NAS
465 posts



Mara ya mwisho kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu ilisikilizwa February 24, 2026. Serikali ya Nduli Idd Amin Mama baada ya kuona ushahidi walionao hautoshi kumtia Mhe. Lissu hatiani wakaamua kuweka mpira kwapani kwa kukimbilia Mahakama ya rufani kwa kisingizia kwamba wamekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kutupilia mbali maombi yao ya kuongeza mambo ya Oktoba 29, 2025. Mpaka leo unaenda mwezi wakaamua tatu, ofisi ya Jaji Mkuu @judiciarytz imegoma kupanga tarehe ya kuanza usikilizwaji wa shauri hilo kwasababu Nduli Idd Amin Mama anatumia Mahakama kumkandamiza Mhe. Lissu kwa kumnyima Haki zake za msingi. #FreeTunduLissu





Kaka Angu @rollymsouth Njoo Kwa Speed Tutakulinda Kwa Wivu Mkubwa Mnoo!! Bora Wewe Ni Tetesi Za Maneno. Wao Tumewashudia Wanaenda Kwenye Event Zao, Tumewashudia Wameingia Studio Na Wasanii Hao Hao, Tumewashudia Wanafanya Promo Kwenye Medea. Alafu Wanasema Wanatafuta Ugali😁




































