Jipson🛰️

1.2K posts

Jipson🛰️ banner
Jipson🛰️

Jipson🛰️

@Jipsonshaka

Man of people very humble and knowledgeable.

Katılım Temmuz 2018
1.3K Takip Edilen348 Takipçiler
Jipson🛰️ retweetledi
MOVIESPHERE🎬
MOVIESPHERE🎬@Moviesphere1·
Mdogo wangu; Anayekutuhumu ndiye anayepaswa kuthibitisha tuhuma zake mwenyewe. Mfano Sheria ya Ushahidi ya Tanzania, inasema;- mtu anayetaka mahakama iamue juu ya ukweli fulani lazima athibitishe ukweli huo. Hii ndiyo maana ya burden of proof chini ya Evidence Act, section 117. Kwa maoni yangu, vijana mnatakiwa kusoma Sheria kuliko biblia, Quran na meseji za wapenzi wenu. Pili vijana mnatakiwa kuhudhuria session za mahakama kuliko makanisani na misikitini maana haki haitolewi na vifungu vya dini ila vya Sheria. Tatu, nadhani ipo haja ya washinikiza Sheria kupata mafunzo maalumu ya kupevusha upeo wao wa uelewa kutoka upeo wa chini wa mazoea ya amri waliyonayo, mpaka upeo wa juu wa uelewa wa tafsiri za Sheria, haki na utu, ili tuhuma zisiwe kwenye mihemko ya hisia za kisiasa na ufinyu wa uelewa. Inasikitisha kuona anayekutuhumu Kwa kosa la cyber crime amesomea kutengeneza friji na amesoma introduction to computer miezi 3, wakati unayetuhumiwa umesoma na kuhitimu computer technology, psycho intelligence, Sheria n.k, miaka ya kutosha. Inasikitisha zaidi pale anayekutuhumu ameishia form four Q, Kisha akajichomelea elimu mbalimbali kuongeza mshahara, wakati wewe mtuhumiwa umeamua ku dropout kuhitimu PHD ili karo ufugie mbuzi. Ikumbukwe, sehemu yeyote ukiwa na watumishi wenye upeo wa chini sana wa uelewa na elimu, watakutengenezea matatizo mengi na wataishia kufanya kazi za kujipendekeza, na zaidi watakuchafua image Yako kikamilifu. Anyways, nanunua kesi za kuvundika...
Filipino
0
1
0
30
Jipson🛰️ retweetledi
joseph_selasini
joseph_selasini@joeselasini·
Hawa hawafanani na Shekhe Alhad Mussa na Mwaipopo. Huku ndiko kumtumikia Mungu. Kusema kweli na kukemea uovu.
Filipino
7
117
474
12.8K
Jipson🛰️
Jipson🛰️@Jipsonshaka·
@master_plan9 @rollymsouth Je kwenye space ata slide malipo yalivyofanyika pamoja na risit za miamala au itakuwa ni narrative tu? Au methodology gani ambayo ataitumia kuonesha ushaidi wake wa malipo?
Filipino
0
0
0
9
Masterplan🇹🇿
Masterplan🇹🇿@master_plan9·
Kwanini Mnamng'ang'aniza @rollymsouth Aandae Thread Wakati kanyoka kasema Iwekwe Space Ili tujue Mbivu na Mbichi Kuna Kitu Hakipo Sawa Mpaka Sasa Acha Tuendelee Kula Nyama zipo Chini Mi nipo kwenye pikipiki nimembeba mteja.
Filipino
12
11
48
1.9K
Jipson🛰️
Jipson🛰️@Jipsonshaka·
@lifeofmshaba @rollymsouth Kama mwanzo alitoa taarf ya kimaandishi kushukuru kuwa malipo yalifanyika vivyo hivyo atoe ushaidi wa kimaandishi ya malipo (risit) tunazihitaji tuna kazi nazo kwa baady. Hakuomba ruhusa kutoka other side to post leo anaomba ili iweje kama viambata vya malipo anavyo?
Jipson🛰️ tweet media
Filipino
0
0
0
17
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Wanaomuomba @rollymsouth asiandike ushahidi alionao wanakosea sana acheni kumuomba asiandike wanataka tumia hiyo kujificha na @rollymsouth andika acha kujifanya kama vile wewe kila tweet unaomba ruhusa kupost humu, toka lini account yako kuandika kitu mpaka upewe ruhusa, shusha ushahidi namna vijana walilipwa na Change Tanzania na project ya Change Tanzania iliyokuwa chini ya ford 2025 rudi nyuma hata 2022 onyesha project yoyote ila ambayo ndio unadai vijana walilipwa na kuandamana na namna pesa ilitembea acha kona kona na kujificha kwenye vichaka vidogo vidogo, mimi nahusubiria huo ushahidi kwa hamu sana nina kazi nao
MR BEN@Eric__Bernard

Mbona inatumika nguvu kubwa dhidi ya Madenge kusema aliyonayo? Kwa nini Hamtaki aseme? Kwa nini asisikilizwe? Kwa nini tuaminishwe story za upande mmoja? Kwa nini Hampendagi kusikia msiyoyapenda? Hata Shetani alikua Malaika!!

