Mvulana Initiative

9 posts

Mvulana Initiative

Mvulana Initiative

@mvinitiative

Mvulana Initiative (MI) is a Non-Governmental Organization that advocates for the rights and well-being of boys against all forms of abuse.

Kiluvya,Kisarawe-Pwani Katılım Mart 2026
5 Takip Edilen0 Takipçiler
Peter Nyalwimba
Peter Nyalwimba@PNyalwimba·
@Aruatani Sio wifi hio Mzee hio ni radio frequency transmitter.Kazi yake ni kutuma taarifa kutoka kwenye ATM card yako kwenda kwenye server upande wa bank.Hii utaitumia kama endapo utaki kuingiza kadi ndani
Filipino
1
0
1
1.5K
Michael Francis
Michael Francis@Michael94678730·
@Aruatani Hiyo mara nyingi mimi huwa naitumia kutoa pesa kwenye ATM. Naweka kadi yangu hapo badala ya kuchomeka kadi kwenye ATM
Filipino
2
0
2
1.4K
Mvulana Initiative
Mvulana Initiative@mvinitiative·
@bushlander_ @Aruatani Kwa sababu watu wakipata pesa wanasahau kadi. Mtu akishachukua pesa anaacha kadi anaondoka. So chukua kadi weka kisha chukua pesa ondoka.
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
0
0
0
29
matungwa peter
matungwa peter@matungwap·
@Aruatani Hapo unaweka kadi kwajili ya kufanya miamala ya kibenki hapo panascan kadi ni mbadala wa ile sehemu ya kuchomeka kadi, so badala ya kuchomeka kadi unailaza hapo na kukamilisha miamala kama kawaida
Indonesia
1
0
1
542
Mvulana Initiative retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Karibuni Tanzania. Karibuni Nyumbani. Leo nimejumuika na Marais wa nchi na Wawakilishi wa wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki katika Mkutano wa 25 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, jijini Arusha. Miaka 26 tangu kurejeshwa kwa umoja huu, umeendelea kuwa jukwaa muhimu la kuunganisha nguvu za nchi zetu kama ndugu, kuongeza sauti ya pamoja katika masuala mbalimbali, na kujenga mustakabali wenye mafanikio kwa wananchi wa Afrika Mashariki.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
55
143
458
27.3K
Mvulana Initiative retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Ninawapongeza na kuwatakia kheri wanawake wote katika kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Wanawake. Siku hii inatupa fursa ya kipekee ya kutambua, kujivunia na kusherehekea mafanikio tuliyopata, hasa katika elimu, afya, uchumi na uongozi. Siku hii inatukumbusha pia wajibu wetu wa msingi kwa waasisi wetu na kwa vizazi vya sasa na vijavyo; wa kuendelea kupanga na kutekeleza mipango ya kumwezesha mwanamke, ikiwa ni sehemu muhimu ya kazi ya kukomboa familia, jamii na Taifa kwa ujumla.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
92
126
451
72.9K
Mvulana Initiative
Mvulana Initiative@mvinitiative·
Watu wengi hufikiri kuwa mwanaume ni nguvu au umri. Lakini ukweli ni huu: Mwanaume halisi ni yule anayewajibika. Anayeheshimu wengine. Anayelinda na kujali familia yake. Na anayesimama kwenye maamuzi yake hata wakati mambo ni magumu. Uanaume sio kelele, ni tabia. .... #fyp #mi
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
0
0
1
9