Sabitlenmiş Tweet
Life Of Vike
12K posts

Life Of Vike
@Life_of_vike
LIFE OF VIKE
Mwanza, Tanzania Katılım Kasım 2022
911 Takip Edilen921 Takipçiler

@Life_of_vike Duu mnakula mpka albino aisee 😅 ila mm kuna albino niliwahi kumuelewa Alikuwa pale vwawa songwe uko ahaa sijui aliendaga wap
Indonesia
Life Of Vike retweetledi

#TajiriLaKihaya
Kuidharau timu ambayo haijafungwa kwenye UEFA Champions League, imewapita Bayern Munich na Atlético Madrid kirahisi, na ipo kileleni mwa English Premier League tangu mwaka jana,hiyo si masihara.
Hiyo ni sauti ya kushindwa na frustration, kwa sababu timu zenu hazikuweza kufikia hata kiwango cha karibu.
Najivunia kuwa shabiki wa Arsenal…
#COYG
Filipino

@Life_of_vike Vijana wa Kitanzania ni majasiri mnooooooo
Indonesia
Life Of Vike retweetledi

Iko hivi katika maisha yetu ya kila siku hakuna kitu kizuri na muhimu kama kujaribu.
Nakumbuka 2021 Shilole alilaunch shishi food pale Dodoma na wakati huo nilikuwa nimehairisha chuo kwa kukosa ada so nikawa nawaza ni namna gani naweza jikusanya kupata chochote kitu.
Nikiwa mtandaoni nikaona tangazo kwenye page ya shilole pale mjini instagram akitafuta wafanyakazi ikiwemo wapishi, usafi na waiters na akatangaza tarehe ya usahili.
So akilini mwangu nikasema hapa napo naenda kurusha karata yangu kama waiter japo sikuwa na vyeti vya huo ujuzi.
Ikanibidi nichukue magamba yangu ya shule niende nayo kwenye huo usahili uliokuwa unafanyika siku ya jumamosi.
Nafika pale nikakabidhiwa kadi namba 76 huko ikimaanisha mm ntakuwa mtu wa 76 kupigwa interview na madam shilole.
Mungu si Athumani nikavumilia mpaka wakati wangu wa kuingia na mlangoni alikuwa amesimama good brother vido vidox so unapigwa maswali kidogo kabla hujaenda kukutana na shilole.
Mule ndani shishi alinipiga maswali kadha wa kadha nikajibu na nikaambiwa niache namba😁nikahisi kazi tayari guess wat sikupata nikaingia zangu kwenye harakati za kuuza ukwaju.
Ninachotaka kusema ni hivi dunia haina huruma na haitaki ww utie huruma fosi kivyovyote kupata mkate wako wa kila siku.
Kwa ground hadi leo bado algorithm ya maisha inanipiga za kichwa lakini sijawahi kulaumu namshukuru Mungu na bado nina imani ipo siku mambo yatakuwa ahueni.
Kwangu kila hatua moja ninayopiga huwa natizama nyuma nilikotoka nikiona nimesonga mbele hata hatua nusu huwa nabaki kusema "Lord, The one you have blessed has come to say thank you" coz mm ndio najua ni mangapi nimepitia.
Sisi ndio wale hata tukila wali nyama ni mafanikio kwetu🫵😁
Indonesia

@HastaRuego Hahaha 😂 mzee tafuta hela uache kuwekwa kwenye viti
Filipino













