🚨 𝐎𝐟𝐟𝐢𝐜𝐢𝐚𝐥:
Flashscore have updated the 2025 AFCON final result.
Senegal 0-3 Morocco
…awarded as per the ruling from the CAF Appeal Committee.
Morocco are now listed as the AFCON 2025 champions! 🏆🇲🇦
#AFCON2025#AfricanFootball
🚨🗣️Samuel Eto'o on CAF giving Morocco the AFCON:
"They have given the world a reason to never take AFCON Seriously, how will you lose a final and win it 2 months later"
"The whole world know the real winners, Senegal have proof that they won the AFCON......𝙨𝙝𝙤𝙬 𝙢𝙤𝙧𝙚
Hii ndio timu pekee ktk ligi imecheza mechi chache mpaka sasa mechi 12 tu,na sio kwamba wapo kwenye michuano ya kimataifa ila wanapumzishwa nadhani ni baada ya kupata sare dhid ya Yanga baada ya kufungwa mechi 6 mfululizo,wanapewa bonus ya kurelux mana haikuwa rahisi kupata sare
🇲🇦 Ladies and gentlemen, Morocco are the 2025 AFCON champions! 🏆
They hosted
They saw
They believed
They conquered
Congratulations to all Moroccans on a historic victory! 🏆
#AFCONwithMicky#AFCON2025
🚨 SENEGAL WAMEPOKWA UBINGWA WA AFCON 2025 SASA BINGWA NI MOROCCO
Shirikisho la soka Afrika CAF Usiku wa March 16 limetoa taarifa ya rufaa ya Morocco juu ya ubingwa wa Afcon WAMESHINDA.
Na rasmi Morocco ndio Bingwa wa Afcon 2025.
WE UNAONAJE IMESTAHILI