LandLai investment

11.4K posts

LandLai investment

LandLai investment

@LandLai_

Is the marketing company which deals with real estate properties such as Land, housing, rentals and constructions

Dodoma, Tanzania Katılım Eylül 2017
69 Takip Edilen3.4K Takipçiler
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Bado unasita kuwekeza jijini Dodoma ? Hapa ni Mtumba maarufu kama Magufuli City Ni 20km kutoka Dodoma mjini Tunauza sqm 1 kwa shillingi 25,000 , mfano kiwanja cha sqm 1000 utakipata kwa 25,000,000/= Nipigie nikupeleke hapa ukaone Mali 0656488927
Indonesia
0
1
2
30
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Viwanja vya kwanza barabara ya lami ya Dom - Dar vinauzwa hapa Mtumba jijini Dodoma. Vina ukubwa wa sqm 800, 2700, 3000, 4500 na Sqm 6000 Unaweza kujenga Lodge, Apartments, Supermarket, sheli au kituo cha mafuta. Wasiliana nasi 0656488927 au 0696079036 #WekezaDodoma
Indonesia
0
2
0
664
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Viwanja vinauzwa Michese Jijini Dodoma Vipo km 5 kutoka Dodoma Mjini Vipo opposite na eneo la Itega Panafikika kirahisi Miundombinu ya barabara ni kiwango cha lami Maji na umeme vipo Tayari kuna lodge na Apartments eneo hili Wasiliana nasi 0656488927 au 0696079036
Indonesia
0
0
1
11
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
WHY YOU SHOULD INVEST IN DODOMA Investing in Dodoma holds a unique advantage as the epicenter of Tanzania's government activities. With the strategic shift of administrative functions, Dodoma becomes not just a city but a nucleus of opportunities.
English
0
1
0
34
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Njedengwa inakupa kila hitaji la uwekezaji wa hoteli, apartments, Lodge na hata makazi. Kwa siku za mbele Njedengwa inakadiriwa kuwa na uwekezaji mkubwa kuanzia usanifu bora wa majengo, biashara na makao makuu ya taasisi nyingi za kiserikali na watu binafsi
Indonesia
0
0
0
16
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Njedengwa ni Moja ya eneo la kimkakati lilopo jijini Dodoma lilotengwa kwa uwekezaji mkubwa uwe makazi au biashara. Ikukuchukua mwendo wa dakika tano kwa gari kufika hapa kutokea Dodoma mjini na mwendo wa km 6 kufika mji wa kiserikali (Mtumba),
Indonesia
1
1
0
58
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Je una Millioni tano na unahitaji kiwanja ndani ya jiji la Dodoma ? Karibu sana @landlai__investment tukupatie kiwanja chenye miundombinu na huduma karibu zote za kijamii. Tutumie ujumbe wako DM au tupigie kupitia 0656 4889 27
LandLai investment tweet mediaLandLai investment tweet mediaLandLai investment tweet media
Indonesia
1
0
3
351
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
VIWANJA VIZURI VINAUZWA NZUGUNI. Nzuguni ni eneo la kimkakati lililo karibu na sehemu za muhimu sana ambapo lipo Km 8 kutoka Dodoma mjini na dk 2 kufika barabara inayoelekea Dar es salaam. #Letsinvesttogether #viwanjadodoma
Indonesia
0
0
1
118
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Maeneo jirani yanayo izunguka Nzuguni ni Ilazo,Kisasa,Ihumwa,Iyumbu,Udom na yote ni maeneo yanayokua kwa kasi sana. Kupata ushauri ya jinsi ya kuwekeza pamoja na usafiri wa kwenda kuviona viwanja hivi ni bure kabisa.
Filipino
1
0
0
60
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
VIWANJA VIZURI VINAUZWA NZUGUNI. Nzuguni ni eneo la kimkakati lililo karibu na sehemu za muhimu sana ambapo lipo Km 8 kutoka Dodoma mjini na dk 2 kufika barabara inayoelekea Dar es salaam.
LandLai investment tweet media
Indonesia
1
0
0
107
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Ni viwanja vyenye ukubwa tofauti tofauti mwanzoni kabisa mwa Michese. Unaweza kuwasiliana nasi kwa kututumia ujumbe mfupi au kutupigia simu kupitia 0656488927. Karibu @landlai__investment Ofisi zetu zipo Gadaffi street karibu na Mwanga hakika bank #letsinvesttogether
Indonesia
0
0
0
42
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Je ungependa kujenga kilomita nne kutoka Dodoma mjini ambapo Kuna miundombinu pamoja na huduma zote za kijamii Basi Michese ni Eneo zuri kwaajili yako ambapo kuna mradi wa viwanja Vilivyopimwa na kuthibitishwa na mamlama ya jiji la Dodoma
Indonesia
1
0
0
95
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
ITEGA Ni sehemu nzuri iliyo karibu kabisa na mjini umbali wa km 3,iliyotengwa kwa uwekezaji mkubwa wa nyumba za makazi na taasisi. Hapa viwanja vinaanzia ukubwa wa sqm 2400 mpaka 6000 au na kuendelea. Vipi umependa Itega ? Basi tupigie simu 0656 4889 27. #LandLai
Indonesia
0
0
2
89
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
Pia kuna sehemu zingine kama Ilazo , Kisasa, Mji wa Serikali, Mkalama na Iyumbu ambazo ujenzi wa Hoteli, Lodge na Apartments unafaa na unaweza kukulipa kwa uwekezaji wako. Ili kujua fursa nyingi za uwekezaji zilizopo Dodoma wasiliana nasi 0656 488 927 #LandLai
Indonesia
1
0
0
48
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
4: MEDELI Ni eneo lilo km 2 kutoka Dodoma mjini , Hapa ndipo Hoteli kubwa na za kifahari zote zinapatikana eneo hili mfano Morena Hotel, Nashera, Vizano, FQ . Ni sehemu nzuri iliyo karibu na taasisi nyingi za kiserikali.
LandLai investment tweet media
Indonesia
1
0
1
66
LandLai investment
LandLai investment@LandLai_·
MAENEO MAZURI KWA UWEKEZAJI WA LODGE, HOTELI & APARTMENTS JIJINI DODOMA
LandLai investment tweet media
Indonesia
1
0
0
97