Sabitlenmiş Tweet
mkongo. ⚠️
1.1K posts

mkongo. ⚠️
@MkongoMeshack
Tanzania=⚠️
Arusha, Tanzania Katılım Şubat 2023
2.8K Takip Edilen1.3K Takipçiler

Hatuwezi kufunika UKATILI wa Viongozi waliopita kwa sababu hawa waliopo wanaendelea kufanya mambo mabaya zaidi. Tukifanya hivyo utakuwa ni udhaifu na dhambi kubwa sana. Hatuwezi kumkumbuka mtu kwa kujenga madaraja dhidi ya roho za watu zilizopotea kikatili wakati wa uhai wake bila majibu hadi leo. Hisia za msiba haziwezi kuwa na nguvu kuliko wema , haki , huruma na upendo. Tukipoteza kumbukumbu za ukatili wao tutakuwa tunaimarisha ukatili kwa kila
utawala na haswa vizizi vinavyokuja.
Mimi namkumbuka Magufuli katika sura hii ma sio hisia na kelele za ngojera.

Indonesia
mkongo. ⚠️ retweetledi

Benin washamaliza kazi huko !
Eniwei sisi Mungu katupangia tumalize wananchi maana #WenyeNchiWananchi
Mkono wa Mungu uko juu ya Tanzania 🇹🇿🙏🏽
#D9Tunatoka

Indonesia
mkongo. ⚠️ retweetledi

Financial literacy ni muhimu sana kuanza kufundishwa kuanzia shule za msingi. Just imagine kijana ana make deal anapata 1 Billion Tsh , ananunua G Wagon 700M na so other liabilities. Mwingine , the same amount of money ananua hisa/bond , let’s say appreciation yake ni 12% kwa mwaka + compounding interest. Baada ya Miaka 5 , G Wagon itakuwa imeshuka value kwa asilimia 60% up to 70 % wakati huo aliyefanya investment itakuwa na ongezeko la the same 60 /70 % or more , mmoja pesa yake ilikuwa inaongezeka na mwingine alikuwa anazunguka na gari kuishusha thamani maeneo ya Masaki na Mlimani City.
Haya mawazo yamekuwa serious this morning , kwani kuna siku nilinunua kuku nimchinje , mambo yakawa mengi nikasema nitamchinja siku moja, nikamuacha , sasa akataga, akatotoa na vifaranga , sasa sio kuku mmoja tena , wkt natafakari nikaona chupa ya perfume kwenye dustbin , nikasema unajua hii perfume thamani yake that day ningenunua kuku 33. Anyway naaminI ktk maisha bora na mazuri , lakini our obstacles sometimes ni ktk FINANCIAL LITERACY. Tufikirie Pamoja. Nafikiri Reforms Zinahitajika pia zaidi ktk mindset zetu.

Filipino
mkongo. ⚠️ retweetledi
mkongo. ⚠️ retweetledi

Leading Kenyan lawyer and the country's former Justice Minister Martha Karua says she has been deported from Tanzania to prevent her from attending the court case of opposition leader Tundu Lissu.
bbc.in/3GYZFvC

English


















