Masoud Hamisi Japan

8.5K posts

Masoud Hamisi Japan banner
Masoud Hamisi Japan

Masoud Hamisi Japan

@MasoudJapan

Business Man JAPAN LOGISTICS AND GENERAL SUPPLY LIMITED [email protected]

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2015
73 Takip Edilen256 Takipçiler
Masoud Hamisi Japan retweetledi
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Rais Samia ahimiza umoja wa kitaifa, licha ya tofauti za kiimani
Indonesia
32
42
90
17.2K
Jayjay@101 Taipei
Jayjay@101 Taipei@Japanesebw·
@TheCitizenTz He is not a Tanzanian in 100 percent and he is a chawa number one. For possible want to control the media behind doors as he did in Tanzania for Ruling party
English
3
0
1
345
Masoud Hamisi Japan retweetledi
The Citizen Tanzania
The Citizen Tanzania@TheCitizenTz·
𝗞𝗘𝗡𝗬𝗔 𝗔𝗡𝗗 𝗧𝗔𝗡𝗭𝗔𝗡𝗜𝗔 𝗔𝗥𝗘 𝗡𝗢𝗧 𝗥𝗜𝗩𝗔𝗟𝗦, 𝗪𝗘 𝗔𝗥𝗘 𝗘𝗤𝗨𝗔𝗟𝗦: 𝗥𝗢𝗦𝗧𝗔𝗠 Tanzanian billionaire Rostam Aziz advises Kenyans to change their mindset, noting that a Tanzanian investor can buy a Kenyan company just as Kenyans invest in Tanzania
English
5
21
51
11.3K
Masoud Hamisi Japan retweetledi
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
RAIS SAMIA AMUASILI MTOTO MCHANGA ALIYETELEKEZWA NZEGA Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemuasili mtoto mchanga wa kike leo tarehe 11 Machi, 2026, katika makazi yake, Ikulu Chamwino, mkoani Dodoma. Mtoto huyo aliyepewa jina la Grace Samia Suluhu, alitelekezwa mjini Nzega, mkoani Tabora, na amekabidhiwa kwa Rais Dkt. Samia na Mkuu wa Wilaya ya Nzega, Mhe. Naitapwaki Tukai. Akizungumza wakati wa kumkabidhi mtoto huyo, Mkuu wa Wilaya Tukai alisema mtoto huyo aliokotwa tarehe 17 Januari, 2026 akiwa ametelekezwa katika eneo jirani na nyumba ya wageni ya Kasulu, Nzega Mjini. Alieleza kuwa baada ya kupokea taarifa hizo, alishirikiana na Jeshi la Polisi kumchukua mtoto huyo na kumpeleka hospitalini kwa uchunguzi na uangalizi, huku juhudi za kumtafuta mama yake zikiendelea bila mafanikio. Rais Dkt. Samia amemkaribisha mtoto huyo katika familia yake na kuahidi kumpatia malezi, ulinzi na huduma zote muhimu ili akue katika mazingira salama na yenye upendo. “Wanaotupa watoto hawajui wanalolifanya. Kuliko kumtupa mtoto ni afadhali ukamkabidhi katika mamlaka za kisheria au kituo cha kulelea watoto. Kila mtoto aliyezaliwa ni hazina, na hatuijui kesho yake,” alisema Rais Dkt. Samia.
ikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
154
98
423
92.7K
Masoud Hamisi Japan retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Ikulu Ndogo, Arusha Jioni ya baraka na shukrani kwa Mwenyezi Mungu Mtukufu, niliposhiriki futari na watoto yatima na makundi mbalimbali.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
87
108
430
39.6K
Watcher.Guru
Watcher.Guru@WatcherGuru·
JUST IN: 🇺🇸 President Trump imposes 10% global tariff on all countries and says all tariffs will remain in place, despite Supreme Court ruling.
English
1.1K
1.2K
11.2K
1.7M
Masoud Hamisi Japan
Masoud Hamisi Japan@MasoudJapan·
@Wutangtz @ikulumawasliano Ufikiri wako mdgo china put deals on table kwa vile sisi wa africa we never care about contract ndo mana utamuona mchina mbaya niambie historia duniani ni wap china amewahi kuwa colonial master, alaf CCM ndo iliyokuletea maendeleo ambayo wewe umebweteka unataka ufanyiwe kila kit2
Filipino
0
0
0
8
Leebang JI
Leebang JI@Wutangtz·
@MasoudJapan @ikulumawasliano We mbwa!waulize zambia walifanywa nini na mchina!?nadhani wakoloni wabaya kabisa kuwahi kutokea duniani 1.maccm 2.Mchina 3.Mfaransa.
Indonesia
1
0
0
23
Masoud Hamisi Japan retweetledi
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamojana Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Wang Yi, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 10 Januari, 2026. ——— #TanzaniaYetuSote #NchiYetuKwanza #MaendeleoEndelevu
ikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
12
23
79
42K
Masoud Hamisi Japan retweetledi
