Sabitlenmiş Tweet
Mvumbuzi📝
54.6K posts

Mvumbuzi📝
@Mvumbuzi_Creat
Transforming ideas into compelling stories, eye-catching designs and inspiring talks.
Tanzania Katılım Şubat 2024
2.8K Takip Edilen6.9K Takipçiler
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi

Mgawanyiko wa Korea: Chanzo na athari zake kwa ujumla
Mgawanyiko wa nchi ya Korea kuwa Korea ya Kaskazini na Korea ya Kusini umebaki kuwa mojawapo ya athari kubwa zaidi za Vita Baridi.
Zaidi ya miaka 70 baada ya mgawanyiko huo wa awali, Korea inabaki kugawanyika, huku mataifa haya mawili yakiwa na mifumo tofauti sana ya kisiasa, kiuchumi, na kijamii.
Mgawanyiko huu, ulioanza kama suluhisho la muda baada ya Vita Kuu ya Pili ya Dunia, umeleta hali ya mkwamo wa kisiasa wa muda mrefu, ukiathiri mamilioni ya Wakorea na kuathiri siasa za dunia.
Uzi🧵

Indonesia
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi

KWA UNYENYEKEVU SANA NAWASHUKURU
1.@Sativa255
2.@Thereal_taivina
3.@kingwakitaa01
4.@prolific_88
5.@Champione_Tips
6.@Chabuluma1xbet
7.@is_Dickson_9
8.#Ozil
KWA KUNISAIDIA KUTIMIZA NDOTO ZANGU...
..KAMA MNAKUMBUKA TAR 5/5/25
WALINICHANGIA MIL.4 KUSAPOTI BIASHARA ZANGU👇




Indonesia
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi

Nenda Youtube Search “Meta ads full tutorial”
kamua kweli, summarize mchimbo kama uko PGM au PCB A’level
Practice uza hata product au service ya mtu
Ndo utakavoanza kupta 10k yako ya kwanza ONLINE, 50K,100k etc
#MadiniYaGaby
Filipino
Mvumbuzi📝 retweetledi
Mvumbuzi📝 retweetledi

Kuna Websites zaidi ya billion 1.1 duniani ila hizi 10 nina uhakika hujawahi kuziskia mahali
Fatilia hii Thread uzijaribu
🧵 #MadiniYaGaby
Indonesia
Mvumbuzi📝 retweetledi

Maoni yangu kama unalima mahindi anzisha na biashara ya unga iwe hata ya familia hapo mtaani.
Watoto wakue wakijua mnatengeneza supply chains wenyewe. Kuuza raw materials tuachane nako tuanze kuuza product.
Vyama vya ushirika ndio kazi zake, mnazalisha na kusambaza wenyewe.
Small Business Elevator@SB_Ladder
Kuna watu wanachukulia kilimo very personal.😎
Indonesia
Mvumbuzi📝 retweetledi

Ukifika pale Italia kwenye milima ya Apennine kuna sehemu ndogo ya nchi, inaitwa San Marino.
Hapa kuna Ma Rais wa nchi wawili ambao huchaguliwa kila baada ya miezi sita.
Nchi hii unayo iona hapo kwenye picha wana pesa yao inaitwa Sammarinese lira na Jeshi lao.
Mfumo wa kuwa na ma Raisi wawili kila baada ya miezi sita ulianzishwa mwaka 1243 na unalenga kuzuia mkusanyiko wa madaraka mikononi mwa mtu mmoja kwa muda mrefu.
Endelea Na Uzi ⤵️ 🧵🧵

Filipino











