JoseLuca

2.2K posts

JoseLuca

JoseLuca

@JoseLuca_Is

@Football test

Katılım Ekim 2020
62 Takip Edilen45 Takipçiler
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@Dominicksalamb1 Huna akili ila una platform ya kuonyesha ujinga wako ili mradi tu usisahaulike salamanda.
Indonesia
0
0
2
654
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
Hii ni mechi ya kwanza ya ligi ambayo ilifanyika uwanja wa Aman complex Simba hawakuingia vyumbani na kutozwa Tsh.5M huku Yanga mechi ya pili wanatozwa 30M kwa kosa hilo hilo moja. Elewa kuwa kosa ni kutukutumia vyumba vya kubadilishia nguo.
Dominicksalamba tweet media
Indonesia
42
5
115
9.3K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@privaldinho Wewe huna akili,kiwanja kimepitishwa na bodi ya ligi kimekidhi vigezo na hiyo timu yako ya kazini siyo mara ya kwanza kucheza pale. Hata hao maboss unao jipendekeza kwao kwa kuongea ujinga wanakushangaa na kukuona mwehu.
Indonesia
0
0
1
54
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Walichokifanya Makolo kupeleka mechi kwenye kiwanja kibovu Yanga tuliwahi kujaribu hiyo mbinu zama za giza wakati tunacheza na Pyramids. Ndugu zetu wapo nyuma miaka zaidi ya 8
Indonesia
50
6
231
13.8K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@BracuszCadabra Shida watu wamekariri,kabla ya ligi uwanja wao wa nyumbani no 1 ni Isamuyo kama wakikaa kimya or hawajapeleka ombi la mabadiliko ya uwanja automatically mgeni wa mchezo unapaswa kujipanga kumfuata Isamuyo wala huhitaji kuulizia mech itakuwa uwanja gani.
Indonesia
0
0
1
111
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabra·
🟥Simba SC hawakupaswa kuchukua muda mrefu kutangaza uwanja watakaotumia kwa ajili ya Dabi ya Kariakoo Uwanja wao wa Nyumbani General Isamuhyo na Kila mtu anajua wangesema Toka mwanzo Hakuna Cha ajabu kwa sababu tunaelewa instability kwenye Dimba la Lupaso UPS&DOWNS nyingi
BracuszCadabra tweet media
Indonesia
22
13
311
9.7K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@RevocatusMagum1 Kwa akili yako Ahly na wengine wanasubiri kwanza mchezaji awe scouted na Simba ndiyo wamfuate? Timu kubwa zina scout kila sehemu. Pia elewa Wachezaji wa west Africa wana mameneja wenye connection na scout wa Dunia nzima muhimu kwa mchezaji ni quality tu, kuuza kwao siyo shida.
Filipino
0
0
1
181
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
🚨Kuna namna tunapaswa kuongeza usiri kwenye ufuatiliaji wetu wa Wachezaji tunaotaka kuwasajili(Scouting) ili kuondoa uwezekano wa changamoto kubwa inayoweza kujitokeza kumgombea mchezaji huyo kwa washindani kuongezeka kuhitaji Saini Wiki kadhaa nyuma zilivuja taarifa Simba SC kwa pendekezo la kocha Steve Barker wameanza mchakato wa kumsaini kiungo wa kati Isaac Ismael Cisse(19) kutoka Golden Arrows ya South Africa Golden Arrows ni timu ndogo sana South Africa ikiwa mchezaji yupo pale huchukua muda mrefu mpaka vilabu vikubwa kutilia maanani juu ya uwezo wake ila Huwa tofauti pale tu timu kubwa Moja ikionyesha kuvutiwa nae Ndio hili limetukuta Simba SC baada ya kuonyesha Nia Al Ahly SC ya Misri,Kaizer Chiefs na vilabu kadhaa vya arabuni vimeanza kugombania Saini yake jambo linalohatarisha uwezekano wa sisi kumpata kwa sababu vilabu vya arabuni vina ujeuri wa kutumia fedha nyingi kufanikisha jambo wanalohitaji wakati wowote
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
10
2
100
12.1K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@BracuszCadabra Yes, ila Ramos alishitukiwa na EUFA akala ban ya mech mbili badala ya moja aliyokusudia maana aliisaka yellow ya pili akaja kuipata dk za mwisho kabisa akala umeme katoka, the same kwa Aloso naye alipigwa yellow 2 akatoka. Kama sijakosea ilikuwa 2010 vs Ajax
Indonesia
0
0
3
117
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabra·
