Kitua Michael
281 posts

Kitua Michael
@KituaM47329
Kitua Michael or modo is a trader of spices such as garlic,dry ginger,cloves,fresh ginger,cinnamon,dry turmerc,cardamom,etc,mob +255 753 811 260
Katılım Aralık 2023
2.8K Takip Edilen417 Takipçiler

Nimesikitishwa na taarifa ya kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisko. Katika kipindi chote cha miaka 12 akiwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisko ameishi maisha yake kama mwalimu na kiongozi aliyefundisha na kuhimiza ustawi na maendeleo ya watu pamoja na kudumisha amani.
Kwa niaba ya Serikali na Wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ninatuma salamu za pole kwa waumini wote wa Kanisa Katoliki hapa nchini na duniani kote.
Mwenyezi Mungu ailaze roho yake mahali pema Peponi.
Amina.

Indonesia

@Magandula Ukimfanyia mtu ubaya gizani !! iko siku yataonejana mchana kweupe
Indonesia

Huyu kwa mujibu wa sheria zetu sio mhaini ni mtu msafi sana ....na anakula Bata
Hormuz™️@bajabiri
Huyu mzalendo popote alipo mfikishieni pongezi zangu. #Accountability yake imenyooka sanaaa..
Indonesia

@SuluhuSamia Binafsi ninaungana na wewe mama yetu pamoja na watanzania wengine
Indonesia

Nimepokea kwa masikitiko taarifa ya ajali ya barabarani iliyotokea leo Aprili 3, 2025, katika eneo la Mamba Msangeni, Wilaya ya Mwanga, Mkoa wa Kilimanjaro, na kusababisha vifo vya watu nane na majeruhi arobaini na moja.
Natuma salamu za pole kwa wote waliopoteza ndugu, jamaa na marafiki katika ajali hii. Naendelea kuwasihi watumiaji wote wa barabara kuendelea kuwa waangalifu na kufuata sheria za usalama barabarani. Nasisitiza vyombo vyetu ya usalama barabarani kuendelea kusimamia sheria kwa makini ili kuepuka ajali zinazoweza kuepukika, ikiwemo kufuta kabisa leseni kwa madereva wenye makosa yanayochukua uhai wa Watanzania wenzetu.
Nawaombea kwa Mwenyezi Mungu ndugu zetu marehemu wa ajali hii wapumzike kwa amani, na majeruhi wote wapate kupona kwa haraka.
Indonesia

@swahilitimes @BankOfTanzania Naomba ikiwapendeza mtuwekee na hela za msumbiji / tz
Indonesia


@SuluhuSamia Namimi kitua michael mbwambo naungana na wewe mama yetu kipenzi ktk hilo l,napia nikutakie majukumu mema ya kuliongoza taifa letu na Mungu akulinde, Amina .
Indonesia

@SuluhuSamia Hongera sana mama (mchapakazi ) na si kwamasilahi yako binafsi wala ukoo au ndugu zako binafsi ,bali nikwamanufaa yanchi nzima ,hongerasana na Mungu akutangulie .
Indonesia

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema historia itawahukumu Viongozi wa SADC na EAC kama watakaa kimya na kutazama kinachoendelea nchini Congo bila kutafuta suluhisho litakalomaliza mzozo unaoendelea na kunusuru maisha ya Watu.
Akiongea kwenye mkutano wa pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa EAC na SADC Ikulu Dar es salaam leo February 08,2025, Rais Samia amesema “Kama wote mnavyofahamu DRC ambaye ni Mwanachama wa Jumuiya zote ya EAC na SADC inaendelea kukumbana na mzozo wa muda mrefu ambao athari zake zimegusa mpaka mipaka na kusababisha athari hadi kwa Nchi jirani, kwa Wiki kadhaa zilizopita tumeshuhudia kuenea kwa mgogoro na vurugu kulikosababisha madhara kwa maisha ya Binadamu na mali zao na kuathiri hata biashara DRC na mipakani”
“Tukiwa kama Viongozi wa Kikanda, historia itatuhukumu vikali kama tutaendelea kukaa kimya na kutazama hali ikiendelea kuwa mbaya siku hadi siku, Nchi zetu kwa pamoja zina jukumu la kuhakikisha tunamaliza mzozo huu, mkutano huu una lengo la kutufanya tuhakikishe suluhisho la kudumu la mzozo huu na kufanya Wananchi wa Congo waishi kwa amani ambayo imevurugika kwa miaka mingi”
“Tanzania inaumizwa na kufuatilia kwa ukaribu kinachoendelea Mashariki mwa Congo, Nchi yangu inaunga mkono mazungumzo ya kidiplomasia yanayoendelea ili kumaliza mzozo wa DRC na hivyo tunatoa wito kwa Nchi zote zinazohusika na mzozo huo kushiriki kwa mtazamo chanya kwenye mazungumzo haya ya amani kwa kuzingatia maslahi ya amani za Watu wa Nchi zao”
“Kukutana kwetu hapa Dar es salaam kutupe njia bora ya kuangalia nini cha kufanya ili kusaidia Wanachama wenzetu kudumisha usalama na amani na kutatua changamoto, tunatakiwa kuwa na uhakika kuwa mkutano huu utazaa matunda, nawaomba tuungane kwenye mapambano yetu ya kudumisha amani ambayo itafanya maendeleo yawepo kwa kasi”
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@ayubu_madenge Hongereni tuiombe serekali iupokee huo mfumo na ndoutumike jwenyeuchaguzi huu wa kesho kutwa
Indonesia










