee!.. Hecheeee!.." Yani kama unauchukia uongozi wa sasa wa CHADEMA ukiona hizi vitu unaweza kufa kwa pressure au kisukari kikapanda.😂
Indonesia
46
211
1.3K
25.7K
Rahuuuum
Rahuuuum@RahmaMwita·
Namshkuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia Afya, Utashi na Hamasa ya kwenda kuchukua fomu ya kugombea Ubunge wa Jimbo la Kinondoni siku ya leo. Kwa wale mnaosema siwezi nawakumbusha tuu Jesca hakumsupport Baba yake. Asanteni Nyote mmenitia nguvu sana. 💜
Rahuuuum tweet media
Indonesia
281
110
845
103.7K
Jon Mrema
Jon Mrema@JonMrema·
Fukuzafukuza huko Chadema imeshika kasi mpaka usiku wa manane . Mliobakia huko jipangeni wana lengo la kuwadhalilisha tuu na sio vinginevyo . Poleni sana wapiganaji na Makamanda .
Jon Mrema tweet media
Filipino
562
17
235
117.9K