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Leo jioni nimewasili Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ambapo nitaungana na viongozi wengine katika uzinduzi wa Global Africa Investment Summit (GAIS) pamoja na Mkutano wa Dunia wa Serikali (World Governments Summit - WGS) 2026 unaolenga kujenga mwelekeo wa namna serikali zinavyoweza kuhimili mabadiliko ya dunia na kuchochea maendeleo endelevu. Ushiriki wa Tanzania katika majukwaa haya ni kielelezo cha uthabiti wake kisiasa, na dhamira yake ya kuendelea kuvutia uwekezaji toka ndani na nje ya nchi, utakaozalisha ajira zaidi na kuchagiza maendeleo yetu. Aidha, ni utekelezaji wa Dira 2050 pamoja Sera mpya ya Mambo ya Nje katika Diplomasia ya Uchumi.
Samia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet mediaSamia Suluhu tweet media
Indonesia
5
133
422
64.3K
Masoud Hamisi Japan
Masoud Hamisi Japan@MasoudJapan·
@millardayo Hyu hana akili badala ya kurahisisha mikopo kwa ngazi ya wilaya vijana waweze kujikwamua kibiashara kwan nchi nzima wenye shida wasanii tuu
Indonesia
1
0
5
1.1K
millardayo
millardayo@millardayo·
Mbunge wa Jimbo la Morogoro Kusini Mashariki (CCM), Hamis Taletale, akichangia mjadala wa hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, aliyoitoa wakati wa uzinduzi wa Bunge la 13, ameomba kuwepo na mabadiliko ya sheria yatakayowawezesha wasanii kukopa fedha kupitia Mfuko wa Sanaa bila riba na masharti magumu ya dhamana, tofauti na ilivyo sasa ambapo mikopo hiyo hutolewa kwa kufuata taratibu za kibenki. Taletale amesema mfumo uliopo kwa sasa hauwapi fursa wasanii wengi kunufaika na fedha zinazotolewa na Serikali kama ilivyokuwa awali wakati ikitolewa kutokana na vigezo vinavyowataka kuwa na mali kama nyumba ili kupata mkopo. “Kama kuna utaratibu wa kisheria sisi ndio watunga sheria. Nakushauri Waziri Makonda leteni sheria hapa ili tuwasaidie wasanii. Kama kuna utaratibu wa kukopesha hizi pesa ambazo Mhe. Rais amezileta wapewe. Kama utaratibu huu ni mgumu ambao mmeujengea, ukitaka kukopa pesa ambayo ameileta Rais eti mnataka niweke nyumba, si kila msanii ana nyumba” Hamis Taletale (Babu Tale) - Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki. #MillardAyoUPDATES
millardayo tweet media
Indonesia
54
7
307
31.8K
Masoud Hamisi Japan retweetledi
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti wa Muembe (Mangifera indica) katika eneo la Bungi Kilimo, Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 27 Januari, 2026, wakati wa kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa. Rais Mhe. Dkt. Samia alizaliwa tarehe 27 Januari, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar. _____ #KaziNaUtuTunasongaMbele #TabasamuLaUtu #MazingiraNiUtu
ikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
43
64
154
8.9K
Masoud Hamisi Japan retweetledi
Ofisi ya Makamu wa Rais
Ofisi ya Makamu wa Rais@vpo_tanzania·
HERI YA MIAKA 62 YA MAPINDUZI MATUKUFU YA ZANZIBAR
Ofisi ya Makamu wa Rais tweet media
Indonesia
4
5
17
1K
Masoud Hamisi Japan
Masoud Hamisi Japan@MasoudJapan·
@bbcswahili Tuwe wakweli reaction za USA zinatupeleka kwenye vita ya 3 ya Dunia hakuna nchi huru inaweza ikavumilia matendo yake
Indonesia
0
0
1
9
ikulu_Tanzania
ikulu_Tanzania@ikulumawasliano·
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mhe. Dkt. Rhimo Simeon Nyansaho, Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Dkt. Moses Kusiluka, Katibu Mkuu wa Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Faraji Mnyepe, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda pamoja na Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) Meja Jenerali Rajabu Mabele, mara baada ya mazungumzo yaliyofanyika Ikulu ndogo ya Tunguu, Zanzibar, tarehe 06 Januari, 2026.
ikulu_Tanzania tweet mediaikulu_Tanzania tweet media
Indonesia
47
54
216
26K
Masoud Hamisi Japan
Masoud Hamisi Japan@MasoudJapan·
@mabiriani @ikulumawasliano Sio maelekezo soma maandiko ya mamlaka kwenye vitabu vya dini nakupa mfano wapo waliotaka JPM isitokee kilichotokea lakin sisi binadam hatupangi na mungu anamipango yake na mamlaka yake
Indonesia
0
0
0
10