Kibenche

8.5K posts

Kibenche

Kibenche

@Limaharajr

Teacher, Hustler, Orator, A Man Of My Word. #TropBonTropCon.

Tanzania Katılım Şubat 2019
794 Takip Edilen898 Takipçiler
Kibenche retweetledi
Nchi yangu kwanza
Nchi yangu kwanza@NCHIYANGUT·
ANAZALISHA MAYAI TREI 3000 KWA SIKU NA KUKU WOTE WAKO KATIKA KIYOYOZI - KIGOMA
Indonesia
1
3
8
65
Kibenche retweetledi
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiondoka katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kigali mara baada ya kumaliza ziara yake ya kikazi ambapo alishiriki Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali kuhusu Uvumbuzi wa Nishati ya Nyuklia barani Afrika (NEISA), Kigali nchini Rwanda tarehe 19 Mei, 2026.
ikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
7
27
98
3K
Kibenche retweetledi
Francial
Francial@Francoobabuuu·
The beautiful of Tanzania,kalambo waterfalls in Rukwa Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Let's protect our nature
English
0
2
4
31
Kibenche retweetledi
Francial
Francial@Francoobabuuu·
Tunza mazingira,yakutunze🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Francial tweet media
Türkçe
0
2
5
18
Kibenche retweetledi
Francial
Francial@Francoobabuuu·
Nitunze nikutunze,Tanzania ya kijani🇹🇿🇹🇿
Francial tweet mediaFrancial tweet mediaFrancial tweet media
Suomi
0
1
4
31
Dr Makumba
Dr Makumba@makumbawaleo_5n·
Matibabu ya Mzizi wa Jino (Root Canal Treatment) kwa Kiswahili! Sehemu ya kipindi nilichofanya Pale @azamtvtz kwenye kipindi cha The Trumpet! Kumbuka kumtembelea dentist wako leo kwa uchunguzi na matibabu! #DentalCare #OralHealth
Indonesia
5
15
31
1.4K
Kibenche retweetledi
Francial
Francial@Francoobabuuu·
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
QME
0
1
3
10
Kibenche retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Ninaipongeza Timu ya Taifa ya Vijana ya Mpira wa Miguu chini ya miaka 17 (Serengeti Boys), kwa kufuzu kushiriki Kombe la Dunia mwaka 2026. Mafanikio haya ni fahari kubwa kwa taifa letu na ni ushahidi wa vipaji, juhudi na nidhamu ya vijana wetu katika kuipeperusha bendera ya Tanzania kimataifa. Ninawatakia kila la kheri katika Mashindano ya Mataifa ya Afrika yanayoendelea. Nimeielekeza Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo pamoja na mamlaka zote zinazohusika kuhakikisha maandalizi bora yanafanyika ili muiwakilishe vyema nchi yetu.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
31
99
281
11.1K
Kibenche retweetledi
Francial
Francial@Francoobabuuu·
Tanzania yetu🇹🇿🇹🇿
Francial tweet media
Indonesia
0
1
3
12
Kibenche retweetledi
Francial
Francial@Francoobabuuu·
Tulinde na kutunza mazingira yetu kwa maendeleo yetu Tanzania 🇹🇿🇹🇿
Francial tweet mediaFrancial tweet mediaFrancial tweet media
Filipino
0
1
3
20