Nicolas J. Clinton Gabone

1.5K posts

Nicolas J. Clinton Gabone banner
Nicolas J. Clinton Gabone

Nicolas J. Clinton Gabone

@Nicolasgabone

Former National Youth Leader, NCCR-Mageuzi | Political Strategist | Public Figure | Governance, Infrastructure & Geopolitics Analyst.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Nisan 2016
260 Takip Edilen711 Takipçiler
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
@SuluhuSamia “Mtu mzima akikwambia jambo la kipumbavu, na yeye anajua ni la kipumbavu, na anajua wewe unajua ni la kipumbavu, halafu ukalikubali, anakudharau.”
0
0
20
865
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Ikulu, Dar es Salaam, Aprili 23, 2026 Hotuba yangu leo nilipopokea ripoti ya Tume niliyoiunda kuchunguza matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba, 2025. Tupoendelea kushughulikia na kuyapatia majawabu yaliyotokea, ninawasihi tuongozwe na maneno haya kutoka katika vitabu vitakatifu: 2 Mambo ya Nyakati 7:14 “Ikiwa watu wangu, walioitwa kwa jina langu, watajinyenyekeza, na kuomba, na kunitafuta uso, na kuziacha njia zao mbaya; basi, nitasikia toka mbinguni, na kuwasamehe dhambi zao, na kuiponya nchi yao.” Surah Al-A'raf (7), Aya ya 23 "Mola wetu Mlezi! Tumejidhulumu nafsi zetu, na usipotusamehe na kuturehemu, hakika tutakuwa miongoni mwa waliopata hasara.” Mungu Ibariki Tanzania.
Indonesia
27
72
165
8.8K
Gerson Msigwa
Gerson Msigwa@MsigwaGerson·
YALIPANGWA YALIRATIBIWA YALIFADHILIWA na YALITEKELEZWA. Eee Mwenyezi Mungu tusadie, tufumbue macho na tuongoze kutambua na kuwakataa wenye nia ovu dhidi ya Tanzania. #NeverAgain
Indonesia
785
38
219
82.5K
Joseph Oleshangay
Joseph Oleshangay@Oleshangay·
Chande anasema waandamanaji wa Salasala Dar walikuwa na Mikuki Huyu mzee hapana
Filipino
27
74
860
20.9K
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
Umma una haki ya kupinga watawala dhalimu na mifumo kandamizi inayovunja haki za kiraia. Haki haiji kwa ukimya, bali kwa msimamo, umoja na hatua kali za kiraia katika kulinda uendelevu na uadilifu wa Taifa.
Vicensia Shule@vicensiashule

Wamemaliza kusoma ripoti yao, raia waachiwe wateme nyongo na kupeana miongozo maana Tanganyika ni yetu. Ni umoja wetu kwenye kupambana na hawa wauaji ndio unaowatisha. Utaratibu ni ule ule, NAOMBA pita kwenye post zote za wapambanaji weka ♥️♥️♥️ mwaga ♥️♥️♥️ waendelee kuumia✌🏿

Indonesia
0
1
3
77
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
Jaji Chande ana deni la kuueleza umma hawa ni kina nani hasa ndani ya vyombo vya usalama. Haki inaweza kucheleweshwa, lakini haiwezi kuzimwa milele, ipo siku ukweli utajulikana.
Nicolas J. Clinton Gabone tweet media
Indonesia
0
0
0
14
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
🙄🙄 Kuna maisha baada ya Samia nyie! Alafu Kitenge sishangai ni chawa pro max tokea zamani ila Kikeke from hero to zero! Imagine jamaa aliheshimika kimataifa akiwa BBC, leo mfanyakazi wa Wanu na Mchengerwa kapewa assignment awasombe waandishi wasukume “tuna imani na Tume” Hapo usikute kuna dili na wanapiga za juu! Nchi imeisha hii! Unasifiaje tume kabla ya kusikia hata kazi yao? #TutaelewanaTu #SamiaMustGo
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
91
118
596
50.6K
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
Watu waliowahi kuheshimika kwa haiba na uwezo wao, leo wamegeuka kuwa madalali wa mfumo kandamizi dhidi ya watu wa kawaida. Wanashiba katika sahani iliyojaa dhuluma. Kinachoshangaza zaidi ni kwamba wanasahau kuwa nao wana kizazi nyuma yao.
Nicolas J. Clinton Gabone tweet mediaNicolas J. Clinton Gabone tweet media
Indonesia
0
0
0
23
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
Kama ingeendeshwa kama regional logistics hub, ingeweza kuongeza throughput kutoka 27M tons to 50M+ tons Mapato ya moja kwa moja, logistics multiplier: kutoka Tshs 8 trilioni hadi Tshs 15–25 trilioni kwa mwaka. Usifie, lakini usisherekehe mafanikio kiduchi tena katika uzembe.
Rashda Zunde@RashdaZunde

Kongole Bandari ya Dar es Salaam Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu inastahili pongezi, huku Watanzania wakipaswa kujifunza jambo kutokana na wale waliokuwa wakipinga ushirikishwaji wa sekta binafsi katika kuendesha bandari nchini.

