Jr Muhama

3.5K posts

Jr Muhama banner
Jr Muhama

Jr Muhama

@JrMuhama

Desire of Ages

Katılım Mayıs 2021
977 Takip Edilen375 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
“Inueni vichwa vyenu, enyi malango, Naam, viinueni, enyi malango ya milele, Mfalme wa utukufu apate kuingia. ” “Ni nani huyu Mfalme wa utukufu? Bwana wa majeshi, Yeye ndiye Mfalme wa utukufu. ” — Zaburi 24:9,10
Jr Muhama tweet media
Indonesia
1
10
28
1.5K
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
Iko nguvu katika ombi la usiku wa manane.
Filipino
0
0
1
10
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
Faith is about believing and trusting God, not only in the good times but in darkness or in a storm, or even when you can’t fully understand what is going on in your life.
English
0
0
0
8
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
Vitu vya kuwekeza ktk familia 1.Utu 2.Muda wako na familia, 3.Wekeza uhusiano wako kwa familia yako, 4.Wekeza imani yako kwa familia yako , 5.Wekeza upendo ktk familia yako “Lakini mtu ye yote asiyewatunza walio wake,,,,,,tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini. ” 1 Timotheo 5:8
Jr Muhama tweet media
Indonesia
0
0
0
15
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
“Kama vile baba awahurumiavyo watoto wake, Ndivyo Bwana anavyowahurumia wamchao. ” Zaburi 103:13
Indonesia
0
0
1
11
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
“Ikawa siku zile aliondoka akaenda mlimani ili kuomba, akakesha usiku kucha katika kumwomba Mungu. ” Luka 6:12
Indonesia
0
0
0
21
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
Jesus modeled to His disciples (and to us) that we can pray simply in everyday language. He showed us that our prayers should be sincere and from our hearts.
English
0
0
0
7
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
Smart work+Financial Knowledge =Wealth
English
0
0
0
5
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
@DicksonHen7900 Ebrania 6 ⁴ Kwa maana hao waliokwisha kupewa nuru, na kukionja kipawa cha mbinguni, na kufanywa washirika wa Roho Mtakatifu,,,, ⁶ wakaanguka baada ya hayo, haiwezekani kuwafanya upya tena hata wakatubu; kwa kuwa wamsulibisha Mwana wa Mungu mara ya pili kwa nafsi zao,,,,
Indonesia
0
0
0
26
Dickson Henry
Dickson Henry@DicksonHen7900·
2Pet2:20 Kwamaana wale waliokwisha kuyakimbia machafu ya dunia kwa kumjua Bwana na Mwokozi Yesu Kristo, kama wakinaswa tena na kushindwa, hali yao ya mwisho imekuwa mbaya kuliko ile ya kwanza Maana ingekuwa heri kwao kama wasingaliijua njia ya haki, kuliko kuijua kisha kuiacha
Indonesia
1
1
22
351
Malique
Malique@tallan_malique·
@JrMuhama @BarakaMaviatu @fidodido7437 Swali la kwanza jibu ni Gravitation pull - Dunia ina nguvu ya mvutano inayovuta vitu vyote katikati yake. Swali la pili jibu lake ni kwamba Jua nalo halijasimama lipo linamove/ rotating around the center of milkway Galaxy
Indonesia
2
0
0
209
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
@BarakaMaviatu @fidodido7437 Kama dunia ina move nzima nzima kwa nini ukirusha kitu juu kina rudi palepale,,au wewe ukiruka juu kwa nini unarudi palepale?? Kwa nini jua ndilo lililo amrishwa kusimama wakati Yoshua anapigana na sio dunia??
Indonesia
3
0
0
246
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
Usishindane na watu ambao Mungu amekupa nguvu ya kuwashinda.
Filipino
0
0
1
17
Rohit Upadhyay
Rohit Upadhyay@imRohit_IND·
GOOD EVENING EVERYONE 💖 No one in the world✨ can give me the happiness that comes from devotion to Balaji.
Rohit Upadhyay tweet media
English
30
58
134
759
PaYRoLL🫟
PaYRoLL🫟@CoolestDudeOnX·
@JrMuhama @TheChanzo @ThatBoyKhalifax "fimbo ya adhabu" Contextually, hapa ni mtoto akifanya makosa ya kinidhamu na sio wakati wa kumpa elimu juu ya kitu fulani. Mimi fimbo hazijawahi kunisaidia kufaulu. Nilipobadilishiwa Mwalimu aliyewekeza kwenye kuelewesha kuliko kuchapa, matokeo yangu yalibadilika sana.
Indonesia
1
0
1
24
The Chanzo
The Chanzo@TheChanzo·
'Viboko vinaua udadisi na ujasiri wa mtoto'
Indonesia
5
5
19
1.4K
Jr Muhama retweetledi
𝐆𝐢𝐝𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐰𝐚𝐤𝐚𝐥𝐚𝐬𝐲𝐚
Kama mti wa mtende, uchotao chakula kutoka kwenye chemchem ya maji ya uzima, ni wa kijani na unaostawi katikati ya jangwa, ndivyo ambavyo Mkristo anaweza kuchota ruzuku za neema kutoka kwenye chemchem ya upendo wa Mungu na kuziongoza roho zilizochoka kwenye maji ya uzima Yoh 7:37
𝐆𝐢𝐝𝐢𝐨𝐧 𝐌𝐰𝐚𝐤𝐚𝐥𝐚𝐬𝐲𝐚 tweet media
Indonesia
1
4
7
153
Jr Muhama
Jr Muhama@JrMuhama·
Ni Mungu yuleyule aliyekaa kimya wakati Yesu alipouliza kwa kilio chenye maumivu,Mungu wangu Mungu wangu mbona umeniacha?? Hata alipokuwa msalabani shetani alionekana mshindi lakini pale ndipo alipokuwa ameshindwa milele. Tusiogope Tuzidi kumtazama Mungu wetu kwa Imani
Indonesia
0
0
1
25
Son of God(Huios)
Son of God(Huios)@EliabuDanford·
Nilikuwa kwenye maombi narudi nakutana na ripoti ya Tume😭😭😭
Filipino
10
15
163
4.4K