Mrtarafa

9.5K posts

Mrtarafa banner
Mrtarafa

Mrtarafa

@Mrtarafa

Journalist

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Nisan 2014
359 Takip Edilen2K Takipçiler
🍁
🍁@Jeba_OG·
Kikombe kimoja hakibadilishi kitu fact ipo pale pale nyie bado ni timu ndogo
Filipino
43
9
80
5.6K
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Alain Oura amerejea kikosini, 'perfomance' nzuri ya Simba SC na kurejea kwa Oura ni kama ingizo jipya.
Mrtarafa tweet media
Filipino
0
0
0
40
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Mwandishi: Umejipangaje kuelekea mchezo wa Azam FC. - ✍️ JULIO: Wee ulitaka nijipangaje zaidi ya mazoezi tuliyofanya, basi nitakuja na mapanga na marungu.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
2
51
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Yanga kubwa sana Afrika. Sidhani kwa ukubwa wao kama walishindwa kusaka watu wa graphics. - ✍️ Wameenda kui-command CHARTGPT, mwisho uhalisia umepotea. GPT huwa haipatii kila kitu. Kibendera kimekaaje hapo?.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
0
27
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️JUST IN ~ Kuna mdau ame-comment kwenye post yangu anauliza mbona Yanga SC hawajamtangaza mkandarasi wa ujenzi wa uwanja. - ✍️ Pia gharama za ujenzi hazijatajwa. Nimeshindwa cha kumjibu. Mjibuni.
Mrtarafa tweet mediaMrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
0
46
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Simba SC wanapanga kukamilisha uhamisho wa kiungo Neo Maema kutoka Mamelodi Sundowns kwa mkataba wa kudumu wa miaka miwili. - ✍️ Simba SC wamevutiwa na mwendelezo wa Maema. Vita kubwa ipo Afrika Kusini, Orlando Pirates na vilabu kadhaa vinamhitaji Maema.
Mrtarafa tweet media
Filipino
0
0
1
125
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Kwa mwenendo huu, Huyu naye ahesabu siku tu, anaweza asimalize msimu kabisa. - ✍️ Tupo hapa. Moalim ajiandae tu, akija kutoa sare au kufungwa mechi yoyote baada ya leo dhidi ya Dodoma safari itamhusu.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
0
62
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Watu wanaohusika kufukuza hawa makocha 'actually' sio makocha 'by proffesional' wala hawana taaluma ya kufundisha. - ✍️ Mimi mmoja niliyemtetea sana Folz na nilipinga kufukuzwa. Ajabu et kocha anakupa matokeo unamfukuza mpira hauvutii.
Mrtarafa tweet mediaMrtarafa tweet media
0
0
0
64
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Timu ya watu. Timu ya wananchi. Ndani ya saa 1 tu ishachangwa milioni 7, imagine. - ✍️ Tukienda kwa wastani huo maana yake mpaka saa 12:30 itakuwa ishapatikana Mil 30/-.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
0
10
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN~ Mkataba wa mauziano ya Eberech Eze, Crystal Palace watapewa bonus ya Paundi milioni 10 endapo Arsenal watashinda EPL. - ✍️ Game ijayo Man City anacheza na Palace. Arsenal anamaliza na Palace.
Mrtarafa tweet media
Filipino
0
0
0
20
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Yanga wamepigwa faini ya Sh milioni 30 kwa kosa la kutumia chumba kisicho rasmi katika mchezo dhidi ya Simba SC uwanja wa Isamuyo. - ✍️ Meneja wake, Walter Harrison amepigwa faini Sh milioni 1 na kufungiwa mechi 3 kosa la kumsukuma Clatous Chama.
Mrtarafa tweet media
Filipino
0
0
0
43
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Kama lengo ni kuisaidia 'Taifa Stars' basi tumechelewa sana. Chama anaitafuta 35 sasa. Haina haja. - ✍️ Uamuzi wa kumpa uraia ulipaswa kufanyia miaka 6 nyuma. Ila kama kuna mengine tofauti na 'football' apewe tu.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
1
0
0
25
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Baadhi ya wachezaji wakiwemo wakigeni Pamba Jiji FC, mikataba yao inaisha mwezi Juni. - ✍️ Kwa mujibu wa chanzo changu, Pamba Jiji kuna ukata na huenda wachezaji hao wasionekane tena. Kigogo mmoja amewaahidi mazuri ila hadi sasa hakuna dalili mikataba mipya.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
1
48
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
@mzee_mbuzi Hayo ni maoni yako wala hakuna anayekupinga. Endelea kubaki na mtazamo wako.
Filipino
0
0
0
8
AftEr ReVieW
AftEr ReVieW@mzee_mbuzi·
Niwe tu muwazi..Kwa lile pira nimeshuhudia jana Asenali hatoboi fainali🙌🏾🙌🏾
Polski
42
15
187
8K
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Zamani ilikuwa ikipigwa 'Dabi' baadhi ya shughuli za serikali, watu binafsi zinasimama saa tatu kabla ya mechi. Kila mtu hataki kupitwa na tukio lolote. - ✍️ Tumefikiwa wakati ambao hata mchezaji mwenyewe hashtuki. Anakuliza mwandishi kwani mechi saa ngapi?😁.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
1
65
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ #BREAKING: Yanga SC huenda wakaachana na Edmund John mwishoni mwa msimu huu. Mchakato utaanza punde baada ya msimu kutamatika. - ✍️ Chanzo changu kinaeleza, Asante Kotoko ya Ghana inamhitaji Edmund John kama mbadala wa Amidu Aquah.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
0
90
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
JUST IN ~ Picha Mpya. Mpira unadunda vizuri, hakuna maji wala tope. Jua la wastani, Isamuyo imetakata. - ✍️ Hakuna kukimbiana. Kila mtu afike uwanjani leo. Hali ya hewa safi sana.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
0
41
Mrtarafa
Mrtarafa@Mrtarafa·
✍️ JUST IN ~ Al-Ahly anakuja kwa Mkapa anacheza kama Bonyokwa FC kumbe wahuni washafukia vitu vyao. - ✍️ Mamiyake😁hii nchi weka mbali na watoto. Haya mahirizi yamekutwa nchi ya pitch uwanja wa Mkapa, yapo mengi, hadi mabichwa ya Ngombe yamefukiwa.
Mrtarafa tweet media
Indonesia
0
0
0
33
🍁
🍁@Jeba_OG·
Naomba kuuliza.. Bukayo Saka kastaafu mpira?
Filipino
7
1
15
734