The Sniper

8.1K posts

The Sniper banner
The Sniper

The Sniper

@MfaumeSeif5

if you isolate yourself...you will be isolated

Katılım Şubat 2020
72 Takip Edilen264 Takipçiler
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Bei ya mafuta kwa Tanzania ipo chini kulinganisha na Nchi nyingine. Pongezi kwa serikali ya Rais Samia kwa kuweka Ruzuku kwenye Diesel na kuhakikisha Mafuta yapo ya kutosha Nchini.!
MR BEN tweet media
Filipino
116
15
56
33K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
“ Sikiliza Albart , hili ni tukio la kumpa heshima Prof Jay na ni starehe kwa watu wote , nikiingiza siasa hapa , nyie CCM mpo na CHADEMA wapo, itabidi na Mnyika au Heche aje kuongea hapa , kitakachotokea hapa, kesho utafukuzwa kazi, halafu uanze kulilia. Matako yako”
Godbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
61
240
2.3K
58.9K
The Sniper
The Sniper@MfaumeSeif5·
@Mwenyekit_i Kama Taifa limefika hapa basi tuko katika hali mbaya sana
Indonesia
0
0
0
0
TRUST ME BRO
TRUST ME BRO@Mwenyekit_i·
Sasa hivi polisi wakikiri kuwa wanamshikiria ndugu/jamaa au rafiki yako unafurahi.
Indonesia
9
26
97
1.6K
Buba9️⃣9️⃣
Buba9️⃣9️⃣@massuidentity·
Kila mtu anamwambia mwenzake unashangila sare sasa nan anae shangilia sare? 🤔
Filipino
5
8
28
563
KN,
KN,@ksn__14·
Simba katika mipango yao yote ila hii ya watu kubadilishia nguo nyumba ya jirani wao wenyewe imewashangaza hizi ndio tunaita kanuni za vita 🤣
Indonesia
7
7
165
5.1K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Meneja wa Klabu ya Yanga Walter Harrison siku mbili hizi ni mbaya kwake na huenda akapewa adhabu na Bodi ya ligi kuu Tanzania Bara. Siku moja kabla ya Mchezo dhidi ya Simba alimtukana vibaya mchambuzi wa Michezo Jemedari Said aliyemkosoa baada ya kusambaa kwa video akisema Uwanja wa Meja Jenerali Isamuyo haupaswi kutumika kwani una matope. Leo wakati mechi inaendelea amemsukuma vibaya Kiungo Mshambuliaji wa Simba SC Clatous Chama lakini Mwamuzi hakuona na badala yake kadi ya njano akaoneshwa Kocha mkuu.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
21
2
177
18.8K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Kwa Mara ya pili yanga nafurahia kupata sare dhidi ya Simba Sc, siyo ishara nzuri kwao wanaenda kupotea pakubwa sana yanga. Simba anaenda kutawala soka la Tanzania na huaga ni hatari sana anapochukua ufalme wake mnyama ndani ya nchi hii. Ogopa sana kukutana na Simba ya Msimu ujao🔥🔥🫵
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Filipino
39
3
70
4.7K
hussein
hussein@hecenmo·
Hatutakiwi kuingia msimu ujao tukiwa na Yao, Boka, Assinki, Sureboy, Farid, Kibwana. Hawa ni wa kuondoka.
Indonesia
89
5
283
21.4K
The Sniper
The Sniper@MfaumeSeif5·
@Kicheche_jr Sisi kwetu hakuna kanisa hata moja waalimu au viongozi wa kikristo wanafanya sala zao kwenye madarasa ya shule
Filipino
0
0
0
12
Comrade Kicheche Jr
Comrade Kicheche Jr@Kicheche_jr·
Taja mkoa ambao haina msikiti kabisa hata Tanzania. Kuna watu watakosa.
Indonesia
4
0
48
5.2K
The Sniper retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Nikisikia hizi habari za watu kutekwa najisikia vibaya sana. Watu zaidi ya saba mnakwenda kumteka kijana asiyekuwa hatari kwa usalama wa nchi nyumbani kwao mbele ya familia yake? Mnaelewa kweli trauma mnayotengeneza kwa hizi familia? Mnajua chuki mnayoipandikiza kwa jamii? Watu waliomteka Damour Nyakairo, @Ninja_Damour muachieni huko mafichoni aendelee na maisha yake. Hatutaki kuona kijana mwingine anatekwa na kupotezwa. Hatuwezi wote kufikiri na kuwaza sawa. Taifa letu litajengwa kwa msigano wa mawazo. #FreeNinjaDamour
