maureen franco

3.6K posts

maureen franco banner
maureen franco

maureen franco

@MariaTshe

New York, USA Katılım Mart 2024
604 Takip Edilen2.9K Takipçiler
maureen franco
maureen franco@MariaTshe·
Ivi kwanini siku hizi binadamu tumejisahau kabsa hatutumii Kinga tena wakati wa tendo??🤔
Indonesia
51
28
230
14.6K
maureen franco retweetledi
Mwinshehe 🕊️
Mwinshehe 🕊️@Mwinshehe07·
Inasikitisha kuona bado kuna viongozi wanaamini siasa za kufuta upinzani badala ya kushindana kwa ideas na sera. Tanzania ni nchi ya vyama vingi na CHADEMA si adui wa taifa bali ni sehemu ya demokrasia ya nchi hii Kama chama tawala kinaamini kinakubalika kwa wananchi, kishindane kwa hoja na utendaji wake sio kutumia vitisho, kesi na propaganda dhidi ya wapinzani. Ukweli ni mchungu kwa Ccm kadri wanavyojaribu kuibana CHADEMA ndivyo wanavyoonyesha wana hofu na nguvu yake kwa wananchi Demokrasia haiimarishwi kwa kufuta wanaokukosoa tunatakiwa kuwa ña watu wenye utambuzi wa kwamba vyama vya kisiasa ni kuvumilia tofauti za mawazo na kushindana kwenye hoja na sera
Mwinshehe 🕊️ tweet media
Indonesia
10
34
121
2.5K
maureen franco retweetledi
Masterplan🇹🇿
Masterplan🇹🇿@master_plan9·
Hizi Tarehe Kama Kwenye Ukoo Wenu Una Ndugu ni Mwalimu Naomba Mtumie Pesa Usiniulize ya nini?🤣
Filipino
27
47
221
6.1K
maureen franco retweetledi
akili
akili@akilnyingi·
The one who mocks and criticizes you is the one who truly wishes you well, more than the one who praises you.
English
0
4
7
179
maureen franco retweetledi
𝐌𝐣𝐢𝐦𝐛𝐮🍁
Bongo mke wa mtu anakuomba uwe mwaminifu kwake usimchiti 😁😁
Indonesia
34
49
380
11.6K
maureen franco retweetledi
Msigwa Mpenda.
Msigwa Mpenda.@MsigwaMpenda·
Yule jamaa anae abudu Mizimu amekubali mziki wa CHADEMA 🙏
0
20
65
598
maureen franco retweetledi
Ndera_LFC
Ndera_LFC@Ndera_Wirtz·
Gen Z wanafikiri kesi yakulawitiwa kisa mke wa mtu itampa haki kisheria, mzee utapewa panadol tu upooze maumivu, hapo ni fedhea sana kwanza nguvu yakusimama mahakamani unaitoa wapi!
Ndera_LFC tweet media
Indonesia
4
7
13
296
RaHeeM
RaHeeM@Cowwbama·
Kwahyo ni kwamba , kipindi upo chuo ulishindwa kusave hata buku au jero kwa siku ambayo unakula 10k
Filipino
17
17
112
16.6K
Brave man
Brave man@thomas_yona_·
Hakikisha madem zako hawajui shughuli zako unazofanya kuingiza kipato hii nimuhimu sana wazee🤝
हिन्दी
8
23
145
3.7K
maureen franco retweetledi
@FORD__TACTICS
@FORD__TACTICS@MkaraFrank·
Hawa wahenga sijuh waliwaza nini kusema kuteleza si kuanguka.. leo hapa ndani nimeteleza nimeteguka mguu na mkono ...alafu waje waniambie sio Kuanguka huku .... Millennials na wahenga 🚮
Indonesia
3
6
9
191
PONSO PILATO🦅👽
PONSO PILATO🦅👽@Fortunee_Mans·
Msaada dawa ya hangover ? Pombe ni ujinga sana by the way🚮🚮🖕
Indonesia
13
23
115
4K
Joy Rich
Joy Rich@Joy_Mbura·
Maisha ni Magumu sana
Joy Rich tweet media
Filipino
18
3
58
1.5K
K A L A M U
K A L A M U@logic_himself·
Furaha ni Bora kuliko pesa lakini unatakiwa kuwa na iyo pesa kwanza🤣
Filipino
2
10
78
802