Jameson06
8 posts


Baada ya bodi ya Simba kumpa cheo cha "Urais wa heshima" Mo Dewji sasa Msemaji wa Yanga Haji Manara amemkali kooni na kusema kuwa Mo hastahili kupewa cheo hicho na waliompa wakifute haraka cheo hiko.
Je, kweli Mo hakustahili cheo alichopewa?
YouTube ipo ndefu zaidi.#KitengeTv
Dar es Salaam, Tanzania 🇹🇿 Filipino





