❄️™
36.1K posts

❄️™
@N3sty09
a man gotta do what a man gotta do.

Yani mwanamke independent kesi zao sio za 10k,20k, Kesi zake ni 500k nakuendelea 😃.

My close friend of 5yrs, aliniambia yupo single. One day ghafla ananitumia picha za engagement yake, na caption, "Jiandae kwa mchango wa Sendoff na harusi mama, mambo yamenoga" I asked her, so u had a serious relationship mpaka uchumba kimya while tunashare kila siku mambo yetu. Akasema, imekuwa ghafla sana, hata sikutarajia kumkubalia. (I knew the guy but waliachanaga kitambo) I told her, mpaka ametoa barua, akatoa mahari, mmeshona sare wewe na mchumba na wasimamizi wawili na mkafanya the whole engagement church service yoh. I've come to realize, you were never my friend and blocked her.

Kwa nini watu wenye roho mbaya ndio wanaofanikiwa? 🥹


Kudate age mates ni raha ila kumpata alie tulia apo ndo utachoka sasa 😂

@hereiseddy_ !?????


Mimi niseme ukweli huyu wizkid ni kama aliloga kuwa star sasa sijui hata ngoma yake hata moja wakati za akina ruger nazijua akina chike huyu ni firimaya najua tupo wengi humu hatujui ngoma zake kuna huyu na elisha belie, tyla ni madevoshipa we taja ngoma yake 😂😂👇👇













