Lambert Kimsen

3.4K posts

Lambert Kimsen banner
Lambert Kimsen

Lambert Kimsen

@LambertKimsen

Mtanzania 🇹🇿

Brunei Katılım Mayıs 2024
84 Takip Edilen18 Takipçiler
Lambert Kimsen retweetledi
Magogoni Daily
Magogoni Daily@magogonidaily·
Gharama ya kusafisha damu nchini imepungua kwa 40%. Kutoka TZS 250,000 hadi TZS 150,000 kwa mzunguko.
Magogoni Daily tweet media
Indonesia
0
11
18
417
Lambert Kimsen retweetledi
Magogoni Daily
Magogoni Daily@magogonidaily·
Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame atafanya ziara ya kikazi nchini Tanzania, Mei 3 mwaka huu. Ziara inalenga kuimarisha ushirikiano na kukuza maeneo yenye manufaa kwa mataifa yote.
Magogoni Daily tweet media
Indonesia
1
18
66
1.9K
Lambert Kimsen retweetledi
Magogoni Daily
Magogoni Daily@magogonidaily·
Vijana 7,593 wamepata ajira nje ya nchi tangu Novemba 2025.
Magogoni Daily tweet media
Indonesia
0
5
12
223
Lambert Kimsen
Lambert Kimsen@LambertKimsen·
@HecheJohn Hata ungekuwa wewe ungeenda buana, cheo cha urais siyo mchezo🥰
Filipino
0
0
0
762
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Leo ni mei mosi, Siku ya wafanyakazi Duniani. Wafanyakazi Watanzania wasio na vyama vya wafanyakazi. Vyama vya wafanyakazi vilivyotakiwa na kutegemewa kusemea mishahara bora, hali za maisha ya wafanyakazi, makazi yao, usafiri, gharama za maisha na hata ajira. Vimegeuka chawa, viongozi wa vyama vya wafanyakazi ni makada wanaokula rushwa na kunyamazia maumivu ya wafanyakazi.. CWT, TUCTA wanasema nini kuhusu kupanda kwa mafuta, gharama za maisha , wako kimya wana ndoa na serikali dhalimu… wanachukua michango ya wafanyakazi Lakini hawana msaada kwa wafanyakazi.. Ni muhimu wafanyakazi mkaungana na watu wanaowasemea na kuwapigania ili muweze kuleta Mageuzi ya kweli. Hakuna cha kusherekea tofauti na kupumzika nyumbani leo.
Indonesia
58
263
1.1K
24.5K