Jerry Silaa
8.3K posts

Jerry Silaa
@JerrySilaa
Minister for Lands & Housing MP for Ukonga | mPAP | BSC in Electronics Science & Communication UDSM | MBA MSM-Esami | LL.B-OUT | PGD LP-LST |
Dar es Salaam Tanzania Katılım Ağustos 2011
181 Takip Edilen84.6K Takipçiler

@hancymachemba @JerrySilaa Hilo jimbo ni maksudi wanalifanyia au? Hata jimbo la segerea nalo ni yaleyale..barabara mbovu sana..
Indonesia

Maisha yetu watu wa Ukonga yamekuwa ya tabu sana miaka nenda rudi. Mwanzo tuliambiwa tatizo ni upinzani na sasa tuna mh @JerrySilaa wa CCM maisha yale yale tu. Tuliambiwa barabara nyingi zinaanza kunjengwa mwezi wa nne kupitia mradi wa DMDP na mpaka sasa sijaona mkandarasi popote
Indonesia

@hancymachemba @JerrySilaa Ukonga wanaishi wavamizi hilo eneo halitakiwi kuendelezwa ni eneo la kimkakati ni eneo la jeshi na ni eneo la Anga pia watu waliopo Ukonga wanatakiwa kuondoka na kupisha hayo maeneo walio yavamia hivyo hawana haki kama watu wa Ngorongoro mjiandae kupelekwa Msomera Tanga..
Filipino

@Massawe1Rogers @JerrySilaa 😂😂😂😂😂
Haina shida maana nitaanza na mwenyekiti na diwani kisha nasubiri mwakani nione mwingine nani wa kumpunguza asitucheleweshe tena.
Indonesia

@hancymachemba @JerrySilaa 🤣🤣🤣vuta subra ndugu yangu mkandarasi atafika hapo mwakani mwezi wa 9😂
Indonesia

@hancymachemba @JerrySilaa Ukonga kama ukonga. Tunaipenda Ukonga yetu na tunamzimia kinoma mbunge wetu @JerrySilaa. 30 tena kwake. Yaani babrabara ilivyo nzuri kuanzia Msongola hadi Banana mpaka majimbo mengine wanatuonea donge. Ila yale mawe wameweka hapo Kizuiani ndio yapondwe na magari au nia nini?
Indonesia

@algheirabhan @JerrySilaa We huna akili. Mihemko ni kusubiri kwa miaka mingapi? Nipo kitunda wamekuja wabunge wengi na kuondoka halafu unaniona ni mihemko hii?
Indonesia

@Seleman91124854 @JerrySilaa Kwann ututenge ndugu zako kaka? Uje kutusalimia utapata kuku na mayai pia. Ww umekuja siku moja unasema kurudi tena wakati sisi ndiyo maisha yetu miaka yote😂😂😂
Serikali nadhani haitambui kama huku kunaishi watu na wanalipa kodi
Indonesia

@hancymachemba @JerrySilaa Awamu ya pili ya pesa za DMDP naskia zilitoka ili kujenga barabara za wilaya ya Ubungo na huko kwenu. Sasa nadhani wamechepusha. Maana mpaka mikutano serikali za mitaa ilifanya kuwapa taarifa na kuwaandaa watu
Indonesia

@hancymachemba @JerrySilaa Hancy nilishakwambia hama huko njoo Mbezi kwa Msuguri!😂😂
Indonesia

Tukitafakari mateso ya Yesu Kristo, Nawatakia ljumaa Kuu njema.#GoodFriday #sikuyaijumaakuu

Indonesia
Jerry Silaa retweetledi





