Sabitlenmiş Tweet
KIDEVU
240.7K posts

KIDEVU
@KEYDEVU
SIJUI MNANIELEWAA!?📚🗝️
Tabora, Tanzania Katılım Kasım 2023
457 Takip Edilen3.7K Takipçiler
KIDEVU retweetledi

@KEYDEVU Nyumba ya kuisihi inakutoa kwenye kulipa Kodi ya kila mwezi ya makazi, na marekebisho yake ya kuiboresha ndo liability, ila bills za maji na umeme, ni matumizi ambayo yanahusiana na wewe na sio nyumba, hata ungekuwa huna nyumba unalala nje, maji na umeme u geyahitaji tu
Indonesia

@KEYDEVU Dhima ni liability si ndio,
Nyumba ya kuishi ni Dhima ukiiongelea kwa mtazamo wa cash flow
Na ni Asset ,unapoongelea mali ya kudumu, na thamani yake inapanda kila siku kutokana na mahitaji na kiwanja.
Filipino

@KEYDEVU Mojawapo ya Mali za marehemu zinazogaiwaga ni Nyumba ya kuishi.
wengi anajenga nyumba ya kuishi kwanza, anakuja anajenga nyingine nzuri ya kuishi ile anaipangisha,
Na katika kuhesabu mali alizonazo mtu hauwezi kuacha kutaja nyumba ya kuishi,
Hata benki wanaipokea kama mali
Indonesia

@2Ndulisu Dhima ni kitu ulichotumia pesa kukipata halafu hakikuungizii pesa tena zaidi ya kuendelea kutumia pesa zako,hii ndio tafsiri ya dhima, nyumba ya kuishi unaijenga kwa gharama,bado kila mwezi unalipia umeme,maji,kodi ya aridhi nk so ni dhima,nyumba ya kupangisha,gest ni mali📚🗝️
Indonesia

@KEYDEVU Nyumba si ni Mali wewe kidevu 😂au mali gani unasemea
Indonesia
KIDEVU retweetledi
KIDEVU retweetledi
KIDEVU retweetledi
KIDEVU retweetledi
KIDEVU retweetledi
KIDEVU retweetledi
KIDEVU retweetledi
KIDEVU retweetledi











