๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ

28.8K posts

๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ banner
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ

๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ

@Mtaalam_01

Mtaalamu mwenye uelewa na uzoefu.

life ๐Ÿงฌ Katฤฑlฤฑm Haziran 2024
920 Takip Edilen1.1K Takipรงiler
SabitlenmiลŸ Tweet
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ
Kila siku CHADEMA wanajifanya waathirika, wanaharakati uchwara wanapiga kelele, halafu BBC wanakuja kupaka rangi simulizi zao kama ukweli wa dunia. Lakini Watanzania si wajinga. Tunajua tofauti ya harakati za kweli na propaganda za kutengeneza taharuki..โคต๏ธ
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ tweet media
Indonesia
58
39
36
33.1K
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Sekta ya madini nchini Tanzania imeendelea kungโ€™ara kimataifa, huku nchi jirani kama Kenya, Somalia na South Sudan zikionesha nia ya kujifunza mafanikio yake. Hali hiyo imejitokeza katika mkutano wa Kenya Mining Investment Conference and Expo 2026 uliofanyika Nairobi, ambapo wadau mbalimbali walipongeza mchango wa Tanzania katika kukuza uchumi kupitia rasilimali madini. Waziri wa Madini Anthony Mavunde amesema mafanikio hayo yanatokana na sera rafiki za uwekezaji chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan. Akifungua mkutano huo, Rais wa Kenya William Ruto alisisitiza umuhimu wa nchi za Afrika kushirikiana na kuongeza thamani ya madini badala ya kushindana. Kwa upande wao, viongozi wa kikanda walitaja Tanzania kama mfano bora wa usimamizi wa sekta ya madini, hatua inayoendelea kuipa nchi heshima na ushawishi mkubwa katika maendeleo ya rasilimali barani Afrika.
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
Indonesia
0
15
12
86
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Uzalishaji wa Mazao ya Biashara Wapanda kwa Asilimia 63.99 Uzalishaji wa mazao asilia ya biashara umeongezeka ukipanda kutoka tani 973,436 katika mwaka 2021/2022 hadi kufikia tani 1,596,311.18 mwaka 2024/2025, sawa na ongezeko la asilimia 63.99, hatua inayoashiria kuimarika kwa sekta ya kilimo na mchango wake katika kukuza uchumi. #UwajibikajiWaHaki #TumeYaUchunguziReport Haki Na Amani
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
Indonesia
1
18
16
105
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Rais Samia aimarisha vyama vya Ushirika na kuongezeka idadi Usajili wa vyama vya ushirika kwenye Mfumo wa Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (MUVU) umeongezeka kutoka vyama 4,661 mwaka 2022/2023 hadi kufikia vyama 6,545 mwaka 2025/2026. Kati ya hivyo, Vyama vya Ushirika wa Kilimo na Masoko (AMCOS) vinafikia 4,685 huku Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS) vikiwa 1,182, hali inayoonesha kuimarika kwa mfumo wa ushirika na upanuzi wa huduma za kifedha na masoko kwa wanachama. #UwajibikajiWaHaki #TumeYaUchunguziReport Haki Na Amani
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
เคนเคฟเคจเฅเคฆเฅ€
0
14
15
67
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
MAANDALIZI YA KUMPOKEA RAIS SAMIA MEI MOSI NJOMBE YAFANA Mkuu wa mkoa wa Njombe Antony Mtaka akitoa taarifa rasmi ya uwepo wa maadhimisho ya siku ya wafanyakazi yanayotarajiwa kufanyika kitaifa mkoani Njombe tarehe moja ya mwezi Mei. #UwajibikajiWaHaki #TumeYaUchunguziReport Haki Na Amani
Indonesia
0
19
15
142
