Mr.Bees17

10.2K posts

Mr.Bees17 banner
Mr.Bees17

Mr.Bees17

@MrBees17

Manchester United & Barcelona & Simba Fan | Bongo Flavor Oldies Fan | NGO's Advisor | Beekeeper.

Dodoma, Tanzania Katılım Mart 2019
8.1K Takip Edilen8.6K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Mr.Bees17
Mr.Bees17@MrBees17·
Kwanini Umri wa Kustaafu kwa Watumishi wa Umma usipungue kutoka Miaka 60 hadi 45??? Kwa mtazamo wangu hasa Katika hali ya sasa ambapo vijana wengi wanahitimu vyuo vikuu lakini wanakosa ajira rasmi kwa muda mrefu, ni wakati wa kuangalia upya mifumo yetu ya ajira na hasa sera ya umri wa kustaafu kwa watumishi wa umma. Pendekezo langu ni kwamba umri wa kustaafu upunguzwe kutoka miaka 60 hadi miaka 45.
Indonesia
4
12
26
4.6K
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Somo ni kwamba, Hakuna anayeishi kwa ajili yake mwenyewe, Lazima uwe na kusudi, kama huna kusudi jitafakari mara mbili. 🍯✨
Bees Natural Farm tweet media
Indonesia
0
3
4
9
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Lakini asipofanikiwa kumpata malkia, mwisho wake ni wa kusikitisha; Kwanini?; Wakati wa kiangazi au chakula kinapopungua, nyuki wafanyakazi humuona kama "mzigo", Hufanya nini?; Hivyo humfukuza na kumtoa nje ya mzinga afe kwa njaa na baridi😢
Bees Natural Farm tweet mediaBees Natural Farm tweet media
Indonesia
1
3
3
6
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
🚁 Nyuki Dume(Drone) Kuishi; Wiki 3 hadi miezi 3 Ana kazi moja tu, kumpanda Malkia (Wakati wa Mating Flight). Hahusiki na kutafuta chakula wala halindi mzinga. Kifo; Akifanikiwa kumpanda Malkia, sehemu yake ya siri hukatikia kwa malkia na hufa hapo hapo,
Bees Natural Farm tweet media
Indonesia
1
3
3
7
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Kifo Wengi hufa kwa uchovu; mbawa zao huchakaa au kuchanika kwa kuruka kilomita nyingi wakati wa kutafuta chakula, Wengine hufia vitani wakitumia msumari wao kulinda mzinga dhidi ya maadui.
Bees Natural Farm tweet media
Indonesia
1
3
3
6
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
🌼 Nyuki Mfanyakazi Kuishi; Wiki 5 hadi 6 Hawa ni "punda" wa mzinga Swali; Unajua kwanini? Jibu; Kwasababu Maisha yao yamepangwa kwa ratiba, kaz zao zimepangiliwa kwa umri wao, kufanya usafi, kulea nyuki wadogo, kujenga masega, ulinzi, na mwishoni wanakuwa watafutaji (foragers)
Bees Natural Farm tweet mediaBees Natural Farm tweet media
Indonesia
1
3
3
9
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Kifo chake: Umri unaposonga na uwezo wake wa kutaga kupungua, nyuki wafanyakazi huamua kumuunda malkia mpya Malkia mzee huachwa afe kwa uzee, au kuuawa na malkia mpya anayezaliwa. Uongozi wake una ukomo asilia.
Bees Natural Farm tweet media
Indonesia
1
3
3
15
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
👑 Malkia Kuishi; Miaka 2 hadi 5 Huyu ni nyuki jike, na ndiye kiongozi na mama ndani ya mzinga, kwa muujibu wa tafiti za kisayansi anaishi muda mrefu zaidi kukiko nyuki wengine wote kwenye koloni Swali; Hufanya nini maisha yake yote ? Jibu; Hutaga mayai hadi 2,000 kwa siku.👇
Bees Natural Farm tweet media
Indonesia
1
3
3
7
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Kwa kawaida ​Binadam ana miaka 70 ya kuishi, ni miaka mingi sana ee? Katika umri wote huo unafanya nini kwaajili ya jamii yako? Bila shaka unawajua nyuki, Malkia, Drone na Worker Bees, wao hufanya nini katika lifetime yao ? Hebu tuangalie nature inatuambia nini leo. 👇🧵
Bees Natural Farm tweet mediaBees Natural Farm tweet media
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm

Do you know Bees ?