Filipino
22
30
209
24.5K
Jipson🛰️ retweetledi
GASTON SHUNDO GARUBINDI
GASTON SHUNDO GARUBINDI@ShundoGaston·
MUNGU NI MWEMA, MAHAKA KUU IMEKUBALI PINGAMIZI LA MAWAKILI WA CHADEMA- KESI YA MGAWSNYO WA MALINZA CHAMA IMEFUTWA RASMI LEO Mahakama kuu ya Tanzania, Masijala ya Dar es salaam leo imetoa uamuzi kufuatia pingamizi la mawakili wa Chama waliloweka wakidai hati ya madai haikuonrsha lini mgogoro ulianza jambo ambo ni kinyume cha Sheria. Awali pingamizi hili lilipowekwa Jaji Mwanga aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo alidai kwamba, wakati kesi ikiendelea itajulikana mbele ya safari ni lini hasa madai yalianza. Ikumbukwe kwamba, Mahakama ya Rufaa baada ya kusikiliza hoja za majereo ilielekeza mahakama kuu ikaamue hoja hiyo mbele ya jaji mwingine ambapo kesi hiyo ilipangwa mbele ya Mhe Jaji D. Ngunyale. Leo, Mahakama imetoa uamuzi na kukubaliana na hoja zetu kwamba kitendo cha waleta madai kushindwa kuonesha lini hasa madai yao yalianza kinainyima mahakama nafasi ya kujiridhisha kama kweli inayo mamlaka ya kusikiliza madai husika. Kufuatia hali hiyo, kesi hiyo namba 8323/2025 imefutwa rasmi leo. Nawashukuru marafiki wote ambao mumelia nasi kama chama kwa namna moja ama nyingine, hakika leo tumshukuru Mungu kwa pamoja.
Indonesia
13
80
274
3K
Jipson🛰️
Jipson🛰️@Jipsonshaka·
@Eric__Bernard Maelezo matupu bila viambata ni uongo, mwambie aweke risit za miamala za wapokeaji za bank ama za mobile.
Indonesia
0
0
0
19
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Mbona inatumika nguvu kubwa dhidi ya Madenge kusema aliyonayo? Kwa nini Hamtaki aseme? Kwa nini asisikilizwe? Kwa nini tuaminishwe story za upande mmoja? Kwa nini Hampendagi kusikia msiyoyapenda? Hata Shetani alikua Malaika!!
Indonesia
63
26
191
42.8K
Jipson🛰️
Jipson🛰️@Jipsonshaka·
@Zephania_Ndaki Je fd foundation ilitowa pesa kulipia waandamaji hoja iko hapo?. Miamala ya fedha ambaz waandamaji walipewa ama kupokea iko wapi? Ni wazi taasisi nying zina toa misaad kusaidia nchi masikini lkn si kwa waandamaji tambua hilo. Aya wewe na madenge utofauti wenu uko wapi?
Indonesia
1
0
1
650
Big
Big@Zephania_Ndaki·
Njoenii Na Hoja Pls Sio Matusi. Kama Hao Mnao Waita Wanaharakati Madenge Akionyesha Miamala Yao Walipokea Pesa Nini Mtafanya Ndugu Wananchi Wa Tanzania Mtaanza Jisimamia Wenyewe Au😂😂
Indonesia
48
33
180
14.7K
Jipson🛰️
Jipson🛰️@Jipsonshaka·
@rollymsouth Mdomo uliponza kichwa risit za miamala huna unapiga tu kelele. Hatupokei maelezo matupu bila risit hili liwewazi kabisa na usije na risit za mchongo kama za @fbuyobe. Shauku kubwa ni kuweka uwazi ili kila mtz ajuwe kuwa ni kweli malipo yalipita ama laa.
Jipson🛰️ tweet media
Indonesia
0
0
0
6
Jipson🛰️ retweetledi
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Katiba imefanya kazi yake ukitoka nje hapo ukimrembea jiwe Askari Polisi, mrembee jiwe uone generally order yake inamwambia « a take fast ». Katiba imetengenezwa kila mmoja anafanya kazi yake sasa yanini madukuduku haya yanini tunataka kurudi kwenye chokochoko? - Amesema Waziri Kombo.
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Indonesia
11
13
75
10.1K
Jipson🛰️ retweetledi
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
“Mtu anaweza kuwa na bei ila umma hauna bei” chukua hiyo!
Indonesia
9
98
465
16.9K
Jipson🛰️
Jipson🛰️@Jipsonshaka·
Naapa nitailinda katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kutetea na si vinginevyo.
KIJANA@fratino_tino

