KanjunjuJohn
634 posts

KanjunjuJohn
@MigoDidas
Finest Man⚘ Activist💥 Teacher👣 Simba Sports Club and Machester United Fan⚽️
Tanzania Katılım Haziran 2012
2.9K Takip Edilen1.4K Takipçiler
KanjunjuJohn retweetledi

Tanzania kwenye msimamo wa FIFA tangu mwaka 2000
(Msimamo wa mwisho wa mwaka)
2000 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 140
2001 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 149
2002 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 153
2003 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 159
2004 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 172
2005 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 165
2006 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 110
2007 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 89
2008 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 99
2009 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 106
2010 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 116
2011 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 137
2012 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 130
2013 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 120
2014 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 105
2015 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 132
2016 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 156
2017 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 147
2018 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 138
2019 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 134
2020 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 135
2021 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 131
2022 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 130
2023 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 121
2024 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 106
2025 ➡️ 🇹🇿 FIFA Ranking: 112
Nafasi ya juu zaidi 65 (Feb 20, 1995)
Nafasi ya chini zaidi 175 (Oct 15, 2005)


Indonesia

Kuna mwanetu mmoja anaenda kuoa , binti kwao wazazi wake ni kibaha , ila kiasili wazazi wake ni watu wa Singida , ni wanyaturu,. kutokana na sifa na tabia zilizopo za wanawake wa singida , mchizi amegoma demu asijitambulishe kama ni mnyaturu, so wazazi wake mshkaji wanajua binti ni mkagulu na hata washkaji tunajua wachache sana,. anaapa siri hiyo itabaki hivyo siku zote,.. ni kwamba haya mambo ya makabila kuchafuliwa kumbe ni kwel yana impact jamii🤔🤒.
Indonesia

@fintanjr_ Binafsi hii nimeenda nayo, mke wa mwana mpare ila kakulia Mbeya tumeenda kijijini kwetu Bukoba na code huyu mnyakyusa imepitaaa
Indonesia

@MariaSTsehai @SuluhuSamia @OHCHR_ESARO @UNHumanRights @volker_turk @FCDOHumanRights @achpr_cadhp @StateDRL @StateDeptARS Awa walimfanya my late brother kuwa mlemavu alikuwa na ndoto za kuwa mchezajii wa mpira zikazikwaa
Filipino

‼️🚨UKATILI USIO NA KIFANI WA POLISI MWANZA‼️
Unprecedented police brutality continues in #Tanzania under @SuluhuSamia cc @OHCHR_ESARO @UNHumanRights @volker_turk @FCDOHumanRights @achpr_cadhp @StateDRL @StateDeptARS
Huyu baba alikamatwa tarehe 15 Machi jioni na maaskari wakidai kuwa aliwasiliana na mtu ambaye kafanya tukio la uhalifu, hivyo wakidai awape ushirikiano kumpata
Huyu baba aliwaambia hamjui mhusika na namba haijui ila kuna wakati alipokea ujumbe kutoka hiyo namba hapo nyuma kuwa anahitaji huduma ila hakuonana naye tena
Walimlaza kituo cha National Mwanza na asubuhi wakamtoa kwenye sello wakamfunga pingu na kuanza kumpiga na mipini ya jembe kwenye unyayo wa miguu
Aliachiwa tarehe 21 Machi na walichukua simu zake wakidai wanaendelea na uchunguzi ila wamemwacha na majeraha makubwa namna hii! Huu uonevu wa @tanpol si geni wala si mara ya kwanza ila hatuwezi kuNORMALIZE na lazima tupaze sauti, kuikemea na kuuweka hadharani dunia ijue!
Na hakuna uwajibikaji hadi #SamiaMustGo tuanze upya na #KatibaMpya


Filipino
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi
KanjunjuJohn retweetledi

















