MSLegalAidCampaign

1.5K posts

MSLegalAidCampaign banner
MSLegalAidCampaign

MSLegalAidCampaign

@MsLACampaign

Kampeni ya utoaji huduma ya Msaada wa Kisheria kwa wanyonge iliyopewa jina la Mama Samia legal Aid Campaign.

Tanzania Katılım Şubat 2023
750 Takip Edilen1.3K Takipçiler
MSLegalAidCampaign
MSLegalAidCampaign@MsLACampaign·
Morogoro Mjini, katika Stendi ya Zamani ya Mabasi, mwananchi akikabidhiwa hati ya kiapo kwa ajili ya kuwasilishwa mahakamani ili kuwa msimamizi wa mirathi, kupitia banda la Wizara ya Katiba na Sheria walioweka kambi katika Kliniki ya Msaada wa Kisheria.
MSLegalAidCampaign tweet mediaMSLegalAidCampaign tweet mediaMSLegalAidCampaign tweet media
Indonesia
3
12
16
120
MSLegalAidCampaign
MSLegalAidCampaign@MsLACampaign·
Waziri wa katiba na sheria Mhe. Juma Zuberi Homera amhakikishia mkuu wa mkoa wa Morogoro halmashauri zote za mkoa wa Morogoro kufikiwa na huduma za msaada wa kisheria katika kipindi cha awamu ya pili ca huduma hiyo kwani uhitaji kwa wakazi na wananchi wa mkoa huo ni mkubwa.
Indonesia
0
8
10
51
MSLegalAidCampaign
MSLegalAidCampaign@MsLACampaign·
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Juma Homera anakutana na watendaji waliochini ya Wizara hiyo wa Mkoa wa Morogoro Kuakisi utendani ambao ni Ofisi ya Mwanasheria mkuu wa serikali, Ofisi ya Wakili mkuu wa serikali OSG, Mahakama ya Tanzania na Wakala wa Ufilisi na Usaili RITA
MSLegalAidCampaign tweet mediaMSLegalAidCampaign tweet mediaMSLegalAidCampaign tweet mediaMSLegalAidCampaign tweet media
Indonesia
0
10
13
64