Wanachi wamejitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam kumpokea nguli wa zamani wa timu ya Taifa ya England na Klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand.
Akiwa nchini, Rio anatarajiwa kutembelea Bunge la Tanzania pamoja na vivutio vya utalii.
Spika wa Bunge la Uganda Anita Among ametangaza rasmi kujiondoa katika kinyang’anyiro cha Uspika wa Bunge kwa muhula wa 2026–2031.
Katika taarifa yake, Among alisema amefikia uamuzi huo baada ya kufanya mashauriano ya kina na viongozi wa chama pamoja na wadau mbalimbali wa kisiasa. Amesema hatua hiyo inalenga kuweka mbele umoja wa chama na maslahi ya taifa kuliko maslahi binafsi ya kisiasa.
Among, alieleza kuwa ataendelea kulitumikia taifa katika nafasi nyingine atakayopewa na chama chake pamoja na serikali. Aidha, aliwashukuru Wabunge, Viongozi na Wananchi waliomuunga mkono katika kipindi chake cha Uongozi.
Tangazo hilo limezua mjadala mkubwa katika duru za kisiasa nchini Uganda, huku wachambuzi wakisema huenda likaathiri mwelekeo wa uchaguzi wa Viongozi wa Bunge katika muhula ujao wa 2026–2031.
Wanasiasa mbalimbali wameendelea kutoa maoni tofauti kuhusu uamuzi huo na athari zake kwa siasa za ndani ya chama tawala pamoja na Bunge kwa ujumla.
#KitengeUpdates
SITOPOST Ajira zilizopo📍Dubai kuanzia sasa ni kosa kisheria nimejulishwa DM
Vijana mnaojitafuta apologies your on your own kuanzia sasa🙏
nilikuwa nafanya kwa mapenzi wengine wapate lakini imekuwa tofauti
AGENTS walio bongo kila kukicha wananipomoreshea vitisho & matusi DM
Kama umemkosea Girlfriend wako ukamuomba msamaha yakaisha alafu baadae akayaanzisha tena.
Ujue alienda kuwasimulia marafiki zake alafu Board ya wakurugenzi hawakukubaliana na hilo swala.
Marehemu Hanspope alikufa 2021, familia wanasema kuna mtu alienda Bank 2024 akakopa pesa shilingi Bilion 7 na Milion 400 akaweka dhamana mali za Marehemu.
Very interesting, hii ngoma iende mahakamani watu watoe Documents ndo muone siri za matajiri wa bongo
Kasheshe
Sijui kwanini, mchepuko anaweza akadondosha hereni kitandani, mkatafuta weeeeee msiione..!
Ila siku akija Girlfriend wako anaiona kirahisi tu hapo chini ya mto🥺