maureen franco
3.6K posts

maureen franco retweetledi

Inasikitisha kuona bado kuna viongozi wanaamini siasa za kufuta upinzani badala ya kushindana kwa ideas na sera. Tanzania ni nchi ya vyama vingi na CHADEMA si adui wa taifa bali ni sehemu ya demokrasia ya nchi hii
Kama chama tawala kinaamini kinakubalika kwa wananchi, kishindane kwa hoja na utendaji wake sio kutumia vitisho, kesi na propaganda dhidi ya wapinzani. Ukweli ni mchungu kwa Ccm kadri wanavyojaribu kuibana CHADEMA ndivyo wanavyoonyesha wana hofu na nguvu yake kwa wananchi
Demokrasia haiimarishwi kwa kufuta wanaokukosoa tunatakiwa kuwa ña watu wenye utambuzi wa kwamba vyama vya kisiasa ni kuvumilia tofauti za mawazo na kushindana kwenye hoja na sera

Indonesia
maureen franco retweetledi
maureen franco retweetledi
maureen franco retweetledi
maureen franco retweetledi
maureen franco retweetledi
maureen franco retweetledi
maureen franco retweetledi






















