Sabitlenmiş Tweet
Development Expert - University of Dar es Salaam
14.5K posts

Development Expert - University of Dar es Salaam
@MpunjoSaid
Professionnel en études de développement de l'université de Dar es salaam | Gender | Human Rights | Health| Economics | Monitoring and Evaluation of Development
United Republic of Tanzania Katılım Ağustos 2019
518 Takip Edilen383 Takipçiler
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi

Gerson Msigwa@MsigwaGerson
Serikali imetenga zaidi ya shilingi Bilioni 270 kwa ajili ya kuimarisha Benki ya Maendeleo ya Kilimo (TADB) na sasa benki hii inawawezesha wakulima kufanya mapinduzi kilimo na ufugaji kwa kuwakopesha mitaji, pembejeo na vitendea kazi ukiwemo uwekezaji mkubwa katika viwanda vya kuchakata mazao. Uwekezaji huu unazalisha ajira, unaweka uhakika na usalama wa chakula na unakuza uchumi. #KaziIendelee
QHT

@NCHIYANGUT @MsigwaGerson @ikulumawasliano @SuluhuSamia Hii inatuonesha jinsi gani serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia ilivyo sikivu na yenye kuunga mkono jitihada / uthubutu wa kila mwananchi katika kuleta maendeleo kwenye jamii zetu. Haya ni mafanikio ya wengi si mafanikio ya mmoja.
Indonesia

Ndoto, Mtaji na Mabadiliko: Jinsi Kilimo Kilivyogeuka Biashara Kubwa Kahama. Kila Punje Ina Hadithi: Jinsi Elizabeth Mzulingi anavyobadilisha Sekta ya Mpunga @MsigwaGerson @Mzulingicompany @ikulumawasliano @SuluhuSamia
Indonesia
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi

@Rakeem0101 Kwa lugha rahisi ni kuchukua smart yenye operating system ya android/google tv ,hapo utakua na uwanjaa wa kuongeza app kama kwenye simu ila smart zenye operating system nyingine kma vida kwenye Hisense app utakazokuta ndo izo izo huwez ongeza ,
Indonesia
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi

POINTS 10 ZA IRAN 🇮🇷 KUHUSU VITA KUSIMAMA AMBAZO MAREKANI WAMEZIPOKEA |
1- Makubaliano ya Kimaandishi kuwa Marekani hatoshambulia Iran na Washirika wake Iraq, Lebanon, Syria na Palestina.
2- Iran itaendelea kumiliki Mlango Bahari wa Homuz ikiwemo kulipisha.
3- Iran itaendelea kurutubisha Uranium.
4 & 5- Marekani kuondoa vikwazo vyote kwa Iran sambamba na kurejesha Mali na fedha zake zote walizochukua tangu Utawala wa George Bush.
6- Kutengua maazimio yote ya Baraza la Usalama wa Taifa.
7- Kufuta maazimio yote ya Bodi ya Nuclear na Atomiki.
8- Marekani alipe fidia zote za Iran kutokana na vita.
9- Marekani kuondoa Majeshi na Kambi zake zote Mashariki ya Kati.
10-Kusitisha mapigano pande zote ikiwemo Hezbollah wasiguswe.
RAIS TRUMP amekiri kuzipokea na amedai zina mantiki sahihi.

Indonesia
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi

VIDEO:
Rais wa Marekani Donald Trump amesema Marekani utawala wake utakomesha mambo ambayo yamekuwa yakifanywa na Iran hasa uzalishaji mpango wa kuzalisha silaha za nyuklia na mashambulizi ambayo wamekuwa wakifanya kwa karibu miaka 47, kwa kuishambulia Marekani na kuwaua Wamarekani.
Amesema Marekani inaangamiza uwezo wa makombora ya Iran na kuhakikisha wanaharibu uwezo wao wa kuzalisha makombora mapya.
Pamoja na hayo amesema tayari kwa kushirikiana na Israel Marekani imeangamiza angalau meli 10 ambazo wamezamisha. Akisisitiza kuwa mfadhili mkuu wa kigaidi duniani hatoweza kamwe kupata silaha za nyuklia.
Indonesia
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi

Mvutano wa kijeshi katika eneo la Ghuba ya Uajemi umeongezeka kufuatia taarifa za mashambulizi ya makombora na ndege zisizo na rubani yanayodaiwa kufanywa na Iran dhidi ya Saudi Arabia.
Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa, makombora kadhaa yalirushwa kuelekea maeneo ya kimkakati, yakiwemo mji mkuu wa Riyadh na ukanda wa mashariki wa nchi hiyo.
Hata hivyo, mamlaka za Saudi Arabia zimesema mifumo yao ya ulinzi wa anga ilifanikiwa kuyadhibiti na kuyatungua makombora hayo kabla hayajasababisha madhara makubwa.
Serikali ya Saudi Arabia imelaani vikali tukio hilo, ikilitaja kama ukiukwaji wa sheria za kimataifa na tishio kwa usalama wa eneo zima la Ghuba.
Aidha, imeonya kuwa itachukua hatua stahiki kulinda mipaka na raia wake endapo mashambulizi yataendelea.
Mashambulizi hayo yanatajwa kuhusishwa na mvutano mpana wa kisiasa na kijeshi unaoendelea kati ya Iran na mataifa washirika wa Magharibi pamoja na Israel, hali inayoongeza hofu ya kupanuka kwa mzozo katika Mashariki ya Kati.
Jumuiya ya kimataifa inaendelea kutoa wito wa kujizuia na kutafuta suluhisho la kidiplomasia ili kuzuia hali hiyo isigeuke kuwa vita vya wazi vinavyoweza kuathiri uchumi na usalama wa dunia.
Tanzania 🇹🇿 Indonesia
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi

Serikali ya Tanzania imetangaza hatua kubwa katika sekta ya afya kwa kusajili rasmi dawa ya Lenacapavir, dawa ya kuzuia na kudhibiti Virusi vya UKIMWI (VVU) inayotolewa kwa njia ya sindano mara mbili tu kwa mwaka.
Kwa mujibu wa The Citizen, Mfamasia Mkuu wa Serikali, Bw. Daud Msasi, amethibitisha leo, Februari 24, 2026, kuwa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) imeshakamilisha usajili wa dawa hiyo na tayari imeingizwa kwenye Mwongozo wa Taifa wa Matibabu ya VVU.
Dawa hii, ambayo si chanjo bali ni aina ya dawa ya muda mrefu ya kupunguza makali ya virusi (long-acting ARV), imekuwa na matokeo ya kustaajabisha. Ilionesha ufanisi wa asilimia 100 katika majaribio ya kliniki yaliyofanyika nchini Uganda mwaka 2025, na inachomwa mara moja kila baada ya miezi sita, ambapo hukaa mwilini na kuzuia virusi kuzaliana.
Dawa hii ilishapitishwa na Mamlaka ya Chakula na Dawa ya Marekani (FDA) mwaka 2025 na kutambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO).
Bw. Msasi ameeleza kuwa Serikali kwa sasa iko katika mchakato wa kuzungumza na wadau mbalimbali ili kuhakikisha upatikanaji wa dawa hiyo unakuwa wa uhakika kwa walengwa waliokusudiwa nchi nzima.

Indonesia
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi

Mtu sahihi kwako hawezi kuwa sahihi kwa kila mtu
Usipoteze muda kufanya kila mtu amuone sahihi na usizuie watu kumuongelea mabaya yake::
√√He/she is not an angel
#NiHayoTu
Filipino
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi
Development Expert - University of Dar es Salaam retweetledi










