deejaygady

349 posts

deejaygady banner
deejaygady

deejaygady

@Kilingepazasaut

Mastering Java ☕️ Sharing my wins, bugs, and lessons as a beginner. ​📍 Tanzania 🇹🇿 | #Java

Tanzania Katılım Ocak 2020
528 Takip Edilen69 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
deejaygady
deejaygady@Kilingepazasaut·
Habari ! ☕️ Nimeamua kuingia kwenye ulimwengu wa #JAVA.Nimeamua Kujifunza mbele za watu ​Nitaanza kushare hapa: ✅ Safari yangu ya kila siku. ✅ Changamoto (Bugs) na jinsi ninavyozitatua. ✅ Vitu vidogo ninavyoelewa hatua kwa hatua. ​Kama wewe ni beginner kama mimi, au ni Senior
Indonesia
1
0
1
115
SATIVA17 X ( TWEETS)
SATIVA17 X ( TWEETS)@Sativa2555·
Imebidi nimuulize Grok kutaka kujua Hivi huu upimaji wa mafuta kwa Tani yeye Ameanza kuutumia lini ? Sisi kama dunia hatuutambui, tunajua petrol haipimwi kwa Tani inapimwa kwa Liter na galoni , Sasa girishoni hizo tani yeye anapima nini , maana hata grok ameanza kwa kukataa kwamba petrol haipimwi kwa uzito Repost 560
SATIVA17 X ( TWEETS) tweet media
Indonesia
19
37
209
22K
Williard
Williard@prolific_88·
Kama madrid anafungwa leo narudi kijijini kulima kilimo cha kiangazi.
Williard tweet media
Filipino
11
4
111
2.2K
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
Tufanye una LAKI 2 mkononi. Ni biashara gani unaweza ukafanya na ukatoboa ndani ya Mwezi mmoja tu . ?
Indonesia
68
30
247
18.6K
deejaygady
deejaygady@Kilingepazasaut·
@gabyconscious Unganisha na #tag kwa wakamalia tumu unfollow yule freelensa kila siku mpaka mwaka uishe
Filipino
0
0
0
25
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Nilihama AFRICA sababu ya kuwa SURROUNDED na watu mithili ya dogo Bonge Imagine mtu anaDISS affiliate commision tu Hii ilikua EVENT ya affiliates wa Dunia nzima ilifanyika DUBAI Unakutana na watu wanalamba $100-1m kwenye affiliate na wako happy kukusaidia hamna MIPASHO.
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o tweet media
Indonesia
20
31
277
17.1K
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)
Shida mnapenda attention sana, ndio maana ulivyoona usiku watu hawataona ukaona ufute 😂😂 2024, infact ni watu wa Bet... walireach out kwangu wakitaka influencers wa betting nikawaambia sio area yangu ndio nikawarecommend watu wengine, infact nilirecommend watu then nikaishia hapo. Kuhusu kuharibu ugali wangu mimi sio janja janja kama nyie so rukhsa kupublish screenshot yeyote. Hili suala nyie ndo mlianza, also mimi sifanyi kazi na govt so kama mnataka vita njooni kwenye eneo langu la profession ila sio hizo story zenu za kutunga
Taivina James@Thereal_taivina

Dms ambazo mimi ndo nilikuomba nizi leak ili kuongelea kuhusu issue yako ya 100M na sikuzi leak nikihofia ugali wako we unazi leak leo kama EXCLUSIVE? Kwanini ume crop nilivoanza betting si ulikuja na bango lako Kulipisha usenge nikaku bluetick? 2024 si ulirudi tena kuomba niwafanyie promo Helabet kuja kuongea na Jamaa kumbe mnataka kufanya u middle men wa kupiga hela za matangazo nikakataa nikawaambia Leteni mawasiliano ya meneja wenu wa kampuni mkapotea na hela za watu? NOT YOU MF?? Mi ni Real G ndio maana DMs sio silaha kwangu ila hizi nilikuomba nizipost mi mwenyewe na nilisema tulichochat. HAYO MAGOLI UNAYOPIGWA KUPATA GIGS ZA SERIKALI YASIKUTOE AKILI LAMAMAKOOO.

Indonesia
6
1
19
7.2K
Taivina James
Taivina James@Thereal_taivina·
Dms ambazo mimi ndo nilikuomba nizi leak ili kuongelea kuhusu issue yako ya 100M na sikuzi leak nikihofia ugali wako we unazi leak leo kama EXCLUSIVE? Kwanini ume crop nilivoanza betting si ulikuja na bango lako Kulipisha usenge nikaku bluetick? 2024 si ulirudi tena kuomba niwafanyie promo Helabet kuja kuongea na Jamaa kumbe mnataka kufanya u middle men wa kupiga hela za matangazo nikakataa nikawaambia Leteni mawasiliano ya meneja wenu wa kampuni mkapotea na hela za watu? NOT YOU MF?? Mi ni Real G ndio maana DMs sio silaha kwangu ila hizi nilikuomba nizipost mi mwenyewe na nilisema tulichochat. HAYO MAGOLI UNAYOPIGWA KUPATA GIGS ZA SERIKALI YASIKUTOE AKILI LAMAMAKOOO.
Taivina James tweet mediaTaivina James tweet media
Digital Nomad (Your Fav Dijito Bro)@mafolebaraka