🟥Statement ya Kapombe na Kagoma kuukosa mchezo dhidi ya Fountain Gate FC ndio unaelewa kwanini walilazimisha yellow cards dhidi ya Dodoma jiji FC Lengo ni kuanza upya ili wasiikose Dabi ya Kariakoo ambayo itapigwa tarehe 03/05 mchezo wa tatu baada ya kucheza vs Fountain Gate
Indonesia
11
3
286
11.3K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@kibaha_finest Mara nyingi Kama mtu alifunga kwa ndani it means ufunguo ulikuwa mlangoni,huo ufunguo wa akiba uliingiaje na kufungua? Pia hotel kubwa nyingi hawatumii funguo bali wanatumia kadi una scan then ndani ndiyo una lock. Fuatilia vizuri
Indonesia
1
0
0
94
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
walivyo kuwa wanazungushwa kulitokea kuto kuelewana kati ya wapenzi hao hivyo kulazimishwa wahudumu kuwatenganisha vyumba maana walikua wakipigana baada ya hapo mdada alijifungia chumbani na ndipo muhudumu alipomgongea kumletea chakula akakuta chumba kimefugwa...
kibaha_finest tweet media
Filipino
2
0
23
9.2K
kibaha_finest
kibaha_finest@kibaha_finest·
Full story kuhusu mdada aliye jingonga zanzibar. story ipo hivi mdada alisafiri kutoka marekani akiwa na mpenzi wake kutoka marekani hadi zanzibar kwa leongo la kutalii walipofika tu wanapokelewa na kukodi chumba kimoja huko hotel ya watalii zenji. inaendelea...
kibaha_finest tweet mediakibaha_finest tweet media
Indonesia
28
18
327
64.4K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@moshijnr Kwa mech ya jana ni kwa sababu wameshinda ila Esperance walikuwa bora zaidi kwa dk zote za mchezo. Bado mech ijayo lolote linawezekana.
Indonesia
2
0
1
29
Moshi Jnr
Moshi Jnr@moshijnr·
Mamelodi walionekana kwenye Group Stage wapo average sana kwenye mipambano. Lakini kila michuano hii ya CAFCL inavyoendelea wanazidi kuwa hatari sana tena Objective💪🏻 Wapo Comfortable dhidi ya Opponents ambao ni hatari. Hata Esperance de Tunis wameliona hili hadi kupoteza mechi
Filipino
2
0
66
1.1K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@Dominicksalamb1 Umeshindwa kulinda brand ya mwanaume. Jichungulie kama zipo rudisha sehemu za siri za kiume.
Slovenščina
0
0
1
3
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
Kuna namna Simba wanadeka na kudekezwa kwan walitakiwa April 9 wacheze na TRA Arusha kisha Aprl 12 Dar Isamuhyo kucheza na Dodoma Jiji 16 bora FA kisha Aprl 15 Arusha tena kucheza na Fountain Gte,ila wamelia na kuomba mechi ya Dodoma Jiji wakacheze Arusha ili wapunguze uchovu.
Dominicksalamba tweet media
Indonesia
39
1
145
6.5K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@Dominicksalamb1 Wewe unazidi kujionyesha huna akili. Simple tu kwanza hizo mech ni tofauti kufanya comparison ni ujinga.
Indonesia
0
0
0
160
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
Alafu bado utasikia Yanga haichezi vizuri,sawa haichezi vizuri ila swali haichezi vizuri ukilinganisha na timu gani hapa Tz? Yanga ndio SI unit kwa soka la Bongo.
Dominicksalamba tweet media
Indonesia
57
8
186
8.3K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@eastafricatv Haya mafuta yamekuja na ndege nini? Maana vita ya USA vs Iran haina hata week inakuwaje yanaathiri bei ya mafuta hapa Tz?
Indonesia
0
0
0
149
EastAfricaTV
EastAfricaTV@eastafricatv·
#HABARI EWURA imetangaza bei mpya za mafuta kwa mwezi wa Machi 2026 kuanzia leo, Machi 4, 2026. Bei hizi zimepanda kutokana na ongezeko la bei za mafuta kwenye soko la dunia na gharama za usafirishaji. Mikoa yenye bei kubwa zaidi ya petroli ni Kagera (Bukoba) na Geita, ambapo petroli inafikia Sh3,114 na Sh3,064 kwa lita moja. Jijini Dar es Salaam, bei mpya ya petroli ni Sh2,864 kwa lita moja (ongezeko la takriban Sh76 kutoka mwezi uliopita), dizeli Sh2,858 na mafuta ya taa Sh2,932, Bei hizi ni bei kikomo, hivyo vituo vya mafuta vinaweza kuuza chini kidogo lakini haziruhusiwi kuzidi. Watumiaji wameshauriwa kuangalia bei rasmi na kudai risiti kila wanaponunua, bei hizi zinaanza kutumika mara moja na EWURA inaendelea kufuatilia ili kuhakikisha ushindani wa haki na ulinzi wa wanunuzi. #EastAfricaTV
