Balozi Maulidah, ametoa pia shukrani za dhati kwa Mheshimiwa Sayyid Badr bin Hamad Al Busaidi kwa mapokezi mazuri aliyoyapata wakati wa kuwasilisha nakala za Hati na ameahidi kufanya kazi kwa ukaribu ili kuimarisha na kukuza ushirikiano wa nchi mbili.
Aidha, Balozi Maulidah Hassan amepongeza mchango mkubwa wa kidiplomasia wa Oman katika juhudi za amani Mashariki ya Kati, na kusisitiza uungaji mkono wa Tanzania katika kuleta amani na utulivu duniani.
BALOZI MAULIDAH HASSAN AWASILISHA NAKALA ZA HATI ZA UTAMBULISHO KWA WAZIRI WA MAMBO YA NJE WA OMAN.
Balozi Maulidah Hassan, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Oman, leo amewasilisha nakala za Hati zake za Utambulisho kwa Mheshimiwa Sayyid Badr bin Hamad Al Busaidi,
Jimbo la Busanda utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2025-2030
Sera ya Afya ya Msingi Zahanati kila Kijiji, Kituo cha Afya kila kata.
Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan anatimiza haya kwa Vitendo.
Kazi Na Utu Tunasonga Mbele 🇹🇿.
Jimbo la Busanda utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi 2025-2030
Sera ya Afya ya Msingi Zahanati kila Kijiji, Kituo cha Afya kila kata.
Mhe Rais Dr Samia Suluhu Hassan anatimiza haya kwa Vitendo.
Kazi Na Utu Tunasonga Mbele 🇹🇿.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kupitia Wakala wa Vipimo (WMA) kuanza kuhakiki vipimo vinavyotumika katika huduma za muda wa maongezi na bando za intaneti ili kuhakikisha wananchi wanapata thamani halisi ya
WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki zinapaswa kuendelea kushirikiana kulinda na kulihifadhi Ziwa Victoria kwa kuwa ni rasilimali muhimu inayogusa maisha, uchumi na mustakabali wa mamilioni ya wananchi wa ukanda huo.
*DKT. MWIGULU ATAKA ULINZI NA UHIFADHI WA ZIWA VICTORIA*
_▪️Asisitiza ushirikiano wa kikanda katika kulinda rasilimali za ziwa_
_▪️Aagiza kuimarishwa kwa mifumo ya uokoaji na usalama majini_
_▪️Ataka matumizi ya teknolojia katika usimamizi wa rasilimali za maji_
Mbunge wa Jimbo la Hai, Saashisha Mafuwe, ameipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo katika jimbo hilo,