Indonesia
0
0
0
26
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
Changamoto: Msongamano wa meli bado upo Miundombinu (berths, barabara za ndani, storage) bado inakandamiza ufanisi. Ucheleweshaji wa clearance bado ni changamoto ya gharama ya biashara. Uzalishaji wa “value added logistics” (kama cold chain, industrial logistics hubs) bado mdogo.
Rashda Zunde@RashdaZunde

Kongole Bandari ya Dar es Salaam Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu inastahili pongezi, huku Watanzania wakipaswa kujifunza jambo kutokana na wale waliokuwa wakipinga ushirikishwaji wa sekta binafsi katika kuendesha bandari nchini.

Indonesia
0
0
0
16
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
Kesho Jaji Chande anawasilisha ripoti. Lakini je, Tume ilimhoji Rais, mwenye dhamana ya vyombo vya ulinzi na usalama vinavyotuhumiwa kwa mauaji ya raia? Bila kuwajibisha chain of command, ukweli utakuwa kamili kweli? Ukweli, haki na uwajibikaji lazima viende pamoja.
Indonesia
3
9
34
3K
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
@YerickoNyerereT Katika hili suala unaenda zaidi kwa hisia kuliko tafakuri ya matamshi. Unaweza kuwa na chuki dhidi ya chama chako cha zamani, lakini si vyema kuzungumza kana kwamba leo ndiyo mwisho na kesho haipo. Siasa inapita maneno yanabaki. Tafakari kabla ya kuzungumza maisha hayaishii leo!
Indonesia
0
0
2
1.5K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Kwa viwango vyote vya kidunia, Yaani hata Malaika na Mitume na Maswahaba wote watoke mbinguni leo kisha Waulize nani alihusika na jaribio la mapinduzi la 29 October 2025? Jibu lao la kwanza itakuwa ni CHADEMA kwa mazingira yoyote, kisha wataanza kutajwa wengine huko. Haitakuwa Chadema pekee yao, lakini ni lazama watajwe Chadema. Hivyo tusubiri ripoti ya Jaji Chande kesho itatueleza walihusikaje, maana suala la kuhusika linajulikana walihusika, sasa tunasubiri walihusikaje tu. Na tutapokea mapendekezo ya adhabu kwamjibu wa sheria ya vyama vya siasa kwa Chadema na kwamjibu wa sheria ya uhaini kwa viongozi wao na yeyote aliyehusika. Lazima hili litibiwe lisije jirudia kwa aina yoyote!
Indonesia
207
15
70
69.4K
Citizen TV Kenya
Citizen TV Kenya@citizentvkenya·
Roads: Tanzania answers Ruto Tanzania govt disputes Ruto’s claim on road network Ruto: Kenya has about 20,000KM of tarmacked roads Tanzania roads minister termed the claim misleading Ulega: Tanzania has about 16,000KM of tarmacked roads #CitizenExplainer
English
59
91
650
77.8K
Kagimbo Lutahya
Kagimbo Lutahya@KagsLutty·
Nchimbi ni CCM. Whatever happens to him, I don’t care!
English
16
25
199
4.4K
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
Tunasherekea na kujivunia mafanikio madogo ilhali Tanzania ina nafasi kubwa ya kimkakati. Baada ya miaka 64 ya Uhuru, viongozi wetu bado wanajisifu kwa hatua ndogo tulizopiga katika maendeleo ya watu na uchumi, hatua ambazo haziendani na uwezo na fursa ambazo Taifa letu linazo.
(---) Onesmo Mushi@EduTalkTz

Nchi yenye barabara kilomita 181,000 inapiga kelele na kurukaruka kwa kuweka “lami” kilomita 16,000, sawa na asilimia 8% ya mtandao wote wa barabara tena kwa miaka 64 ya uhuru. Pumbavu kabisa!! Watu wanarusha vyombo anga za mbali sisi tunashangilia upumbavu wa bare minimum.

Indonesia
1
0
0
32
Nicolas J. Clinton Gabone
Nicolas J. Clinton Gabone@Nicolasgabone·
October 29th, 2025, is about truth, justice, and accountability, regardless of the outcome of the Commission of Inquiry chaired by Justice Chande.
English
0
0
0
13