Josephath

464 posts

Josephath banner
Josephath

Josephath

@Msombejosephath

study at KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY IN TANZANIA (bachelor of medical lab science) leadership is my spirit 💚

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Kasım 2024
140 Takip Edilen32 Takipçiler
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
Ujenzi wa maghala na vihenge umeimarisha usalama wa chakula kwa kuhifadhi mazao kwa ufanisi, kupunguza upotevu baada ya mavuno, na kuwapa wakulima soko la uhakika. #OktobaTunatikiSamia
Josephath tweet media
Filipino
0
0
0
8
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
Mama amefufua Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) kwa kuipatia mtaji TZS Bilioni 106. Kufufuliwa kwa kampuni hiyo kumezalisha ajira na kurahisisha usambazaji mbolea ya ruzuku ambayo wakulima wanaipata kwa wakati na kwa gharama nafuu. #OktobaTunatikiSamia
Josephath tweet media
Indonesia
0
0
0
14
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
Serikali imeongeza mtandao wa barabara za changarawe ili kurahisisha shughuli za usafiri na usafirishaji hasa maeneo ya vijijini. #OktobaTunatikiSamia
Josephath tweet media
Indonesia
0
0
0
6
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
Marekebisho hayo yameboresha mazingira ya biashara na uwekezaji kwa kupunguza gharama na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida. #OktobaTunatikiSamia
Josephath tweet media
Indonesia
0
0
0
6
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ina nguzo tatu za msingi, ambazo ni muhimu katika kufika lengo la Tanzania kuwa taifa jumuishi lenye ustawi, haki na linalojitegemea; 1. kujenga uchumi imara, jumuishi na wenye ushindani. 2. kujenga uwezo wa watu na maendeleo ya jamii.
Josephath tweet media
Indonesia
0
0
0
17
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
"Kipaumbele chetu ni kulinda na kutumia raslimali zilizopo nchini ziweze kujenga uchumi wa nchi na kuleta ustawi wa wananchi. Kwa ufupi tunajenga misingi ya kuelekea kwenye kujitengemea."-Rais Samia Suluhu #OktobaTunatikiSamia
Josephath tweet media
Indonesia
0
0
0
6
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
Rais Samia Suluhu Hassan amezindua Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma. Akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi waliohudhuria uzinduzi huo, Rais Samia amesema kuwa dira hiyo inalenga kuijenga Tanzania
Josephath tweet media
Indonesia
0
0
0
23
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
#TikiKwaSamia Bajeti ya kilimo imeongezeka ili kuwainua wakulima, kuongeza uzalishaji, usalama wa chakula na kuimarisha uchumi. ✅Mwaka 2021: Shilingi bilioni 294 ✅Mwaka 2025: Shilingi trilioni 1.24 #MamaAnafanikisha #KaziNaUtuTunasongaMbele Taifa Moja. Maendeleo Zaidi.
Josephath tweet media
Indonesia
0
0
0
42
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
#TikiKwaSamia Hatua hii inalenga kuweka unafuu kwa wawekezaji, kuvutia uwekezaji katika vituo vya usambazaji wa gesi asilia kwa magari, pamoja na kupunguza utegemezi wa mafuta na uzalishaji wa hewa ukaa. #MamaAnafanikisha #KaziNaUtuTunasongaMbele Taifa Moja. Maendeleo Zaidi.
Josephath tweet media
Indonesia
0
0
0
4
Josephath
Josephath@Msombejosephath·
#TikiKwaSamia Bajeti ya kilimo imeongezeka ili kuwainua wakulima, kuongeza uzalishaji, usalama wa chakula na kuimarisha uchumi. ✅Mwaka 2021: Shilingi bilioni 294 ✅Mwaka 2025: Shilingi trilioni 1.24 #MamaAnafanikisha #KaziNaUtuTunasongaMbele Taifa Moja. Maendeleo Zaidi.
Josephath tweet media
Indonesia
0
0
0
37