

Mathew Bukhi Mabele
4.2K posts

@MBMabele
Writes about biodiversity conservation, climate change, environmental justice and epistemic disobedience to Euro-American centricity in tropical ecosystems



Tonight, Kenya unveils its bold new global tourism campaign - Experience Wonder 🇰🇪 at ITB Berlin. More than a campaign, it is an invitation to the world to discover the Origin of Wonder - the Origin of all things. This campaign invites the world to discover a destination where nature, wildlife, culture, and human heritage come together in their most authentic form. From the birthplace of humanity to landscapes and experiences found nowhere else on earth, Kenya offers travellers a chance to reconnect with the true source of wonder. Come curious. Leave in awe. Experience Wonder. #MagicalKenya #ExperienceWonder #OriginOfWonder #VisitKenya #ITBBerlin2026

Finally, I got the book! Thank you @YolandaAriadne @JessCHope and @EliaApos for the invitation and leading this wonderful book.





Can we rename the Gombe National Park to the Jane Goodall National Park?


Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Tulia Ackson amesema ni muhimu wananchi na viongozi waelewe majukumu ya mihimili ya dola na kuheshimu mipaka yake, ili kulinda utawala wa sheria na demokrasia ya kweli. Akizungumza leo Jumapili Juni 15, 2025 Ikulu jijini Dodoma katika hafla ya kumuapisha Jaji Mkuu mpya George Masaju, Dk Tulia amesema baadhi ya watu husherehekea maamuzi ya Mahakama kama ushindi wa bahati nasibu bila kuelewa msingi wa Katiba. “Hata hapa juzi eh, Mahakama imetoa uamuzi ambao nimesikia watu mahali wanasherehekea kama wameshinda rotary (bahati nasibu). Nikashangaa sana nikasema hawa ni wanasheria kweli, wanaijua Katiba? Sababu Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatupa fursa kama Bunge kutunga sheria, inaiagiza Mahakama kutafsiri sheria. Sasa Mahakama ikishatafsiri, ni jukumu letu kama Bunge kuchukua hatua.” Kauli hiyo imekuja kufuatia uamuzi wa Mahakama ya Rufaa kubatilisha kifungu cha 4 cha Sheria ya Utekelezaji wa Haki za Msingi na Wajibu (Badea) ya 1994 kwa sababu kinakinzana na Katiba, na hivyo kuruhusu uwezekano wa viongozi kushtakiwa. “Lazima wananchi wafike mahali waelewe kazi ya mihimili hii, na kumuweka Rais mahali anapostahili, kumtofautisha na Jaji Mkuu, Spika, lakini pia kuelewa Rais anavyofanya kazi kama Mkuu wa mhimili mkuu,” amesema Dk Tulia. #mwananchiunews #tunawezeshataifa


Another publication rejection. Au labda sina akili 😭😭😭 siandiki tena.


Eating the Adivasis along with the Tiger: Conservation Conflicts in India - undisciplinedenvironments.org/2025/01/21/eat…

