Lue retweetledi
Lue
9.1K posts

Lue
@Ms_Luwchy
God is our refuge and strength,an ever– present help in trouble🙏 Psalms 46.1 Proudly Tanzanian ~ Chelsea 💙
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Nisan 2019
425 Takip Edilen4K Takipçiler
Lue retweetledi
Lue retweetledi
Lue retweetledi
Lue retweetledi

Mwanetu Ninja @Ninja_Damour yuko Nje kwa Dhamana.
Ahsante kwa kila mtu na Special shout out kwa @Cowwbama ✊👊
Indonesia
Lue retweetledi
Lue retweetledi
Lue retweetledi

Wakuu tusiache kupiga kelele hadi mwenzetu hapatikani, leo utaona haikuhusu ukanyamaza iko siku watafika dirishani kwako, tunahitaji kelele ya kila mmoja wetu mwenetu arudi uraiani #FreeNinja
Indonesia
Lue retweetledi

We did it, God did. The street children were very thankful. I am thankful.




FUNDI JUMA 🇿🇦@YcuL___
I wanna cook for like 100 people, mostly just hard working people on the street and school children wacha nikusanye nguvu.
English
Lue retweetledi
Lue retweetledi
Lue retweetledi
Lue retweetledi
Lue retweetledi

Mama asimulia jinsi alivyoshuhudia kijana wake Damour Nyakairo akichukuliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe.
Akizungumza na The Chanzo leo Mei 02, 2026, Lilian Swai ambaye ni mama mzazi wa Damour Nyakairo, ameeleza kuwa kijana wake amechukuliwa asubuhi ya leo na watu waliokataa kujitambulisha, na kumpeleka kusikofahamika.
“Wameondoka naye hatujui kapelekwa wapi. Wametoka huko watu saba wakaja,mimi nashangaa watu wanakimbia mvua au wanakimbia nini? Moja kwa moja wanamfuata Damur na mimi nimekuwa hapa. Wakamshika, wawili wanamshika na mmoja akatoa pingu mfukoni akamfunga. Nikauliza kuna nini [wakasema] tutajua huko huko, nyie nani? Wakasema tutajuana huko huko,” anaeleza Lilian Swai mama wa Damour.
“Kwa hiyo wakambeba watu watatu wakamshika, wakambeba wakamburuza mpaka kwenye gari. Mimi nikawa nataka kuingia na yeye huko, wananivuta wakanitoa nje.”
Indonesia
Lue retweetledi

Lue retweetledi
Lue retweetledi
Lue retweetledi