Umefanya nipitie dm zangu, hapo ni 2021 na acc yangu ilikuwa inasoma $2k . Na uzuri time nilikuwa na dara nilikwambia lipo na time sina darasa nilikwambia. Now nakwambia tena nina darasa linaanza may, price ni 250k litachukua 3 months. Wahi mapema

Filipino
17
21
155
40.6K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
GEN Z, Post hii naomba muikumbuke milele hata kama kesho sitakuwepo muishi nayo. TUSHATOKA kwenye siasa za kulambana miguu—siasa za kusubili vyama vya upinzani vitoe matamko hizo siasa tushaziacha 2025. Kama tuliweza kuandamana #MO29 bila mchango wa chama chochote cha siasa inamaanisha hakuna KITU TUTATAKA kwenye hii nchi tutakikosa TUKIAMUA. Siasa hizi zetu GEN Z tumia LUGHA Yeyote ile kuondoa sumu mwilini mwako, unapoona unastahili KUTUKANA kwa usenge wanaofanya basi fanya hivyo bila kuogopa usenge. Zile siasa za kufuata PROTOCAL za kisenge ndio zimefikisha taifa hapa. Msikubali kuendeshwa na WANASIASA wasenge, tembeeni na wanasiasa wanaoongea LUGHA MOJA NA NYIE. TUKUTANE AFCON 2027.
Indonesia
61
344
1.8K
51.1K
Mjege Kinyota, PhD 🇹🇿
Fundi alikuwa analipwa elfu 20 kwa siku na vibarua elfu 10 kwa siku. Mwenye Mradi akaamua kuwaongezea malipo wote—Fundi elfu 35 na vibarua elfu 30 kwa siku. Sasa Fundi analalamika eti vibarua wanalipwa karibu sawa na yeye!!
Indonesia
41
32
542
34.9K
deejaygady
deejaygady@Kilingepazasaut·
@Sativa2555 Ukiwa hujawahi pitia situation ambayo amapitia @Sativa255 utaona msenge maneno yake yanakera ila omba kabisa lisikukute mzee yaani unaeza ukamzidi ata huyu jamaa
Indonesia
0
0
4
354
SATIVA17 X ( TWEETS)
SATIVA17 X ( TWEETS)@Sativa2555·
BUNGE HARAMU limepoteza waliokuwa WABUNGE HARAMU 3-4 chini ya miezi 6 tangu wale KIAPO HARAMU. LEO LUKUVU—msenge alijimilikisha Jimbo la isimani kwa miaka 30+. Aliwahi kusema hata akiweka KOTI lake litashinda tuu UBUNGE. Leo Msenge kawa msosi wa MCHWA NA FUNZA kumamake mwaga moto. Repost 560
SATIVA17 X ( TWEETS) tweet media
Indonesia
12
35
228
11.8K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Nimeachia TRENI LA ODDS 83 Limezingatia sana nauli za wawekezaji. First class- kwanzia malaki kwenda juu kuweni na amani. Business Class- Kuanzia elfu kumi kwenda juu kuweni na AMANI. NJUKA- kuanzia Mia kwenda juu kwenda juu kuweni na amani. WEWE UPO DARAJA GANI? KISHA MWAGA MOTO KAMA DRAGON TUONDOKE.🔥
Filipino
61
71
818
45.9K
deejaygady
deejaygady@Kilingepazasaut·
Kwenye maisha ya kawaida, huwezi kuweka unga wa ngano kwenye chupa ya maji au maji kwenye gunia.Kila kitu kina chombo chake. ​Hata kwenye Java, kabla ya kuhifadhi data,lazima uambie kompyuta ni aina gani ya Data unataka kuweka. Hii ndio tunaita Data Types. 🏷️ ​ #JavaBeginner
Indonesia
0
0
0
22
deejaygady
deejaygady@Kilingepazasaut·
Leo nimeingia darasani kujifunza 'Variables' kwenye Java. 🧑‍💻 Kama wewe ni beginner kama mimi, unaweza kudhani ni kitu kigumu, lakini kumbe ni dhana rahisi sana. ​Fikiria 'Variable' kama Sanduku la Kuhifadhia. 📦
Indonesia
0
0
0
21
deejaygady
deejaygady@Kilingepazasaut·
Nimeanza na IntelliJ IDEA, lakini naona watu wengi wanashauri VS Code kwa sababu ni nyepesi. ​Kwa ma-Java Pro wa hapa X: Ni ipi bora zaidi kwa beginner anayetaka kuelewa Java kwa undani na sio tu 'auto-complete'? 🤔💻 ​#Java #VSCode #IntelliJ
Indonesia
0
0
0
77
Ímmanuel
Ímmanuel@Tinolove15·
Usiku huu followers ni wengi saana, Weka handle yako ili mimi na followers wangu tukufollow 💪👇
Ímmanuel tweet media
Indonesia
94
23
100
2.7K
shija Habib
shija Habib@shija21·
Bro to bro Usifannye makosa ya Ku unfollow watu. Kesho utawahitaji utawakosa na sababu ni ubinafsi wako. Follow back.
shija Habib tweet media
Indonesia
27
9
33
665