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Uzalishaji wa Mbegu Bora ndani ya nchi Waongezeka kwa Kiasi asilimia 81.49 Uzalishaji wa mbegu bora ndani ya nchi umeongezeka kutoka tani 30,167.11 mwaka 2020/2021 hadi kufikia tani 54,750.47 mwaka 2025/2026, sawa na ongezeko la asilimia 81.49. Ongezeko hilo limechochea pia upatikanaji wa mbegu bora, ambapo umeongezeka kutoka tani 44,581.08 mwaka 2020/2021 hadi tani 79,214.48 mwaka 2025/2026, sawa na ongezeko la asilimia 77.68, hali inayoimarisha uzalishaji wa kilimo na uhakika wa pembejeo kwa wakulima. #UwajibikajiWaHaki #TumeYaUchunguziReport Haki Na Amani
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
Indonesia
1
16
15
71
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Mauzo ya Mazao ya Kilimo Nje ya nchi yafikia dolla billioni 3.73 Thamani ya mauzo ya mazao ya kilimo nje ya nchi imeongezeka kwa kiasi kikubwa, ikipanda kutoka Dola za Marekani bilioni 2.1 mwaka 2021/2022 hadi kufikia Dola za Marekani bilioni 3.73 mwaka 2024/2025, hatua inayoonyesha kuimarika kwa biashara ya kimataifa na mchango wa sekta ya kilimo katika ukuaji wa uchumi. #UwajibikajiWaHaki #TumeYaUchunguziReport Haki Na Amani
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
Indonesia
0
16
17
60
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
kichefuchefuu
kichefuchefuu@kichefuchefuuยท
Wameuza nyapu mpaka zimechacha sasa hivi wamehamia kwenye siasa
kichefuchefuu tweet media
HT
2
28
23
808
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Serikali ya Tanzania imesaini mkataba wa ufadhili wa dola za Marekani bilioni 1.277 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kisasa ya Standard Gauge Railway (SGR) katika vipande vya Makutuporaโ€“Tabora na Taboraโ€“Isaka, vyenye jumla ya kilometa 533. Akizungumza jijini Dodoma Aprili 28, 2026, Waziri wa Fedha Khamis Mussa Omar alisema ufadhili huo unatoka Italy, Sweden na Poland, kupitia taasisi zao kwa uratibu wa Standard Chartered. Alieleza kuwa mradi huo utaunganisha Bandari ya Dar es Salaam na Kanda ya Ziwa pamoja na nchi jirani, na hivyo kuimarisha nafasi ya Tanzania kama kitovu cha usafirishaji na biashara katika ukanda. Kwa upande wake, Waziri wa Uchukuzi Makame Mbarawa alisema SGR itaongeza usafirishaji wa mizigo, kupunguza gharama na muda wa safari, na kufungua fursa mpya za kiuchumi kwa wananchi. Mradi wa SGR ulioanza mwaka 2017 tayari umeanza kutoa huduma kati ya Dar es Salaam na Dodoma, ukipunguza muda wa safari kutoka saa 12 hadi takribani saa 3, ishara ya mageuzi makubwa ya miundombinu nchini.
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
Indonesia
0
19
21
147
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Uchunguzi ulitegemea ushiriki wa moja kwa moja wa umma. Tume ilipokea taarifa 953 zilizothibitishwa kiapo kutoka kwa wananchi na taarifa 26 kutoka kwa maofisa wa polisi. Jaji Chande alisema hawakutarajia ushahidi kutoka polisi lakini ulikuja kwa wingi. #UwajibikajiWaHaki #TumeYaUchunguziReport Haki Na Amani
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
Indonesia
0
15
15
118
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Tume pia ilipewa jukumu la kutoa mapendekezo ya kuzuia kurudiwa kwa matukio kama hayo. Hii ni muhimu sana wakati Tanzania inapoimarisha utulivu wa kidemokrasia na umoja wa kitaifa. Ripoti inakusudia kuwa msingi wa maendeleo salama ya demokrasia. #UwajibikajiWaHaki #TumeYaUchunguziReport Haki Na Amani
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
Indonesia
1
14
14
116
๐— ๐—ง๐—”๐—”๐—Ÿ๐—”๐— โœ๏ธ retweetledi
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
Jaji Chande alisema jukumu kuu la Tume lilikuwa kubaini ukweli kuhusu vurugu zilizotokea wakati na baada ya uchaguzi wa Oktoba 29, 2025. Uchunguzi uliongozwa na masharti maalum ya kufafanua sababu, wahusika na athari za kijamii, kiuchumi na kibinadamu. #UwajibikajiWaHaki #TumeYaUchunguziReport Haki Na Amani
๐— ๐—ช๐—”๐— ๐—•๐—”โ„ข๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ tweet media
Indonesia
1
14
15
72