
Miggy Jr
565 posts


@juniorjr64149 @lifeofmshaba Acha ujinga kinachopiganiwa ni tanzania ya haki na ya wengi kunufaika sio chama au watu wachache think big , nchi ina wananchi wake naa lazima tuwe precise kuwawajibisha viongozi wanaoponda mali ya umma
Indonesia

@lifeofmshaba Hata ww unayesema chande ni muongo kwaiyo ww ulikuwa upo tayar wapumbavu wachache wapoteze amani yetu kiukweli chadema ni chama ambacho kifute kwenye mfumo wa vyama vingi kwani hakifai waende wakalime tena mpk mali za wizi walizoiba kina heche na lissu zitaifishwe
Filipino

@MarioNawfal Relax mario you have never been to war , we are eliminating a threat if we stop now they will rebuild and evil will persist so relax and sit on your interview box and watch the show goes on
English

🚨🇮🇱🇮🇷 Utter carnage after 150 people were injured in an Iranian missile strike on Arad, 25km north of Israel's Negev nuclear facility.
Imagine what would have happened if Iran had hit Negev.
This war has already gone too far; it needs to stop.
Mario Nawfal@MarioNawfal
🚨🇺🇸🇮🇷 AI decided an Iranian girls' school was a military target rather than the IRGC base nearby. Over 150 children were killed, and now the U.S. Central Command said it will make Palantir's AI systems (which were used in that strike) a core part of U.S. military operations. The future that sci-fi warned us about is here. Source: BBC
English

@pastajoshuatz Yaaani magaida hawampendi huyu mtu wakisema amekufa sasa yeye ndo analeta parapanda
Indonesia


@MangiwaKwanza1 Huyo ndo kiboko ya magaidi yaaani magaidi yakisikia jina lake wanatetemeka sikukosea kumkubali huyu mzee ni benjamin netanyahu
Indonesia

@twiiter_B @Keem52014998 @Mkanaani_ Ukiachana na matamshi tuu kwa kusema i and the father are one kuna matendo pia ile miujiza ilijidhihirisha yeye ni mungu ndani ya uanadamu, kukufua watu, kuaiambia bahari itulie ikatulia, kutiba vilema na wasioona, sura yake kubadilika akiwa mlimani na kuongea na moses na eliya
Indonesia

@Mighanda95 @Keem52014998 @Mkanaani_ Kwa mfano tukisema" ukimuona Wanu ndo umemuona Samia"
Hapo itamaanisha Wanu na yeye ni raisi wa Tanzania?
Filipino

@Keem52014998 @Mkanaani_ Ukiniona mimi umemuona baba pia, mimi ndo njia ya kweli na uzima, before abaraham wa born i am hayo ni baadhi ya matamshi aliyosema yesu yeye mwenyewe
Indonesia

@Mkanaani_ Hebu type andiko kuwa yeye ni mungu pia utueleze kwanini sio waislamu tu wanaktaa kuwa yesu sio mungu hata wakristo baadhi ya madhebu wanakataa na mwisho utuambie dini ya ukristo imetokea wapi nani kaileta na asili yake ni ipi TUNATAKA KUKIFUNZA
Indonesia

@JewishWarrior13 Hahahahaha boom all iranian militants would be a target
English

🚨 Khamenei's funeral arrangements have been announced. The mourning ceremonies for Ali Khamenei will begin tomorrow, Wednesday, and will continue until Friday at the holy complex named after Khomeini in Tehran. The funeral ceremony will start on Friday and continue until Saturday, then Khamenei's body will be brought to the Imam Reza shrine in Mashhad, where Khamenei will be buried.

