Jercan
2.8K posts

Jercan
@NelsonJumbe
Things come, Change & Pass.Believe yourself, you have special thing the world wait to see from you
Katılım Ekim 2014
580 Takip Edilen280 Takipçiler

@Roma_Mkatoliki Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama ww ile wasiniteke hahahaha
Filipino

@McinikaWaLamar Mdada mmoja wanamwita Rub nadhani alitokaga pale THT daahhhhhh aloo
Eesti
Jercan retweetledi

@CloudsMediaLive Uchawi kweli upo hahahaha Simba Benchika ndyo hii ya Mgunda hapana hahahaha
Filipino

@eastafricatv Walijua Simba bila KIBU DE ni mseleleko hahahahahaha
Filipino

Single Mama;
Hawanaga time ya kupoteza wako busy na familia kwanza then maokoto, kuhusu mapenzi badayeee, ukitaka upendwe unavyotaka na single mama usiwe na haraka utakuja kunishukuru.#SiyokwaUbaya✍️

Indonesia

@iamsalumally Mwanaume huwa halii kirahisi ukibahatika kuina chozi la mwanaume katika mazingira yoyote, jipge kifua maana siku zote shujaa huwanza kubeba thamani ya wengine kabla ya thamani yake.
Indonesia

@McinikaWaLamar @MarekaMalili Waanze kuondoa posho za wabunge Kila siku kwanza mengine yatafata
Indonesia

@MarekaMalili Wanaona wanafunzi wanafaidika na boom kuliko wao wanavyofaidika na posho zetu
हिन्दी

Uwa wanaanza kama utani 😂
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki
Ghalfa Shwaaa, Boom limeenda na Maji 😂
Filipino

@HKigwangalla Kaka WA mbugani mbona unajihami sana daahh nimecheka sana ila kaka Hamis bana hahahaha
Filipino

@Drkabuje @Dream99chaser @DullahTheking2 @kapeto98 @OriginoZee17 @ze_mandevu @MissChelsea1221 @Master_plan88 @Dr_salumu Amueuliwa Kwa sababu
-umbali wakiti na damu za ukutani inaonyesha kabisa alikuwa ktk kulukushani ya kujiokoa lakin pia baada ya yeye kukundua alipiga yule mtu kifua ni Sasa wakati akitaguta pakwenda yule mtu akambana na kumshuti sbb bastola ya huyu bint ukiisha risasi daahh
Indonesia

Vita ziko za aina nyingi ukiacha vita ya mstuni na navita zingine.
Wakati unapambana na vita ya kujikwamua kiuchumi kuna mtu anapigana vita kumpenda mtoto wa mtu ambaye pia alishamwambia hampendi lakin Bado anamfatilia,
Endelea na vita yako.#SiyoKwaUbaya✍️

Indonesia

@George_Ambangil Piga kelele weweeee lakin tunajua EPL na timu lako chali Sasa umekuwa semaji la timu za majirn zako hahahaha gadiola George kipara
Filipino



