Indonesia
1
3
3
143
Mr.Bees17
Mr.Bees17@MrBees17·
Kabla ya kulala nawakumbusha kuwa, 📌"Collective failure zipo, ✔️ Lakini hiyo isiwe sababu ya wewe kukwepa kuwajibika binafsi. Hata kama wengi tumeshindwa, lakini kila mmoja bado anapaswa kujiuliza kwa nafasi yake juu ya kushindwa kwake, Good Night watu wa Mungu.
Indonesia
0
3
5
39
Mr.Bees17 retweetledi
Saleem
Saleem@saleemharam·
Want 11k active mutuals ❔ Say-Hii 👋 Let's follow you massively 🙋‍♂️🌻🔔
Saleem tweet media
English
45
13
30
287
Mr.Bees17
Mr.Bees17@MrBees17·
Bwana bwana nimemuuliza Chat Gpt swali, 👇 "Kwa mfano ikitokea kukawa hakuna mtu hata mmoja anayekosoa serikali, na viongozi wake pale wanapofanya tofauti na katiba, nini kinaweza kutokea ? Haya ndio majibu yake 👇👇👇
Mr.Bees17 tweet mediaMr.Bees17 tweet mediaMr.Bees17 tweet mediaMr.Bees17 tweet media
Indonesia
0
3
4
42
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Kitu ambacho siku zote najifunza kutoka kwa nyuki na maisha yao ni "ukitaka kutengeneza kitu bora na imara always be consistent na usi skip hatua. Asali ni zao la consistency, Umeshawahi kufikiri, what if nyuki ange skip moja ya process hapo juu? ​#honeycombs #honeybees #honey
Bees Natural Farm tweet media
Indonesia
0
3
4
26
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Ikishakuwa tayari, Nyuki wanaifunga ile seli kwa nta (wax capping) kama mfuniko ili isifyonze hewa kwa urahisi na hapo asali inakuwa tayari kwaajili ya akiba kwao na kwaajili ya kuvunwa na binadam
Bees Natural Farm tweet mediaBees Natural Farm tweet mediaBees Natural Farm tweet media
Filipino
1
3
4
18
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Unaweza kujiuliza kwann wafanye hivi? Jibu ni rahisi, Nectar mbichi inakuwa na unyevu wa maji hadi 80%, kiasi ambacho kinaweza kuifanya asali iharibike kwa urahisi, hivyo bas fanning inasaidia kuondoa maji maji hadi yabaki chini ya 18%, ili Asali iweze kudum kwa muda mrefu
Bees Natural Farm tweet mediaBees Natural Farm tweet media
Indonesia
1
3
4
21
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Baada ya hapo, Mchanganyiko huo wa majimaji unawekwa kwenye seli za sega (honeycomb) Hapa ndipo nyuki wengi hujipanga na kuanza kupeperusha mbawa zao kwa kasi kubwa sana, wakitengeneza upepo wa pamoja kama feni, mchakato huo huitwa (fanning).
Bees Natural Farm tweet media
Filipino
1
3
4
17
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Swali; kwann? Jibu; Lengo la kufanya hivvyo ni kuichanganya ile nectar na vimeng'enya (enzymes) vya miili yao. Hatua hii ni hatua muhimu kwa sababu inabadilisha sukari ngumu ya maua kuwa sukari rahisi, nyepesi, na salama.
Bees Natural Farm tweet mediaBees Natural Farm tweet media
Indonesia
1
3
4
15
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Akifika ndani ya mzingani baada kutoka huko, haweki ile nectar na polen kwenye sega, bali anaikabidhi kwa nyuki wa ndani (house bees) mdomo kwa mdomo. Nyuki wa ndani huichukua na kuanza "kuitafuna" na kuitemua mfululizo mdomoni kwa takribani dakika karibu 20,
Bees Natural Farm tweet mediaBees Natural Farm tweet media
Indonesia
1
3
4
23
Mr.Bees17 retweetledi
Bees Natural Farm
Bees Natural Farm@beesnaturalfarm·
Kila kitu huanza nje ya mzinga. Nyuki watafutaji (foragers) hukusanya nectar (maji matamu ya maua) na pollen (chavua) na kurudi nayo ndani ya mzinga, akiwa huko ana store ile nectar kwenye tumbo maalum linaloitwa honey stomach, ambalo ni tofauti na tumbo lake la msosi.
Indonesia
1
3
4
17