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
22
345
1.3K
43.8K
Buba9️⃣9️⃣
Buba9️⃣9️⃣@massuidentity·
Jamaa anakupiga huku anakukimbiza yaani kifilo cha mchakamchaka 😂😂🙌🏽
Buba9️⃣9️⃣ tweet media
Indonesia
14
15
260
17.5K
PASTA JOSHUA
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz·
Huyu namrudisha mpimbwee
PASTA JOSHUA tweet media
Indonesia
33
13
146
20K
The Sniper
The Sniper@MfaumeSeif5·
@EsirEid Nadhani unajitia dole na kunusa..hivi kwa matendo mabaya na ya kishenzi ambayo ccm wanawatendea watanzania kuna mtu mwenye akili timamu haoni haya hadi awafuate watu flani flani!!
Indonesia
0
0
1
22
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya WANAHARAKATI UCHWARA…. Walituaminisha kwamba Tuachane na Wana CCM na Products zao… Hadi kutulazimisha Tuwa BLOCK Wana ccm mtandaoni… kuachana na Ushabiki wa mpira wa SIMBA/YANGA…. Ila Kuanzia leo kuendelea hao hao ndio Watakuwa wanaPromote VUNJABEI BETTING! Ikumbukwe VunjaBei ni CCM lia lia… amechanga hela kibao tu kwenye kampeni na hata juzi tu alikua anawania UBUNGE kabla ya kukatwa 😅 NJAA na MSIMAMO havikai meza moja 😂🙌🏽
Indonesia
156
122
917
84.9K
The Sniper
The Sniper@MfaumeSeif5·
@SwahiliRealTalk Remi alisema Masoud ni mrembo na amependelewa kwakua ili sura yake itishe ni lazima acheke au apanue mdomo lakini yeye Remi ile ni sura yake halisi
Indonesia
0
0
0
25
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺@SwahiliRealTalk·
Kipindi hiki acha niwape stori. Hapo kwenye picha ni Remmy Ongala(katikati) Masudy sura mbaya(kushoto) na Mzee Jangala(kulia). Kulikuwa na shindano la mtu mwenye sura mbaya kuliko wengine Tanzania na hawa ndio vinara watatu bora ambapo: – 1. Alichukua Masudy Sura Mbaya 2. Akachukua Remmy Ongala 3. Ikakamatwa na Mzee Jangala Kilichostaajabisha watu zaidi ni pale Remmy Ongala alipolalamika saaaana kuwa ameonewa kwamba alikuwa anastahiri kuibuka mshindi wa kwanza yeye na sio Masudy 😂😂😂. Akasema “jamani Masudy hanishindi kwa ubaya majaji mmembeba 😂😂😂” Anayekumbuka mwaka wa tukio atukumbushe jamani.
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet media
Filipino
36
33
187
24.2K
The Sniper retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Fr Dkt Charles Hugo Kitima, God bless you, man. This level of integrity is rare; and you present a great example of a spiritual leader!🫡
English
13
280
1.3K
26.5K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Jamaa kasema anaenda Police kunifungulia kesi nimemchafua.😢
Eesti
54
6
188
20.2K
The Sniper
The Sniper@MfaumeSeif5·
@Sirajitz1 Kusema kweli Simbwa wanaenda kukeketwa tena hiyo tarehe 29 na tarehe 3
Filipino
0
0
0
0
Headboy wa mtaa
Headboy wa mtaa@Sirajitz1·
Mwandishi 🎤 Ali kamwe baada ya kiwango bora walichoomesha leo Simba unazungumziaje dabi yenu ya fainali itakayochez. wa huku amani Tarehe 29/4. Alikamwe 🎤 Makolo tumewaona leo wanajitutumia ila kiukweli kabisa Simba na Yanga mechi zake hazijawahi kua nyepesi kabisa 🎤 Kuna makocha wasaidizi walikuepo nadhani wameuona mpira na watakuja kuongea na wachezaji mda wa mazoezi na nadhani tutafanya vizuri hatutaidharau mechi ------------------------------ Unadhani nani anaenda kula kichapo kwenye game ya fainali kati ya Yanga na Simba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Headboy wa mtaa tweet media
Filipino
14
13
112
17.1K