@MariaSTsehai Kwani katiba imasema Naapa nitamlinda na kumtete Rais au Naapa nitailinda katiba ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na kutetea? Gen z Naomba mnieleweshe taratibu bila kunifokea. Hawa wanasema tumtetee Rais ni kwa mujibu wa katiba ipi? Japo Huyo Rais hatumtambui

Filipino
0
0
0
6
Jipson🛰️
Jipson🛰️@Jipsonshaka·
@rollymsouth Kwa nini mahala panapo hitajika uwajibikaji mungu anahusika?. Kitendo cha kuhusisha Mungu kwenye uongo ni kukwepa kunyoshewa malalamiko ambayo ulipaswa uyatolee ufafanuzi.
Filipino
0
0
0
18
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Mimi sio muoga na naona kila kitu ila busara zangu zimenituma nisiongee chochote,sitaki kuzua mjadala mwingine katika kipindi hiki kigumu(watu hawajapona bado)..Mungu atatuvusha salama na ipo siku tutaongea vizuri kabisa
Nyamandenge Magufuli@NellyNyamandege

Tatizo la Msukuma @rollymsouth ni uoga 😂. Mwanzo alikua na mbwembwe nyingi ila baada ya kukutana na mashambulizi ya wanaharakati akaufyata. Madenge man up na elezea upande wako watu waukubali au waukatae. Usife kinyonge.

Filipino
165
23
332
231.4K
Jipson🛰️ retweetledi
MwanzoTvPlus
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus·
“WANANCHI WANAPASWA KUJITOKEZA KUFANYA MAANDAMANO YA KUDAI HAKI KAMA NJIA YA KUENZI NA KUTAFUTA HAKI KWA WALE WALIOUAWA OKTOBA 29,”- Mwanaharakati Isaya Olepose Sikiliza zaidi: youtube.com/live/P1Ie1kkAn…
YouTube video
YouTube
Indonesia
1
45
175
4K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Usitumie ufupi wako kama fursa ya kufanya utoto wakati umri wako unakudai ujiheshimu..✍🏾
Indonesia
21
44
152
1.8K
Savio
Savio@Savio4real·
@Jipsonshaka @Mwinshehe07 Aliendika huwa anahudhuria kesi za Lissu live,kasema huwa anamuona sasa ukibishana nae Inatakiwa uwe muhudhuliaji pia 😃
Filipino
1
0
0
11
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Huyu jamaa nimekuwa nikimuona mahakama kuu kwenye kesi ya uhaini ya Mh. lissu hata kabla hajatangaza kujivua uananachama wa chaumma Leo Chadema nikama maji usipoyaoga utayanywa, usipoyanywa utayaoga. Karibu tena nyumbani Assenga
Mwinshehe 🕊️ tweet mediaMwinshehe 🕊️ tweet media
Indonesia
24
61
380
19.8K
Sabrina winga
Sabrina winga@SharifaSabrina·
Muache kubaka mbuzi jamani nimeona mbuzi kazaa mtoto ana sura ya mtu
Indonesia
18
9
65
2.7K
Jipson🛰️
Jipson🛰️@Jipsonshaka·
@OleMtetezi Ana matatizo ya afya ya akili Kuna speech nimemsikiliza anachoongea niseme tu Mbowe na genge lake walikuwa wanafanya biashara chamani.
Indonesia
0
0
0
34
Mchokozi !!
Mchokozi !!@OleMtetezi·
Ili ujiunge na chama cha siasa inatakiwa uangalie, itikadi yake, sera zake, uongozi wake, demokrasia ya ndani, uwazi. N.K Lakini Yericko Nyerere yeye alijiunga na CHADEMA kwa mapenzi yake kwa Mbowe. Yericko alisahau kuwa jukumu la kumpenda Mbowe lilikuwa la mke wake
Indonesia
40
76
696
22.5K