The Goe’l
25K posts

The Goe’l
@MonyoSr
Retweets doesn’t only mean endorsement. This account Strictly speaks for my own personal opinion and not the office i serve


Mama wa Watanzania, Dkt. @SuluhuSamia Kiongozi mwenye busara, hekima na upendo wa dhati kwa wananchi wake Anayeongoza kwa utulivu, uadilifu na maono ya maendeleo Akilenga kuimarisha ustawi wa Taifa na kuleta matumaini mapya kwa Watanzania wote Mwenyekiti wa mioyo ya wengi, akisisitiza mshikamano, amani na kazi kwa vitendo 🇹🇿






Ndugu @godbless_lema Kabla ya kuhukumu kwanza wewe ndio unapaswa atubu kwa yale yote uliyoyafanya okt 29 kuhamasisha na kushawishi vijana kwa vijisenti kuingia barabarani na kushiriki maandamano yaliyoleta vurugu, majeruhi na vifo na uharibifu wa mali za umma na binafsi. Demokrasia ya kweli hujengwa kwa hoja na mazungumzo si kwa vitendo vinavyoweza kuhatarisha usalama wa nchi yako. Damu zilizomwagika okt 29 zitaendelea kuwatafuna mpaka utubu hadharani,huwezi kumnyooshea kidole Rais Dkt Samia kwa vitendo ambavyo vilisababishwa na nyinyi wanaharakati ambao mnalipwa fedha Toba na uwajibikaji unapaswa kuwa juu yenu wote mlishiriki na kuchangia madhara yaliyotokea pindi na baada ya uchaguzi.


Jamani naomba kuuliza dawa ya kuondoa siafu wameingia kwenye banda la kuku














