Lambert Kimsen
3.4K posts

Lambert Kimsen retweetledi
Lambert Kimsen retweetledi
Lambert Kimsen retweetledi
Lambert Kimsen retweetledi
Lambert Kimsen retweetledi
Lambert Kimsen retweetledi

@HecheJohn Hata ungekuwa wewe ungeenda buana, cheo cha urais siyo mchezo🥰
Filipino

Leo ni mei mosi, Siku ya wafanyakazi Duniani.
Wafanyakazi Watanzania wasio na vyama vya wafanyakazi.
Vyama vya wafanyakazi vilivyotakiwa na kutegemewa kusemea mishahara bora, hali za maisha ya wafanyakazi, makazi yao, usafiri, gharama za maisha na hata ajira.
Vimegeuka chawa, viongozi wa vyama vya wafanyakazi ni makada wanaokula rushwa na kunyamazia maumivu ya wafanyakazi..
CWT, TUCTA wanasema nini kuhusu kupanda kwa mafuta, gharama za maisha , wako kimya wana ndoa na serikali dhalimu… wanachukua michango ya wafanyakazi Lakini hawana msaada kwa wafanyakazi..
Ni muhimu wafanyakazi mkaungana na watu wanaowasemea na kuwapigania ili muweze kuleta Mageuzi ya kweli.
Hakuna cha kusherekea tofauti na kupumzika nyumbani leo.
Indonesia


