English

#TajiriLaKihaya
Sisi Waislamu na WAKRISTO inabidi Tuungane…. Uislamu haujawahi kuwa na uadui na Ukristo hata siku moja!
Inabidi tuungane kuwatokomeza hawa wazayuni…
Ukisoma Qur’an na biblia mitume wote walikuwa wanapinga Kuabudu SANAMU…
Ni Propaganda tu za Wazayuni ndio zinajenga chuki…
Miongoni mwa watu Wayahudi (sio wazayuni) na Wakristo ndiyo waliyo karibu zaidi na Waislamu na wao wamepewa cheo cha kuitwa watu wa Kitabu- AHLUL KITAB.
Ahlul kitaab tuna imani ya Mungu Mmoja Allah-Mtukufu na waliopokea maandiko kutoka Kwake, Taurati kwa Nabii Musa na Injili kwa Yesu (Nabii Isa bin Mariamu).
Wote tuna imani katika mlolongo wa unabii, na wengi katika marafiki zetu Mayahudi na Wakristo hushangazwa wanaposikia kuwa manabii wanaotajwa katika Biblia pia ni manabii katika Uislamu.
Dini hizi tatu zina kanuni za kimaadili zinazofanana.
Qur’an inasema; (Al-Baqarah: 136)
"Semeni nyinyi: Tumemwamini Mwenyezi Mungu na yale tuliyoteremshiwa sisi, na yaliyoteremshwa kwa Ibrahim na Ismail na Is-hak na Yaakub na wajukuu zake, na waliyopewa Musa na Isa, na pia waliyopewa Manabii wengine kutoka kwa Mola wao Mlezi; hatutafautishi baina ya yeyote katika hao, na sisi tumesilimu kwake."
Waislamu wanaruhusiwa na Uislamu kula chakula cha watu wa Kitabu (isipokuwa kile kilichoharamishwa kama vile pombe au nyama ya nguruwe) na Waislamu wanaweza kufanya vivyo hivyo kwa kuwapa chakula chao,
Mwislamu mwanamume anaruhusiwa kumchukua Mkristo anayefuata mafundisho sahihi ya Nabii Isa bin Mariamu kama mke kwa kumwoa (uhusiano uliyo wa karibu mno uliyo barikiwa)n na Katika hali hiyo itakuwa haramu kwa mume Mwislamu kumlazimisha mkewe kuingia katika Uislamu, kwani itakuwa ni kinyume na agizo la Qur’an; (Al-Baqarah: 256).
" Hapana kulazimisha katika Dini."
Kwa hakika utakuwa ni wajibu wake wa kidini kuhakikisha haki za mkewe kuabudu kwa mujibu wa imani yake.
Waislamu wameonywa dhidi ya vitendo vya ubaguzi au kisasi au chuki kwa Watu wa kitabu, na Mtume Muhammad (S.A.W) amesema:
"Yeyote atayemdhuru mtu miongoni mwa Watu wa kitabu ni kama vile kanidhuru mimi mwenyewe."
Kwa mtazamo wa Uislamu watu wote ni sawa mbele ya Mwenyezi Mungu na hakuna mtu au kundi kinachoweza kudai kuhodhi rehema ya Mwenyezi Mungu Mtukufu au kuwanyima wengine,
Qurani inasema: (Al-Baqarah: 62)
" Hakika Walio amini, na Mayahudi na Wakristo, na Wasabai; yeyote atakaye muamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na akatenda mema basi watapata malipo yao kwa Mola wao Mlezi, wala haitakuwa khofu juu yao, wala hawatahuzunika. ."
Wakristo na Waislamu tuna mengi yanayotuunganisha kuzidi yanayo tutenga!
TUUNGANE🤝
Indonesia

@MfalmewaX1 Tulia mkuu punguza watu uzito inshort uislamu ni mwingi kuliko reality donald trump is doing the right thing
Indonesia

@drpezeshkian Stupid ... you hide your military equipments to schools and hospitals what do you expect we bomb them before causing threats
English

@EsirEid Kwenye udhalimu nakuunga mkono ila kwa hii ya iran hapana mzee khamenei kaua sana eatu destabilization ya middle east ni sababu ya hao wairan serikali yao ya kiislamu this war was meant to be ... israel will fight and win this war because god of israel yupo nao
Filipino

#TajiriLaKihaya
Ukiona waislamu wanaSupport IRAN KISA DINI yao basi wewe ndio MDINI haswa!
Asilimia 85% ya waislamu duniani kote ni SUNNI.
Basi ingekua dini waislamu tungeliSupport SAUDI ARABIA,UAE maana wapo na Israel/USA na hao wote ni SUNNI.
Sisi tunapinga UDHALIMU wa USA ambao upo wazi… na ndio maana tupo na yeyote yule atakaempinga WAZIWAZI…
Venezuela 🇻🇪 asilimia kubwa ni wakatoliki- ila tulikua nao…
Russia hata sifaham ni dini gani wapo huko😅 Ila sio waislamu Ila tunawasupport… china vile vile nk.
Hata Leo Pope akiwapinga- tutakua nae bega Kwa bega 😅
IRAN ni WASHIA … ambao kiSunni tunawaona Kama ‘makafiri’ kulingana na mitazamo na mafundisho yao kwenye Dini Ila TUNAWAUNGA MKONO bila kujali tofauti zetu- maana wapo on the right side of History… WANAPIGANIA HAKI💯
USA na ISRAEL ni magaidi wakubwa duniani!
Hii Ni zaidi ya DINI… wewe ukiifikiria Kwa angle hio basi wewe ndio MDINI haswa!
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Imam KHAMENEI alikuwa nyumbani kwake licha ya onyo zilizoendelea kwamba Marekani itamlenga.
Khamenei hakutoka kwenye Ardhi Yake wala kukimbilia Urusi licha ya mwaliko binafsi kutoka kwa Putin.
RESPECT🙏🏽

Indonesia

#TajiriLaKihaya
USA hawa ndio walikuwa wanawaonya IRAN wasiwaue WAANDAMANAJI…
Ila leo USA WAMEUA wanafunzi wa IRAN kwa mabomu😅
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Na wanao shangilia USA /ISRAEL vipi??
Au shida nikuSupport IRAN??
Tito Magoti@TitoMagoti
Shame on niggas who suddenly cares about Iran, but stayed silent when Tanzania was bleeding last year. Mofos even stayed out of X. They’re nothing but bloody killer Samia’s regime apologists. The hypocrisy is unbelievable.
Indonesia

@iMajeshi_ Dini ya mashetani hiyo uislamu wao ni kukataza tuu kufundisha upendo aaah
Indonesia