EastAfricaTV tweet media
Indonesia
58
23
462
54.2K
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
Just imagine,Yanga hawakuwa na Pacome,hawakuwa ktk ubora wao walao kwa 50% wanakutana na Simba ambayo ilicheza kwa ubora wa 90% lakin bado hawakupata ushindi,hii ina maana ktk ubora wa Juu wa Simba ndio 40% ya Kiwango cha Yanga,kifupi ni kwamba Simba bado kwa Yanga wajipange.
Dominicksalamba tweet media
Filipino
199
29
479
24.8K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@BracuszCadabra Brother subiri muda ufike timu za Morocco,Libya,Egypt etc wavutiwe na wachezaji uone kama hawajauza. Simba kuachia mchezaji ni rahisi sana na kama unavyojua foreigners hawana mapenzi ni fedha kwanza.
1
0
2
124
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabra·
@JoseLuca_Is Hawauzi key players dirisha lijalo labda mchezaji apate injury kubwa
Indonesia
1
0
0
265
BracuszCadabra
BracuszCadabra@BracuszCadabra·
🟥Simba SC wanaijenga timu Yao vizuri kama nilivyosema Kuna mabadiliko kwenye kumaintain level ya utimamu wa mwili hata baada ya 70 mins Kilichobaki wanapaswa kukiimarisha ni influence na mazingira ya nje ya uwanja Then wa challenge ubingwa NB:TATIZO LILIKUWA KATIBA MPYA
Filipino
15
11
260
10.1K
Dominicksalamba
Dominicksalamba@Dominicksalamb1·
Baada ya Yanga kushindwa kufuzu Robo fainali ya klabu bingwa Afrika gafla michuano hiyo imepoteza mvuto kwa wafuatiliaji wengi,ukweli ni kwamba Brand ya Yanga imekua kwa kasi sana Afrika,sio waandishi,wachambuzi na mashabiki wote wamepoteza hamu ya kutazama mashindano hayo.
Dominicksalamba tweet media
Indonesia
201
26
487
31K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@ayubu_madenge Huo ubora wa kufika robo final haupo Sasa hiyo hatua nyingine ya juu wanafikaje? Hiyo ni sawa sawa na 1b×0=
Indonesia
0
0
2
88
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Kwa ubora wa timu ya WATANI ulivyo na kwa viwango vya wachezaji wao, Iwapo jana wangefuzu naamini kabisa wasingeishia hatua ya Robo fainali.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
60
15
572
11.4K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@1960Remija Wewe naye useless kabisa, statement iliyotolewa na kanjanja wa habari ndiyo inayojibiwa.
Indonesia
0
0
0
4
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@privaldinho Umekosa akili ila una bundle. Una cheti cha shule ila kichwani empty. Kwenye taasisi siyo kwa sababu kuna viti basi kila mtu anaweza itisha press na akatumia mabango ya taasisi kienyeji kuongea.
Filipino
0
0
0
574
Privaldinho
Privaldinho@privaldinho·
Mashabiki ambao ndio nguzo ya KLABU leo ananyimwa UHURU wa kutoa MAONI? Nimeona TAARIFA inasema kuwa mashabiki waliotisha MKUTANO wa Habari kueleza hisia zao wakamatwe wafikishwe kwenye vyombo vya DOLA? Nilitegemea wachutame wasikilize maoni ya Mashabiki wao na kuyafanyia kazi wao wanawatishia MASHABIKI? Hiki kiburi wamekitoa wapi?
Indonesia
51
4
196
15.9K
JoseLuca
JoseLuca@JoseLuca_Is·
@SportsarenatzTz Viongozi wa kiafrica wanashida sana,ukimuuliza Mangungu atakwambia ni kazi ya kujitolea hapati mshahara.Kama hawakutaki ujitolee kuwaongoza si unajiudhulu?Unajitolea wanakufanyia fujo hawakutaki hujatimiza malengo ya team hizo ni sababu tosha za kutoka pamoja na management nzima.
Indonesia
0
0
1
302
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
💬 | Edo Kumwembe: “Kama mimi ningekuwa Mangungu, kwanini nisiwaachie Simba timu yao? Sidhani kama Simba inamnufaisha kiuchumi. Angewaachia tu Simba yao akafanya mambo yake. Inafika mahala nadhani anaisononesha hata familia yake. Muda utaamua kama yeye alikuwa tatizo au sio....
SportsArenaTz tweet mediaSportsArenaTz tweet media
Indonesia
39
36
960
37.8K