chaupole
20.2K posts

chaupole
@MagrethMtemi
A Dief | Lady with Christ |I'm not lucky,I'm totally blessed
Mwanza, Tanzania Katılım Ağustos 2019
249 Takip Edilen999 Takipçiler
chaupole retweetledi

Misconception zilizopo Mtaani Commonly
1. Kutokula Mchana Kunasababisha Vidonda vya Tumbo
2. Azuma Ni Dawa Ya UTI Sugu
3. Ukiumwa Na Nyoka Funga kwa Juu sehemu ulipoumwa
4. Dawa za Minyoo lazima Zimezwe Asubuhi sana kabla Ya kula chochote 🫵😂
5.UTI ni Sexual Transmitted infection (STI's)
6.Kumpa maziwa au maji Mtu aliyekunywa Sumu
7.Kila Homa Ni Malaria
8.Flagyl (Metronidazole) inatumika Kutoa Mimba
9.Mkojo Usipofanana Na Maji ukiwa na Rangi Nyingine (pale yellow) wanakuambia Ni Mchafu ( anadaka Azuma )
Filipino

🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #CAFCL
🆚 AS Far
🗓️ 07 February 2026
🏟️ Stade Olympique De Rabat
⏱️ 02:00 Usiku🇲🇦 | 04:00 Usiku🇹🇿
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko

Indonesia

chaupole retweetledi
chaupole retweetledi
chaupole retweetledi

Elimu ya afya ya uzazi ianzie ngazi za chini ili kuongeza uelewa na kuwasaidia vijana kufanya maamuzi sahihi.
#Youth4ICPD30

Indonesia
chaupole retweetledi

Sadaka yako iliko ndiko na moyo utakapokuwa.
Kama hujafanikiwa kufika ibadani, Mtolee Mungu kwa Simbanking
Fungua Simbanking piga *150*03#
👉 Chagua 3 SADAKA
👉 Chagua 1 Toa sadaka
👉 Chagua 1 binafsi
Weka namba ya nyumba ya ibada ya benki
#BenkiNiSimbanking #TushavukaHuko
Indonesia
chaupole retweetledi

Disemba ni kuchangamka
Santa Rapa wa CRDB anakuambia kila unapofanya miamala na kulipia bills tisha na Simbanking kabla mwaka haujaisha kuna Toyota Harrier Anaconda mpyaaa kwa ajili yako
Tisha ushinde
#TushavukaHuko
Filipino
chaupole retweetledi

Mwanamke vuka mwaka kishujaa.
Fungua Hodari akaunti ya CRDB isiyo na makato, utapata
✅ TemboCard
✅ Lipa Hapa bure
✅ Mkopo hadi 50M
Ni wakati wa kuvuka vikwako na kujiimarisha kiuchumi #TushavukaHuko

Indonesia

Poleni sana aisee
chaupole@MagrethMtemi
@Bravo6xGoinDark @JayUmeme Nmetoka Geita basi likaishia hapo Usagara kwenye vurugu. Nimepigwa mabomu jamani nikalia mpaka sauti ikapotea 🥲 jioni Polisi na wanajeshi walipofika nikachukua boda boda mpaka Ngudu. Nafika nimeloa balaa na nikakaa masaa machache tu Nyumbani tukapata msiba 💔😭
Eesti

@ngitaohj1986 @MagrethMtemi Kijana inaonekana ulibeba miwili kabisa
Indonesia

@Bravo6xGoinDark @JayUmeme Nmetoka Geita basi likaishia hapo Usagara kwenye vurugu. Nimepigwa mabomu jamani nikalia mpaka sauti ikapotea 🥲 jioni Polisi na wanajeshi walipofika nikachukua boda boda mpaka Ngudu. Nafika nimeloa balaa na nikakaa masaa machache tu Nyumbani tukapata msiba 💔😭
Indonesia







