LongaZimale
19.4K posts

LongaZimale
@LongaZimale
MUNGU NI MUWEZA JUU YA KILA KITU.
Katılım Temmuz 2022
3.7K Takip Edilen10.4K Takipçiler

@fumbokhanJr Hatoboi, Waislam hawaogopi kufa, labda awauwe wote, ndio maana hakuna Muiran anayeishi kwenye mashimo kama Nguchiro.
Indonesia

ROHO ni MVUKE unayo ifanya Damu ya Mtu isigande ikiwa mwilini, huo Mvuke ukitoka, Mtu hupoa na kuitwa “MFU” badala ya “MTU”.
@ElimikaWikiendi
Indonesia

@joeselasini MwanaAdam asili yake ni udongo, Udongo ukapulizwa Roho, Roho ikitoka mwili hurudi Udongoni.
Indonesia

Kama unataka kupima kiwango chako cha uwezo wako wa kufikiri, ishi na adui yako pamoja naye.
@ElimikaWikiendi
हिन्दी

Unafahamu sababu ya Nyoka na Fimbo kuwekwe kwenye nembo za Afya na Dawa?.
Soma hapa,
Hesabu 8:21
@ElimikaWikiendi
Indonesia
LongaZimale retweetledi

Naomba Mshow #Love kwa Repost🙏
👉Bei jezi za zamani(Vintage) 35,000/=
Wa.me/+255717251747
Au 0714336827
👉Duka lipo kariakoo.Pia tunatuma NCHI NZIMA



Sio kila uongo ni dhambi,
Uongo mwingine ni “Dawa”.
@ElimikaWikiendi
Filipino

Sio kila “Pori” kuna “Sungura”.
Mapori mengine wanaishi “Nguchiro” na Vicheche wala Kuku.
Chukua tahadhari.
@ElimikaWikiendi
Filipino

Yapo magonjwa ya Mwili, na yapo magonjwa ya Roho,
yale magonjwa ya Mwili, yawahishe Hospitali mapema.
@ElimikaWikiendi
Indonesia

Nabii Mussa “as” alikua Nabii aliye ongea na Mungu moja kwa moja bila kupitia Malaika “Gabriel” Jibrilu as,
pamoja na yote aliambiwa akasome kwa Hidhri ambaye ni mtu wa kawaida.
@ElimikaWikiendi
Indonesia

Hakuna neema kubwa ambayo Mungu amempa MwanaAdam zaidi ya “Akili”.
@ElimikaWikiendi
Filipino

@Eagleseye02 Shiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiindwa, siachi ng’oooooo. 😂😂😂😂
Filipino

Kwa Faida:
Anasema Al-Imaam Ibn Kathir [Allah Amrehem] Kipindi Akifasiri Kipande Hiki Cha Aya:
" Maana Yake, Halazimishwi Yeyote Kuingia Katika Dini Ya Uislaam, Kwan Hakika Dini Ya Uislaam Iko Wazi Kabisa, Dalili Na Hoja Zake Ziko Wazi Kabisaa, Hivyo Haitajii Mtu Akarahishwe
LongaZimale@LongaZimale
@abulhusayn01 Naaaaaam. Soma hapa Quran 2:256 “Hakuna kulazimishwa Mtu DINI”.
Indonesia

@LongaZimale @INFLUENCERjr Usisahau kuwa utalipia na jizzya pia kama kodi ili uwe mkristo, na pia ikitokea umebadili dini kutoka uislamu kuja ukristo adhabu yake ni kifo
Indonesia

Waulize wa Afghanistan 😅
LongaZimale@LongaZimale
DINI ni jambo la hiari ya Mtu, wala Mungu hakuwalazimisha Watu “DINI”.
Indonesia






